GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Wote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.

Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.

Watanzania nawajua vizuri mno.

Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.

Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.

Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.

Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.

Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?

Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.

Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.

Happy Sunday ✌️.
Hakuna atakae serikali ipinduliwe na jeshi...

Kila mtu anataka tutumie njia za kidemokrasia, njia za kiraia kupitia uchaguzi kuifurusha CCM itoke madarakani...

Lakini wao CCM hawaitaki kuifuata njia hii. Wameamua kutumia nguvu kujilazimisha kubaki madarakani..

Sasa wananchi tunapoona mwenye nguvu zaidi kuwazidi CCM (yaani JWTZ) likiwa upande wa wananchi, likiwa upande wa haki, ni kwanini unadhani wananchi tusiwape support yetu? NO WAY, TUTAWAPA.....!!

Wananchi tulioumizwa, kwa hakika tupo tayari kuli support Jeshi kuchukua hatamu za utawala..!!

Ni heri kuwa chini ya utawala wa wanajeshi Wazalendo kuliko kuwa chini ya utawala wa kihayawani wa CCM hii iliyooza chini ya mkono wa shetani Jezebel...!!
 
Wote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.

Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.

Watanzania nawajua vizuri mno.

Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.

Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.

Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.

Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.

Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?

Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.

Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.

Happy Sunday ✌️.
Kwa upeo wangu, Maandamano yapo, Ari na nia ipo, bila jeshi pia inawezekana. Je unakumbuka 2015? Msimu wa kifo cha akwilina.. vituo vingapi vya polisi vilichomwa? Misafara ilipigwa mawe, maandamano kila kukicha, kama sio Magu ulikua ni mwisho wa utawala wa chama.
Nchii hii inasikitisha badala ya jeshi la wananchi kutetea na kusimamia maslai ya nchi, linawafuga na kuwakinga mafisadi na majizi
 
Wote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.

Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.

Watanzania nawajua vizuri mno.

Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.

Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.

Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.

Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.

Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?

Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.

Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.

Happy Sunday ✌️.
Mkuu mabadiliko huwa hayaji kwa ghafla, Kila kitu huwa kinakuwa taratibu, ndio mana hata watoto walioitwa wa 2000 kwa sasa wanaitwa wazee, usimdharau mtu kwa kuwa jana ulimuona anaogopa, TUJIPE MUDA
 
Kama utawala wa saizi unaona ni mbaya hasa kwenye mawazo mbadala - utawala wa kijeshi utakuwa mbaya zaidi mara elfu - ndiyo maana Burkina fasso wamejitoa hadi ICC, uandhani kwanini? Wabagaze watu waeezavyo.

Mimi kwangu utawala wa kiraia wa hovyo hovyo ni bora kuliko utawala wa kijeshi
Hakuna tofauti yoyote. Unafikiri kwa kiwango hiki tulichofikia cha ufisadi, wizi wa mali na rasilimali za umma, mauaji, utekaji kuna tofauti gani kati ya utawala huu na utawala wa kijeshi?

Ni bora wanajeshi wanaojitambua na kulinda maslahi na rasilimali za nchi kuliko hili genge linalolinda maslahi ya familia chache,wengine wote wakituona kama watumwa, vijakazi wao tulipe kodi wazitumbue hovyo.
 
Kuna kitu nimegundua kwenye huu uzi. Kuna synducate. Kuna kuzazi fulani hivi cha jf ambacho kinaishi nje, kinapenda kuona hali za watanzania wenzao katika unyonge kila leo. Kizazi hiki kinaisho nje ya TZ kwa hali ya ukiwa na upweke mwingi. Wakichungulia Tanzania wanaona kuna fukuto na wanapenda kuona hali za sintofahamu zikiendelea. Hawataki kusikia kuna jambo la heri, hata kwa imani tu. Kila jambo wanapinga kwa kejeli.

Chunguza wachangiaji wa mada hii wanaomuunga mleta mada utabaini hilo. Kama mmeshindwa kuishi ulaya na hamuwezi kurudi Tz, tuachieni struggle zetu, aidha ziwe real or utopia. Revolution zozote zilianza kwa chokochoko kama hizi, hivyo kuja hapa na kuanza kukejeli inainyesha kiasi ulivyo desperate. Sadists nyie!
Kuishi ughaibuni kusafisha vinyeo vya vizee vya kizungu wanajiona maisha wameuapatia kila kitu cha nyumbani wanaponda tu.
 
Majitu ya mtandao bhana yan hata sielewi kbs hv una akili timamu unawezaje shabkia ccm na serikali yake yan viongoz wawe na kinga ya kutoshtakiwa, wenza wao walipwe mafao, ukikoa utekwe uuwawe, no maji, no dawa seriously, mafao ya wastaafu kikokotoo ila mafao yao no kikokotoo ***** wallahi.
 
Wote kwa uchache wenu humu mliofurahia video ya ajiitaye ‘Kapteni Tesha’, mmejazwa upepo tu.

Mmepewa matumaini hewa ya kudhani kuwa JWTZ linaweza kuipindua serikali ya kiraia ya CCM.

Watanzania nawajua vizuri mno.

Wanajeshi wa JWTZ nao ni Watanzania pia. Hivyo, kimsingi hawana tofauti na raia wengine.

Wote ni makondoo tu. Nyumbu pia wapo.

Kwa aina ya wananchi waliopo hivi sasa, hakuna mtu atayethubutu kuipindua serikali ya CCM.

Kuandamana tu kunawashinda. Kugoma kupiga kura nako kunawashinda.

Mapinduzi ndo mtayaweza nyinyi?

Baada ya kufanya utafiti wangu mwenyewe, nimehitimisha kuwa Jana mmejazwa tu upepo na sasa mmeanza kuutoa kama gesi ya tumboni.

Mmepata furaha na faraja ya muda mfupi and now it’s back to life, back to reality.

Happy Sunday ✌️.

Nadhani unaweza ukawa hujampenda TESHA kwa sababu flani flani. Lakini TESHA hajatoa matumaini fake kwa yeyote na watu hawajamfurahia TESHA kwa sababu ya ambacho anaweza fanya au kasema atafanya. Watu wamependa Ujasiri wa TESHA. Bila kuangalia Jina lake na asili yake. Bila kuangalia cheo na nafasi yake.

KITENDO CHA KUMWITA SHETANI, SHETANI NDICHO WATU WAMEPENDA. NI MWANZO WA KUAMSHA NA WENGINE WALIOLALA. TESHA NI SHUJAA KWA ALICHOFANYA.

Kama nlivyosema awali. Mengine yawe yasiwe ila tu TESHA amefanya jambo la kijasiri. Mbegu ya mbuyu ni ndogo sana ukilinganisha na mbuyu wenyewe. So mi nadhani Tesha hata kama hatulipendi jina lake. Tukubali ameonesha Ujasiri. Kitendo tu cha yeye kujibiwa na Jeshi. Ni ushindi mkubwa kwake.
 
Nyie mlio mbali
Nyie mnaohadithiwa kuhusu hali ya sasa ya maisha ya mtanzania, tunaomba msiwe washauri wetu.
Maana hata mnaowasiliana nao na kupata taarifa kuhusu hali ya huku inawezekana ni watu wenye level ya kati au ya juu kiuchumi au ni wale wanaojiona high class watu wa aina hiyo ni ngumu sana kupata taarifa halisia kutoka kwao.
Nchi haijatulia.
Viongozi wa sasa hawakubaliki.
Kuna uwezekano lolote linaweza kutokea.
Mitaani kumejaa lawama na manung'uniko.
Pia mitaani hali ya uchumi ni mbaya sana.
Ubabe na rushwa imekuwa mbinu rahisi ya uongozi.
Raia wamekata tamaa, na hakuna kiongozi anaejali hilo.
Lolote linaweza kutokea hali si shwari km jana na juzi.
Diaspora asilimia kubwa ni hopeless kubwa sana
 
IMG-20251005-WA0003.jpg
 
Hakuna tofauti yoyote. Unafikiri kwa kiwango hiki tulichofikia cha ufisadi, wizi wa mali na rasilimali za umma, mauaji, utekaji kuna tofauti gani kati ya utawala huu na utawala wa kijeshi?

Ni bora wanajeshi wanaojitambua na kulinda maslahi na rasilimali za nchi kuliko hili genge linalolinda maslahi ya familia chache,wengine wote wakituona kama watumwa, vijakazi wao tulipe kodi wazitumbue hovyo.
Ndiyinmaana tunasema - watanzani hatufuatilii, tunajaa mhemko.

Karibu Nchi zote zinazoongozwa kijeshi - au serikali za kijeshi zilizojivika koti la kisiasa zinaongoza kwa ufisadi, nepotism na freedom of speech hakuna hata ile chembe.

Nipe mfano wa serikali ya kijeshi bora isiyo na elements hizo tatu.
 
Back
Top Bottom