Sangizi
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 2,483
- 5,374
Mzee, unazidi kujivua nguo.Wewe kama hujui Kiingereza na hujafikia viwango vya kujibu kwa lugha yoyote pita kimya kimya tu.
Tutasumbuana bure hapa tu utanijazia ad hominem na non sequitur logical fallacies kama hii.
Hujui kitu.
Pamoja na kuishi nje hivyo bado unaona kujua Kiingereza ni big deal? Binafsi nimekushusha sana.
I'd rather be sijui kitu, kuliko kujivua nguo cheaply kiasi hiki. Aibu sana