Hamia Chelsea kijana
Tena mwambie akupe mkia wa Kondoo dume ArushaoneNipatie ya mkia fasta Nicas Mtei weka pilipili na limao za kutosha please.
Presure inapanda na kushuka.. Hamia Barcelona bwana
Hamia Chelsea kijana
Hivi unadhani Swansea ni timu ndogo?
hahahaha niko huko kwa mkopo mpaka babu asajili au aondoke aje Gadiola
Mkuu Erickb52 tuwekee big screen kwenye pub tuje kuangalizia game hapo na kugonga mokomoko....
ila tatizo langu ni hao wahudumu..... mama jiwe anaweza asitoe gate pass
kachukuliwa msukule na nani?