Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Huko katika vyumba kuna visabuni vile vidogo?/maana kuna vipya vinaitwa rungu je nivipi unavyo au nije na sabuni yangu ya mwarobaini??nijibu wewe Erickb52
 
Last edited by a moderator:
Hodi hapa mi mgeni, naulizia kama VIP Lounge tunaruhusiwa kuijngia na komoni zetu?
 
Asante though i am late.

Wana JF,

Kwa niaba ya Bishanga, The secretary , Mr Rocky na bibie Amyner napenda kuwakaribisha kwenye hii Pub & Restaurant yetu mpya ambayo inawapa fursa kuja kupata vinywaji mbali mbali ukiwa na marafiki na kubadilishana mawazo.

Kwenye hii pub kuna sehemu za maongezi kwa couples,kuna kasehemu ka kudance kwa watakaopandwa na mizuka ya music.
Kwa singles kama manoah au watalakwa km nitonye ndio nafasi yenu ya kuja kukutana na single wenzenu. Wazee pia babu Dark City Asprin na Mtambuzi mnakaribishwa kupata kahawa na wajukuu au na Bibi zetu.

Kwa wale wakorofi wajue mibaunsa yetu Mungi Arushaone watu8 Baba V na Ruttashobolwawatawavunja viuno!
Wapenda wake za watu km Vin Diesel kuweni macho....msione vyaelea!

Kwa wale wapenda privacy na status kuna VIP lounge huko utakutana na akina Paw na King'asti Chimbuvu na Madame B Fang na watu wa dizain hiyo ila mlangoni utakutana na Invisible kwa ukaguzi.

Kwa huduma ya haraka kaunta yuko Lily Flower na marejesho na wahudumu kwa bar ni Kongosho na cacico .Restaurant ni Arabela sweetlady na KOKUTONA
Music ni Slave na Nicas Mtei
Managers ni Kipipi na Filipo
Kwa kuanza hebu cacico niletee Ndovu moja baridiiiii nianze nayo faster!
Karibuni sana wana JF woote tujumuike pamoja!

Copy kwa FP amu Paloma Jiwe Linaloishi St. Paka Mweusi Mentor SnowBall Smiling Saint @Ciello TANMO Judgement Preta KakaKiiza LiverpoolFC Mzee wa Rula Blaki Womani charminglady beibe nasty nivea gfsonwin snowhite Mamndenyi PakaJimmy Katavi Rich woman measkron Mwanyasi AshaDii Young Master YNNAH IGWE Preta Remmy Smile Tonykp mwaJ zumbemkuu Dena Amsi
Elizabeth Dominic
 
Last edited by a moderator:
dadadadadeki nilikuwa wapi kuona hii thread?
Erick harakisha tufunge milango TRA wanakuja!
 
dadadadadeki nilikuwa wapi kuona hii thread?
Erick harakisha tufunge milango TRA wanakuja!
We siulikuwa unarandaranda mtaani tunakuangalia tu
TRA waje tu nilishawaset
Wanakuja kiushahidi tu ila mambo yako poa
 
Tutakaa pembeni tutete maana bepari la kihaya Bishanga hachelewi kuandika ktk magazeti yake mara oohh freemason wahusika,ama ufisadi wanukia mtanzania anunua gari la mabilioni wakati kilaza anatafuta msaada wa mamilioni
mnanisengenya eh?
 
Last edited by a moderator:
Nipo restaurant. Karibuni tuwahudumie Breakfast.
Kuna supu ya kuku,supu ya ng'ombe, kongoro, mkia, pupu, ulimi, mtori, maharage,
 
Back
Top Bottom