RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,588
- 1,858
Mbona kama umepanic
Acha blah blah. Sijawapa matumaini hewa, nasubiri majibu ya CDF kabla ya kukiwasha.Wote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.
Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.
Watanzania nawajua vizuri mno.
Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.
Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.
Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.
Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.
Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?
Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.
Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.
Happy Sunday ✌️.
Kama watanzania wote ni kenge na akatokea mmoja akathubutu kuigiza kama mamba mbele ya mamba, basi hiyo ni hatua chanya.Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.
Nyie mkoa nje si muendelee kumuongelea Trump tuachieni ya Tanzania tudeal nayoMost Tanzanians are so desperate for something, anything.
Gwajima, Polepole, Captain Tesha.
Give them anything, they will bite.
And when you show them obvious contradictions that shows their pipe dreams, they will tell you off.
I already see the cheap ad hominem attacks flinged at you for simply pointing out facts.
Just because you refuse to entertain some ruse, emotional, non strategic rant.
Most people are so ready to get euphoric emotionally without any logical or strategic thinking.
Sometimes I think it is a coping mechanism, to cling to anything hopeful in a sea of hopelessness.
To a point where I ask myself, is it ethical to expose the holes in this hopeful disposition?
Unfortunately watawala kwa kiburi cha hali ya juu wamewafanya wananchi wakose imani na mifumo ya kidemokrasia ya kubadili uongozi. Imagine, mihimili yote yaani bunge na mahakama inanekana kucollude na watawala dhidi ya wananchi, ktk mazingira hayo wananchi wanajihisi hopeless na wanaweza kumuunga mkono mtu yeyote atakayewapromise changeWatu wanashabikia tu..alikuwepo JPM..watu walilia..kijeshi sijui wataliaje
Kuna namna fulani hivi, baadhi ya watu walikuwa na ndoto ya kuona Tanzania yenye maendeleo makubwa sana, na walikosoa vikali kila aina ya watu waliokuwa na nia mbovu dhidi ya taifa. Wengi wao walizaliwa katika familia za watawala, viongozi wakuu, na familia za kifalme. Ndiyo, walitamani kuona Tanzania mpya, lakini sasa wanapoona kile walichokitamani kikianza kutimia, wanaanza kujawa na hofu. Hawawezi kuona Tanzania bila ya CCM; wanajiuliza nini kitatokea kwa familia zao na koo zao. Hofu imejaa mioyoni mwao kwa sababu zama zimebadilika. Tunahitaji kujifunza kusoma nyakati, na kuzingatia mabadiliko yanayoendelea. Tanzania ilianza kubadilika tangu kipindi cha Magufuli na inabadilika kwa faida ya wote. Hakuna kurudi nyuma sasa, tusubiri mabadiliko zaidi, kwani kila kitu kinaweza kutokea wakati huu tunapoendelea mbele.Wote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.
Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.
Watanzania nawajua vizuri mno.
Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.
Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.
Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.
Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.
Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?
Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.
Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.
Happy Sunday ✌️.
Unaongea haya ukiwa umejifungia katika nchi za wengine kama mkimbizi.Vyovyote vile utakavyowaita, waache Watanzania wapiganie nchi yao kwa njia wanazoziona sawa, kwani wewe si sehemu yao tena.Most Tanzanians are so desperate for something, anything.
Gwajima, Polepole, Captain Tesha.
Give them anything, they will bite.
And when you show them obvious contradictions that shows their pipe dreams, they will tell you off.
I already see the cheap ad hominem attacks flinged at you for simply pointing out facts.
Just because you refuse to entertain some ruse, emotional, non strategic rant.
Most people are so ready to get euphoric emotionally without any logical or strategic thinking.
Sometimes I think it is a coping mechanism, to cling to anything hopeful in a sea of hopelessness.
To a point where I ask myself, is it ethical to expose the holes in this hopeful disposition?
KabisaAfadhali hata wanaotupa matumaini hewa kuliko waliokaa kimya.
Amethubutu kuongea kiume .
Tumpe hongera
Wewe pekee Ako ndio umemuona anasoma anatetemeka ??Vijana hapa JF, ni wa kuhurumia. Kama ulimsikiliza huyo so called Captein alikuwa anasoma na anatetemeka
Hii ndiyo changamoto ya baadhi ya wanachama wa JF wanataka siku zote waonekane kama wao pekee ndiyo kitovu cha ukombozi.Mbona kama umepanic