King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,433
- 88,780
Komba ametumia tumbo kufikiri.
Mawazo yake,kila mtu anamtazamo wake ndiyo maana mbowe na slaa wameamua kula hela za ruzuku.
hapo kwenye red ni serious allegation mzee, una maana gani? jaribu kudadavua ni nani mbakaji wa watoto wadogo manake sijakuelewa, au ni ushabiki tu wa vyama?Njaa zitamuua.Kwa hiyo amekua mgombea anayeungwa mkono na wabakaji wa mabinti wadogo,mafisadi,wezi,wanafiki,wauza unga na walevi?
Badala ya kujadili sera na ilani bora kuelekea 2015 anajadili pua za watu?
Captain gani asiyejua kufikiri sawa sawa?
Ben we ni mtu una sura nyingi sana,yaani kila anayetoa mtizamo wake ana njaa na amehongwa,inawezekana huna kazi inayokuingizia kipato kinachoeleweka na uwezo wa elimu uliyo nayo unanitia mashaka,kila kitu kwako we ni negative,hata mti wa muashoki upepo unapovuma una bend in either side,manake a wise man should always be flexible siyo kila kitu ubishi,usione kila aliye against you ana njaa ya kuhongwa,na wewe utuambie mda wote unaokuwa jf unafanya kazi saa ngapi ya kukuingizia kipato? Na wasiwasi siku jf wakipigwa ban wewe ni kati ya watu watakaoishi kwa shida sana
hapo kwenye red ni serious allegation mzee, una maana gani? jaribu kudadavua ni nani mbakaji wa watoto wadogo manake sijakuelewa, au ni ushabiki tu wa vyama?
kepten komba hivi anaongoza jimbo gani?
mkuu kwanza labda nikuambie tu ukubali ukatae,watu wakigoma na wtz wanatambuw ww ndo adui namba moja wa zitto zuberi,hiz fitna zote za kuchafuliwa kwa zitto kwny mitandao yakijamii ww ben sa nane ndo unayeongoza kundi hilo na hili unalifnya kwa makusudi kabsa kwaajili ya kumridhisha mbowe na babu yenu huyo dr slaa.Na hili umelifnya makusudi baada ya lile jaribio la kumwekea sumu kwenye chakula kushindwa!na hata hapo sahv najuw sahv umejiandaa ni jinsi utahakikisha unamtenganisha mwigamba na roho yake,usifikir tz ni ile ya zaman,yote haya yako waz
Akihojiwa na Salama Jabri kwenye kipindi cha "Mikasi" Mwimbaji Maarufu wa CCM na Kiongozi wa TOT amesema kwa maoni yake binafsi Mwaka 2015 anayefaa kuwa Rais wa Tanzania ni Edward Lowassa.
CC Pasco
Hata yeye Komba anafaa.
mikasi wanahojiwa kina Gurumo,wema Sepetu na Komba....
anything they say is entertainment.....nothing serious..
hata mimi ,nitake radhi kaka
Low IQ.......!
Ben wewe na komba nani ana njaaa?
Nonesense.Sifuati mkumbo.Wewe muda wote uko JF unafanya kazi saa ngapi unaponifuatilia muda wote?
JF Ikifungwa nitaandika kwenye magazeti na kwenye interbational Journals.Wewe sijui utafanyaje
Usisahau Kusoma makala yangu leo kwenye gazeti la SURA YA MTANZANIA na The Guardian,Daily Nation ya Kenya Jimapili ijayo kuhusu Miaka 68 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa na Reform zinazotakiwa.
Nonesense.Sifuati mkumbo.Wewe muda wote uko JF unafanya kazi saa ngapi unaponifuatilia muda wote?
JF Ikifungwa nitaandika kwenye magazeti na kwenye interbational Journals.Wewe sijui utafanyaje
Usisahau Kusoma makala yangu leo kwenye gazeti la SURA YA MTANZANIA na The Guardian,Daily Nation ya Kenya Jimapili ijayo kuhusu Miaka 68 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa na Reform zinazotakiwa.