Kapten John Komba: Lowassa anafaa kuwa Rais 2015

Kapten John Komba: Lowassa anafaa kuwa Rais 2015

Hayo ni maoni yake, Capt John Komba. Hakuna sababu ya kumtukana na kumkashifu. Hata nyie mnaotoa maoni hapa mna usafi gani? Tuwe wastaarabu kidogo.
 
Mimi ananifurahisha na nyimbo zake:Tieni,tieni,tieni kwa moyo mmoja ,nambari one eh,nambari one ni..........au ule wimbo wake mwingine:Mgombea wetu........tumpambe maua,tumweke mbele,apambwe pambwe pambwe.................anyway hayo ni maoni yake na anao uhuru wa kutoa maoni kama mtanzania yeyote yule,mimi kwa maoni yangu yeye Captain Komba ndiye anafaa kuwa raisi ajaye kwa tiketi ya CCM,mgombea mwenza Wasira
 
Nonesense.Sifuati mkumbo.Wewe muda wote uko JF unafanya kazi saa ngapi unaponifuatilia muda wote?

JF Ikifungwa nitaandika kwenye magazeti na kwenye interbational Journals.Wewe sijui utafanyaje

Usisahau Kusoma makala yangu leo kwenye gazeti la SURA YA MTANZANIA na The Guardian,Daily Nation ya Kenya Jimapili ijayo kuhusu Miaka 68 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa na Reform zinazotakiwa.

Ben,
Una ujuzi upi wa tofauti wa kuandika makala na walionao wengine? Hivi kuna haja ya kila mtu hapa JF kueleza anachokifanya?? This is what we call LOW IQ.

Sio lazima kila mtu akubaliane na mawazo yako, likewise na wewe sio lazima ukubali mawazo ya kila mtu. Mleta mada kaleta alichosikia sasa sio lazima wewe ukubali.

Ila kaka mbona hata Chadema/ Bavicha kuna watu hawakutaki kabisa na hasa vijana wengi. Narudia kukuambia iga vijana wenzio ndani ya chama chako.

NKUU SINDE.
 
Kashaona dalili za kupoteza jimbo so lazma ajikombe anaweza akapata viti maalumu
 
Mimi ananifurahisha na nyiomba zake:Tieni,tieni,tieni kwa moyo mmoja ,nambari one eh,nambrione ni..........au ule wiombo wake mwingine:Mgomebea wetu........tumpambe maua,tumweke mbele,apambwe pambwe pambwe.................anyway hayo ni maoni yake na anao uhuru wa kutoa maoni kama mtanzaia yeyote yule,mimi kwa maoni yangu yeye Captain Komba ndiye anafaa kuwa raisi ajaye kwa tiketi ya CCM,mgombea mwenza Wasira
 
Kaka mbona umempa kazi nzito sana huyo hayo magazeti ataweza kuyasoma kweli. Au umesahau tafiti kwamba wanao muunga JK mkono niwale darasa la7 na ambao hawajui kusoma? Huyo kazoea udaku kama uhuru mzalendo.

Sijawahi kuona wala kusoma kitu cha maana ulichoandika. Zaidi ya kuchangia PUMBA na Mashudu ya akina Ben.

Then you call yourself Mt Kili... Low IQ.
 
Sa nane hapa ndo huwa nakudharau nandio mana kila ciku mi naww tunatofautiana&!!cijui ni ujinga unakusumbua,naaanza kupata wasiwas na uelew wako,sasa naamin umeletwa humu jamvin kupinga kila anaye toa mawazo yako,na jana nilikuambia humu jamvin ww nadhn hii ndo kaz yako maalumu uliyopew.hv kila anayetoa wazo lake ww nikulidharau tu ina maana wew kila unacho kiandka ndio kiko sahhi,usituonyeshe ulivyo mtupu kichwan,aliyosema komba ni mawazo yake,na unapaswa kuhesnimu mawazo yake na kama unambishia tumia hoja.mimi binafs naamin kuwa lowassa ndiye anahefaa kuwa rais wa nchi hii 2015 .jirekebishe kaka wakat mwingne bora hata utumie id kuchangia kwasabu unazidd kujiweka uchi tu

Kwanini Lowasa anafaa kuwa raisi wa nchi hii????
 
