Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,077
hakikisha ukutani hapo kila kitu kimetundikwa Tin namba,VAT ,leseni za vileo na cheti cha usajili,hawakosagi sababu hawa.We siulikuwa unarandaranda mtaani tunakuangalia tu
TRA waje tu nilishawaset
Wanakuja kiushahidi tu ila mambo yako poa