Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Last edited by a moderator:
Hahaha...haya bhana ila mwenzio akinyolewa....



Bora usiendelee kuupenda...
Hiyo misemo siku hizi haipo tumehamia kwenye ulimwengu wa DIGITAL yan hakuna kubahatisha kwa misemo keep waiting uone tunavyotisha!
 
Wyf analalamika verosa inamsumbua anataka lamborgini
Hahahaaa hayo sio mambo ya kumnyima raha mwambie kama vip aje nimpe ile ya Amyner anayotumia hope ataipenda coz bibie hataki tena gari anataka nimuendeshe kila kona lol
Mapenzi matamu
 
Last edited by a moderator:
Duh! Ntaupdate sasa kwa kuandika erickb52 &family


Hahahaaa Chimbuvu hapo kazi kubwa ni wanafamilia Amyner na mimi! Bishanga katoa 2% (Sawa na Bure-Aliataka walau kumaintain status yake siunajua wahaya mambo yao) Mr Rocky alinisaidia kuwapa wanangu Gunia la unga kuke Meatu si nikaona na yeye nisimsahau ila yeye ni km 0.00000003% (Samahani km nimekosea ni mambo ya kimahesabu ndio sijui) The secretary huyu ni mtoa wazo coz kwa sasa kafulia sana!
 
Last edited by a moderator:
Tutakaa pembeni tutete maana bepari la kihaya Bishanga hachelewi kuandika ktk magazeti yake mara oohh freemason wahusika,ama ufisadi wanukia mtanzania anunua gari la mabilioni wakati kilaza anatafuta msaada wa mamilioni



Hahahaaa hayo sio mambo ya kumnyima raha mwambie kama vip aje nimpe ile ya Amyner anayotumia hope ataipenda coz bibie hataki tena gari anataka nimuendeshe kila kona lol
Mapenzi matamu
 
Last edited by a moderator:
Tutakaa pembeni tutete maana bepari la kihaya Bishanga hachelewi kuandika ktk magazeti yake mara oohh freemason wahusika,ama ufisadi wanukia mtanzania anunua gari la mabilioni wakati kilaza anatafuta msaada wa mamilioni
Achana nae huyu hana lolote kwanza kafulia sana hana jeuri ya kwenda magazetini
 
Back
Top Bottom