Ben si kila mtu anaishi.kwa.kubahatisha.kama wewe,shule gani umesoma ambayo sisi hatujasoma ? Usione kila mtu mwenye msimamo tofauti na wewe ukadhani anaishi kwa kubahatisha,eti unaandika makala ndo.njia ya kukuingizia kipato? Shame on you kila.mtu anaweza kuandika makala as long as you have been to skul,waandishi wangapi wana elimu ya kawaida tu na wanandika makala nzuri,ur exceptional to wht field and to.wht.extent? Ni nini kinakupa kibur kutukana kila mtu?

Uliuliza JF ikifungwa nitaandika wapi?Majibu yako yanaonyesha jinsi ulivyo myopic.

Inferiority complex inakusumbua ndio maana ukijibiwa ipasavyo unaropoka ovyo kuwa umetukanwa.Una matatizo ya kisaikolojia.Tulia,acha hasira.Tuendelee....
 
Kaka mbona umempa kazi nzito sana huyo hayo magazeti ataweza kuyasoma kweli. Au umesahau tafiti kwamba wanao muunga JK mkono niwale darasa la7 na ambao hawajui kusoma? Huyo kazoea udaku kama uhuru mzalendo.

Thanks mkuu.Tutawaelimisha taratibu tu waache kusoma heading za magazeti ya udaku
 
Sijawahi kuona wala kusoma kitu cha maana ulichoandika. Zaidi ya kuchangia PUMBA na Mashudu ya akina Ben.

Then you call yourself Mt Kili... Low IQ.

Kaka nilikuambia kama wewe umeweza kuwa mwenyekiti UVCCM mkoa basi tatizo la CCM ni kubwa kuliko tunavyofikiri

Hii thread nilijua ungekuja tu maana Mishikaki ya Mwaka Mpya Kule Monduli inakufanya mtumwa.Wewe ni fedheha kwa vijana

Jadili sera na mipango.Usiongozwe na uroho wa nyama katika kuendesha jumuiya.Unajidhalilisha!
 
naona unatumia uzoefu ulio nao wa kuandka na kujijibu mwenyewe,poor saa nane!hizo id zote iko ciku utajikoroga tu

Inferiority complex ni mbaya.Kwa hiyo ID ya Kilimanjaro ni yangu?Maskini!
 
=> Komba ni komba kweli....hivi bado ni boyfriend wa lulu...?? mzee bado anafanya uboyfriend na vijisichana...?? ndio maana Salama alimkalia mapajani....!!! Nosense & senseless....!!!
 
Wanajamvi!
Katika hali ya kujiamini, kada maarufu na mbunge kupitia ccm kapten Komba ametamka wazi kuwa ndani ya ccm mpaka sasa hajaoona mgombea anayefaa kuwa rais wa nchi kupitia ccm zaidi ya Edward Lowassa. Akiohojiwa kupitia kipindi cha mkasi kinchorushwa na televisheni ya EATV, zaidi ya kauli hii pia mekiri kuwa na makundi ndani ya ccm na kusema kuwa ndani ya ccm kuna watu wabovu wengi sana na kuwa sababu ni kutoandaliwa vizuri, cap Komba kadai kuwa kuna watu wamedandia uongozi ndani ya chama bila kupikwa kama alivyopikwa yeye na Jakaya Kikwete. Akiongelea maisha yake binafsi Cap Komba kaweka hadharani kuwa ana watoto tisa huku wanne kati yao kazaa na nje ya ndoa, zaidi kaongelea kuhusu kuigizwa na Origonal Komedi na si shida ila asiigizwe kama mtu mchafumchafu kwani yeye ana siha nzuri. Hoja nyingine alioiongelea ni ile ya kupigwa picha akiwa kauchapa usingizi bungeni huku vikao vikiendelea na kuwa hayo yalishapita na sasa kila mtanzania anajua Komba ni nani.
 
QUOTE=Nali;7678168]Hahahahahha...my ribs! Hivi alikua amelewa? Huyu jamaa kama vile he is not serious at all[/QUOTE

Duh Kwa Kweli it is very serious Hivi What was he thinking? :A S 39:
 
huo ni mtazamo wake tu komba laikini raisi ajaye ni DR. W. SLAA pekee ni zamu ya cdm kushika nafasi hiyo
Akihojiwa na Salama Jabri kwenye kipindi cha "Mikasi" Mwimbaji Maarufu wa CCM na Kiongozi wa TOT amesema kwa maoni yake binafsi Mwaka 2015 anayefaa kuwa Rais wa Tanzania ni Edward Lowassa.

CC Pasco
 
Back
Top Bottom