aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 7,527
- 21,148
Weeee sema kweli 🤣Only Mange ndo diaspora anaejitambua
Weeee sema kweli 🤣Only Mange ndo diaspora anaejitambua
Watanzania wengi hawako tayari Kwa mabadiliko, bado tumejaa ujinga ujinga mwingiPolepole kila siku anarudi tena, gwajima hivyohivyo na sijui alipotelea wapi🙆♂️ Ila hakuna cha maana kinafanyika.
Wote watachoka "kurudi tena" maana watanzania hata sio wa kuhangaika nao. Nawashangaa hata wanaojisumbua😪
Vijana hapa JF, ni wa kuhurumia. Kama ulimsikiliza huyo so called Captein alikuwa anasoma na anatetemeka
🙌Watanzania ni watu tuliojaa mhemko na ulimbukeni fulani hivi, ni watu wa msimu.. ndiyo maana hata kikombe cha Babu kilipata vibes sana. Tides zikibadilika na mambo yanabadilika kabisa.
Kwanza mwa jeshi ketu lilivyo structured ni ngumu sana - tena sana ku engineer a serious challenge ya mapinduzi ya kijeshi.
Hiyo kutetemeka, hujawahi kuona mtu anatetemeka kwa hasira!Vijana hapa JF, ni wa kuhurumia. Kama ulimsikiliza huyo so called Captein alikuwa anasoma na anatetemeka
Nyie mlio mbaliMost Tanzanians are so desperate for something, anything.
Gwajima, Polepole, Captain Tesha.
Give them anything, they will bite.
And when you show them obvious contradictions that shows their pipe dreams, they will tell you off.
I already see the cheap ad hominem attacks flinged at you for simply pointing out facts.
Just because you refuse to entertain some ruse, emotional, non strategic rant.
Most people are so ready to get euphoric emotionally without any logical or strategic thinking.
Sometimes I think it is a coping mechanism, to cling to anything hopeful in a sea of hopelessness.
To a point where I ask myself, is it ethical to expose the holes in this hopeful disposition?
Hii ni point muhimu ndio imetuchelewesha hadi leo, watu wanajigawanya wenyewe kabla hata kugawanywa na wahuni.Hii ndiyo changamoto ya baadhi ya wanachama wa JF wanataka siku zote waonekane kama wao pekee ndiyo kitovu cha ukombozi. Hali kama hii imekuwa ikiwagharimu hata wanasiasa wa upinzani, ambao nao mara nyingi wanataka waonekane kama mashujaa wakuu wa ukombozi wa taifa hili. Lakini pindi anapojitokeza mtu tofauti nao, wanaanza kusema eti 'huyu hatufai' au 'sio mwenzetu', badala ya kuangalia dhamira na mchango wake. Ukweli ni kwamba Tanzania ni ya kila Mtanzania, na kila mmoja ana haki ya kupigania nchi yake kwa namna anavyoona inafaa, mradi tu lengo ni kuhakikisha taifa letu linarejea mikononi mwa wananchi hilo ndilo jambo la msingi.
Hakika mkuu! Tanzania Kwa mabadiliko au machafuko bado Sana.Sio hivyo tu mkuu,
Tanzania bado tuna matatizo ya kawaida na wanaharakati wanashindwa kuelewa hali halisi.
Mfano eti Simiyu - fisi wenye hereni ndiyo tatizo kubwa linalokusanya umma - unadhani huyo mtu utamwambia aandamane kupinga serikali?
Siku ile High Court - wafuasi wa CDM wakati wanapigwa halafu kuna watu wanapita barabarani kwenye bajaji na maisha yanaendelea..
Heche kakamatwa Kariakoo (eneo lenye watu wengi) na maisha yanaendelea...
Hata Capt. Tesha kwa kusema aliyosema ni dhahiri watamfuta jeshu wake, then what? (Ataweza kwenda msituni?)- angekuwa anajua mapinduzi yanawezekana hata asingepiga kelele, saahizi angekuwa Ikulu tayari..
Diaspora wakibongo msaada pekee mlionao ni hiki kingereza kisicho na msingi.Most Tanzanians are so desperate for something, anything.
Gwajima, Polepole, Captain Tesha.
Give them anything, they will bite.
And when you show them obvious contradictions that shows their pipe dreams, they will tell you off.
I already see the cheap ad hominem attacks flinged at you for simply pointing out facts.
Just because you refuse to entertain some ruse, emotional, non strategic rant.
Most people are so ready to get euphoric emotionally without any logical or strategic thinking.
Sometimes I think it is a coping mechanism, to cling to anything hopeful in a sea of hopelessness.
To a point where I ask myself, is it ethical to expose the holes in this hopeful disposition?
Ndio umemaanisha nini kwa kiswahili.A man who stands for nothing will fall for anything.
If you be so open minded your brains will fall off.
Sasa mbona wewe ni mfuasi mtiifu wa Mange Kimambi, huoni unajikanyaga kanyaga?🤣Nyie mlio mbali
Nyie mnaohadithiwa kuhusu hali ya sasa ya maisha ya mtanzania, tunaomba msiwe washauri wetu...
Kiongozi sijawahi kuwa mfuasi wa binadamu yeyote.
Most Tanzanians are so desperate for something, anything.
Gwajima, Polepole, Captain Tesha.
Give them anything, they will bite.
And when you show them obvious contradictions that shows their pipe dreams, they will tell you off.
I already see the cheap ad hominem attacks flinged at you for simply pointing out facts.
Just because you refuse to entertain some ruse, emotional, non strategic rant.
Most people are so ready to get euphoric emotionally without any logical or strategic thinking.
Sometimes I think it is a coping mechanism, to cling to anything hopeful in a sea of hopelessness.
To a point where I ask myself, is it ethical to expose the holes in this hopeful disposition?
Aah nasema uongoWeeee sema kweli 🤣
Haya sawa endelea tu😎Kiongozi sijawahi kuwa mfuasi wa binadamu yeyote.
Iwe Mange, Lissu, Samia, Magufuli nk...
Mimi ni mfuasi wa 'kweli na haki'
Umri unachekeshaga, maana ukiwa mtoto, ukaumwa unadhani dunia yote inaumwa. Nakuhakikishia ni watu wachache wameisikiliza. Na wanaoshangilia na kusangilia ni vijana wachache sanaTrue. Ila kama Watawala wana akili waangslie ni jinsi gani Wananchi wameipokea hii hotuba ya Captain Tesha.
Kwahiyo unataka kutuaminisha yatakuwa ni maandamano ya chademaUmekariri sana kuwa Kila siku ni jumapili nikuwahi Misa ya saa12 au saa2 ama saa3. Usikariri kuna siku misaa inakuwa saa5 ya jumla!! Na hata siku ya jtano vilevile watu wanakominika kama kawaida.
Namna ilivyo tu maandamano yatafanyika tena kwa Hari ya ajabu kuliko hata ilivyodhaniwa.
Hata police wanawindana ataye muua mwenziwe kugeukwa na kuwekwa shaba ni jambo la kutegemewa!
Unataka kunambia kuna maaskari hawana ndg umasaini?
Kuna askari ndg zao hawajatekwa?
Kuna askari hawana ujamaa na ushikaji kabisa na lissu?
Mnajidanganya pakubwa sana