Sa nane hapa ndo huwa nakudharau nandio mana kila ciku mi naww tunatofautiana&!!cijui ni ujinga unakusumbua,naaanza kupata wasiwas na uelew wako,sasa naamin umeletwa humu jamvin kupinga kila anaye toa mawazo yako,na jana nilikuambia humu jamvin ww nadhn hii ndo kaz yako maalumu uliyopew.hv kila anayetoa wazo lake ww nikulidharau tu ina maana wew kila unacho kiandka ndio kiko sahhi,usituonyeshe ulivyo mtupu kichwan,aliyosema komba ni mawazo yake,na unapaswa kuhesnimu mawazo yake na kama unambishia tumia hoja.mimi binafs naamin kuwa lowassa ndiye anahefaa kuwa rais wa nchi hii 2015 .jirekebishe kaka wakat mwingne bora hata utumie id kuchangia kwasabu unazidd kujiweka uchi tu