Arabela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 3,127
- 2,227
Amyner. Come this way please
Last edited by a moderator:
asante sana Arabela ngoja usiondoke basi mbona unanionea aibu eeh! Basi nenda kawaudumie hao wengine alafu uje hapa, sawa mtoto mzuri?
Mambo Rich woman!
Naomba nimjue Aunt yangu, kwa Anko Fang, maana kama umeishia kati vile........
Unamjua huyu? Alitaka kurudi Tanga
NIMECHELEWA, NILIKUWA NAMFANYIA MASSAGE mteja mmoja mfadhili wa maphotos kule chini. karibuni wageni niwahudumie nini tafadhali, hubby amesema nipo kwenye probation ya ndoa, jamani hii kazi ya bar maid nitaweza!?
Asavali umekuja shost angu... Wahudumu wa hapa wana wivu kweli na ubaguzi. Nimekaa hapa wananitizama kama Kombe la mpira wa mezani. Hebu niletee km nilivyoo hii makituuuuu!!!!!!!!
![]()
Copy kwa Amyner
Hiyo ni nini charminglady
Safi sana Erickb52.... Wapi suggestion box nataka kutupia masuggestion yangu.
"Wahudumu wa hapa wana maringo sana, wakati sie ndo maboss wao.... Wanadhani wewe ndio boss wao???? Kwa taarifa yao bila sisi kunywa hawapati mshahara... Pia waambie kuwa wanarinfa kunihudumia hawajui mimi Firstlady Au kwa vile sikuja na mh. jeyikeyi?????? Hebu washike adabu zao na adabu ziwashike"
manoah tusilewe kwani ndovu ni maji?
We ngoja leo utaona
Si huyo manoah ananambia mie mtoto???