CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Mapigo yangu ya moyo yanamenidundia kwa mgongoni lol
Sio kwenye naniliu?????
Mapigo yangu ya moyo yanamenidundia kwa mgongoni lol
naona umenisaidia kujaza nafasi zilizo wazi, athantee
Dhuuuu mamito nimekosa neno la kuendelea mbele maana...................
eti goli la stars lilifungwa na nani? mechi manchesta saa ngapi ati?
Heheheee ntakuja leo!
Hizi moja mbili usihofu niko na bibie kwa usalama zaidi
Tatizo mamanager Kipipi na Filipo wamelala au sijui wameenda kunatana lol
Hehehee
Hebu njoo tukae hapa Rich woman upate hata ndovu yangu moja
samahani naomba kuuliza, ati umri wa kuingia hapo pub ni miaka mingapi? maana nahisi charminglady, cacico, na Rich woman wataishia mlangoni tu
huyu nani tena anakusumbua mpendwa tum'mwagie mimaji ya ukoko...!!!
huyu nani tena anakusumbua mpendwa tum'mwagie mimaji ya ukoko...!!!
Miaka 18 Smiling Saintsamahani naomba kuuliza, ati umri wa kuingia hapo pub ni miaka mingapi? maana nahisi charminglady, cacico, na Rich woman wataishia mlangoni tu
Hivi huyu charminglady kakua eeeeh