Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Nataka kujua mantiki ya wewe kuambiwa umgee Kipipi . . . . una habari kuwa linakuhusu si kidogo?
Kipipi humu watu washalewa hawakawii kukurushia chupa ooooh we mwache Arushaone bhana hajui unavyonipenda ingawa sio km Amyner (Huyu penzi lake balaa lol)
Mwambie aende kwa Mamndenyi coz hata Arabela na KOKUTONA wamesema hawamtaki tena Tanga
 
Last edited by a moderator:
Kipipi humu watu washalewa hawakawii kukurushia chupa ooooh we mwache Arushaone bhana hajui unavyonipenda ingawa sio km Amyner (Huyu penzi lake balaa lol)
Mwambie aende kwa Mamndenyi coz hata Arabela na KOKUTONA wamesema hawamtaki tena Tanga

Hujawahi ona mlevi anacharazwa njiti na ulevi wote unaisha?
Shauri zenu . . . kwanza kwa herini na mipombe yenu!
Najivua gamba la umenager mtatafuta mwingine.
 
Hujawahi ona mlevi anacharazwa njiti na ulevi wote unaisha?
Shauri zenu . . . kwanza kwa herini na mipombe yenu!
Najivua gamba la umenager mtatafuta mwingine.
Sasa Kipipi humu kuna na Restaurant kwanini usihamie kule pande yenye juice?
Hama huku coz watu washaanza kupoteza memory lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom