Sema tu kimeanza umana ,Wote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.
Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.
Watanzania nawajua vizuri mno.
Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.
Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.
Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.
Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.
Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?
Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.
Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.
Happy Sunday ✌️.
Tumekuachieni Tanzania m deal nayo. Hakuna anayewaingilia., lakini ukweli mtaambiwa tu.Nyie mkoa nje si muendelee kumuongelea Trump tuachieni ya Tanzania tudeal nayo
Soon utashangazwa, relaxWote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.
Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.
Watanzania nawajua vizuri mno.
Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.
Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.
Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.
Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.
Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?
Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.
Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.
Happy Sunday ✌️.
Machawa yasiyo elewa loloteWote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.
Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.
Watanzania nawajua vizuri mno.
Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.
Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.
Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.
Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.
Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?
Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.
Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.
Happy Sunday ✌️.
Kuna jamaa yangu mnafanya wote kazi ya kuvichambisha vibibi huko ughaibuni ameniambia uwa mnavipigisha punyeto kwa kuvichezea viharagwe mpaka vinakojowaWote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.
Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.
Watanzania nawajua vizuri mno.
Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.
Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.
Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.
Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.
Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?
Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.
Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.
Happy Sunday ✌️.
We ndio huna akili unamsema mtu aliejitoa hadharani. Huku wewe ukiwa keyboard warrior magufuli ni rais wetu watanzania na tulikubali kazi zake we kama ulikua humkubali ulikua jizi au cheti fekiTumekuachieni Tanzania m deal nayo. Hakuna anayewaingilia., lakini ukweli mtaambiwa tu.
Watu wanamsifia Kapteni Tesha anayemsifia Magufuli.
Mna akili nyie?
Umejaa false dichotomies na contradiction.Unaongea haya ukiwa umejifungia katika nchi za wengine kama mkimbizi.Vyovyote vile utakavyowaita, waache Watanzania wapiganie nchi yao kwa njia wanazoziona sawa, kwani wewe si sehemu yao tena. Siku hizi umejaa hofu kama mbwa mzee, ulikuwa mtu ambaye alitaka kuona Tanzania mpya, lakini sasa hupendi jinsi mchakato wa kuipata unavyoendelea. Huna msaada wowote katika nchi ambayo hata huikuitaji tena. Watanzania hawako na tamaa ya kitu chochote, bali wanahitaji kitu kimoja, na hicho kitu kitatimia hivi karibuni. Huna mamlaka ya kuamua kwa niaba yao, kwani wewe si mmoja wao tena.
Umri unachekeshaga, maana ukiwa mtoto, ukaumwa unadhani dunia yote inaumwa. Nakuhakikishia ni watu wachache wameisikiliza. Na wanaoshangilia na kusangilia ni vijana wachache sana
Kitu kuwa hakijawahi kufanyika haina maana hakina contradiction, haina maana hakikisoleki.Uzuri ni kwamba hata wewe ni mmoja wa watanzania, hizo hulka/tabia ulizozitaja huenda unazo pia.
Alichokifanya Le Kapitan huenda hakijawahi kufanywa na mtanzania yoyote, tuishi humo coz tunataka mabadiliko na kwa njia za kidiplomasia ccm haitoki madarakani.
We are hopeful!
Wewe kama hujui Kiingereza na hujafikia viwango vya kujibu kwa lugha yoyote pita kimya kimya tu.Diaspora wakibongo msaada pekee mlionao ni hiki kingereza kisicho na msingi.
Fact ni kwamba Watanzania wengi wako desperate na wanatapatapa.How and why do you call that a fact? Where is the evidence? What she's saying is full of contradictions, not factsmanenobya ngabu hayawezi KUWA fact uthibutisho ni nini hapo KWENYE point zake wakati huyo anaedaiwa kuwajaza upepo hajathibitishwa kama yumo au hayumo jeshini.
Unawezaje ibuka jeshini uingee MANENO ya HIVYo na jeshi lisikupinge wewe na kuchukua hatua. Let's say wamechukua hatua je kkimya kimya?
Sio lazima wanajeshi wawe mbele unakuwa na serikali ya technocrats, wataalamu kuweka mambo sawa kwa miezi 18 hivi huku nyuma wakikingiwa kifua na jeshi kama ilivyofanyika Nepal. Baada ya miezi 18 uchaguzi unafanyika ulio wazi, huru, haki chini ya katiba mpya, tume, tume na mahakama huru.Ndiyinmaana tunasema - watanzani hatufuatilii, tunajaa mhemko.
Karibu Nchi zote zinazooUnangozwa kijeshi - au serikali za kijeshi zilizojivika koti la kisiasa zinaongoza kwa ufisadi, nepotism na freedom of speech hakuna hata ile chembe.
Nipe mfano wa serikali ya kijeshi bora isiyo na elements hizo tatu.
Kumpenda JPM hakumaanishi anataka tawala zinazokuja zifanye kila alichofanya yeye, kuna mabaya mengi alifanya Magufuli, lakini watu wanataka yale mema aliyofanya yaendelezwe.Kitu kuwa hakijawahi kufanyika haina maana hakina contradiction, haina maana hakikisoleki.
Kapteni Tesha anataka kuturudisha kwenye mfumo wa Magufuli. Kasema anampenda sana Magufuli. Kasema anamlilia sana Magufuli.
Hajaona tatizo jinsi Magufuli alivyovunja katiba kukataza mikutano ya siasa, hajaona tatizo Magufuli alivyoongoza kampeni ya kununua wanasiasa wa upinzani, hajaona tatizo Magufuli alivyoongoza utekaji wa watu.
Hii ndiyo Tanzania mpya mnayoitaka ya kurudi kwenye u Magufuli?
Najua wewe kama Nyani Ngabu nikujua sio mjinga KIASI hicho ila umekata tamaaaHii ndo gesi yenyewe sasa 🤣.
Wazalendo tumepata matumaini hai,ila wasio wazalendo ni maumivu,masononeko,makasiriko hofu na hili zaidi dhidi ya wazalendo.Wote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.
Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.
Watanzania nawajua vizuri mno.
Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.
Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.
Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.
Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.
Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?
Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.
Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.
Happy Sunday ✌️.
Sasa Kiranga upo Marekani, kwa nini ya huku Tz yanakuumiza na wakati haya affect Marekani kwa lolote?Most Tanzanians are so desperate for something, anything.
Gwajima, Polepole, Captain Tesha.
Give them anything, they will bite.
And when you show them obvious contradictions that shows their pipe dreams, they will tell you off.
I already see the cheap ad hominem attacks flinged at you for simply pointing out facts.
Just because you refuse to entertain some ruse, emotional, non strategic rant.
Most people are so ready to get euphoric emotionally without any logical or strategic thinking.
Sometimes I think it is a coping mechanism, to cling to anything hopeful in a sea of hopelessness.
To a point where I ask myself, is it ethical to expose the holes in this hopeful disposition?
Kapteni Twsha anataka kuwarudisha kwenye u Magufuli. Kamlilia sana Magufuli. Kasema anampenda sana Magufuli.Kumpenda JPM hakumaanishi anataka tawala zinazokuja zifanye kila alichofanya yeye, kuna mabaya mengi alifanya Magufuli, lakini watu wanataka yale mema aliyofanya yaendelezwe.
Sasa kuwasema watanzania na hulka yao ya kutaka kila kitu wanachosikia sio sawa kwa maoni yangu. Watu wamechoshwa na kutekwa, kuuwawa, wizi na ubadhirifu wa mali za umma uliokithiri. Wanataka mambo yabadilike.
Kuyabadilisha kwa diplomasia haiwezekani, jeshi la polisi, mahakama, bunge, serikali kuu vyote havitendi haki.
Unaweza kwenda kupanga mstari kupiga kura katika hali ya sasa mkuu?
Hakuna yanayoniumiza, nasema tu huu ujinga.Sasa Kiranga upo Marekani, kwa nini ya huku Tz yanakuumiza na wakati haya affect Marekani kwa lolote?
Hebu acha sisi wa huku tufanye tunayoyaka, acha kutusema sema. Hatutaki nchi yetu kuwa failed state, wengine hatuna sehemu nyingine tofauti na Tanzania, pakiharibika hapa hatuna sehemu nyingine ya kuita nyumbani. Wewe uko mbali, huwezi elewa