Kapten John Komba: Lowassa anafaa kuwa Rais 2015

Kapten John Komba: Lowassa anafaa kuwa Rais 2015

Hivi lile limwili lote anasubutu kuvua nguo zote na kumwonyesha mtoto!
Hawa ndo viongozi wa ccm ya Jk
 
Rais bora atatoka CCM na Rais wetu anaweza kuwa mtu mwenye sifa zenye kukidhi haja ya nafasi hiyo!.
 
Huyo Komba na yeye kashavuta pesa kutoka kwa Lowassa siyo bure..chezea lowassa waislamu wenyewe wanamtaja lowassa kwenye dua zao ama kweli pesa mwanaharamu
 
Njaa zitamuua.Kwa hiyo amekua mgombea anayeungwa mkono na wabakaji wa mabinti wadogo,mafisadi,wezi,wanafiki,wauza unga na walevi?

Badala ya kujadili sera na ilani bora kuelekea 2015 anajadili pua za watu?

Captain gani asiyejua kufikiri sawa sawa?

Ni kama wewe vile njaa ya kuwa mwenyekiti pachikwa wa bar vichaa inavyokutesa?
 
Akihojiwa na Salama Jabri kwenye kipindi cha "Mikasi" Mwimbaji Maarufu wa CCM na Kiongozi wa TOT amesema kwa maoni yake binafsi Mwaka 2015 anayefaa kuwa Rais wa Tanzania ni Edward Lowassa.

CC Pasco

KOMBA TANGU ALIPOKULA hela za TOT NA KUFILISI HADI MAGITAA YA BENDI NIMEMDHARAU KABISA ! SWALI LA KIZUSHI , KWANINI UMEMPELEKEA COPY YA UZI HUU PASCO ? AU NAYE NI MHANGA WA MISHIKAKI NA POMBE ZA ASILI ?
 
Ni kama wewe vile njaa ya kuwa mwenyekiti pachikwa wa bar vichaa inavyokutesa?

Captain leo kawaumbua ------- zenu kumbe hamnazo...mpk CC ya Nyinyiem kumbe kuna vichaa?!! Pimbi maandazi majambawazi. Shame on you nyinyiem(ccm)
 
Njaa zitamuua.Kwa hiyo amekua mgombea anayeungwa mkono na wabakaji wa mabinti wadogo,mafisadi,wezi,wanafiki,wauza unga na walevi?

Badala ya kujadili sera na ilani bora kuelekea 2015 anajadili pua za watu?

Captain gani asiyejua kufikiri sawa sawa?

Maoni yake hayo me nadhani ulipenda atoe maoni unayoyapenda ww bt ww pia unajua how much lowasa ni tishio kwa chama chenu kwenye uchaguzi ujao
 
Njaa zitamuua.Kwa hiyo amekua mgombea anayeungwa mkono na wabakaji wa mabinti wadogo,mafisadi,wezi,wanafiki,wauza unga na walevi?

Badala ya kujadili sera na ilani bora kuelekea 2015 anajadili pua za watu?

Captain gani asiyejua kufikiri sawa sawa?

Hivi watu wote wangekuwa na mtazamo kama wako unadhani ingekuwaje?
Au Unadhani nchi ni yako kila mtu akubaliane na wewe?
Jifunzeni kuheshimu mawazo ya wengine japo yanauma,ndio maana mnashabikia sana watu kupigwa kule kwenu wakipingana tu na maboss wenu,
 
Huyo Komba na yeye kashavuta pesa kutoka kwa Lowassa siyo bure..chezea lowassa waislamu wenyewe wanamtaja lowassa kwenye dua zao ama kweli pesa mwanaharamu

Waislam wameingiaje hapa? Au unatutafutia ban tukikujibu
 
Akihojiwa na Salama Jabri kwenye kipindi cha "Mikasi" Mwimbaji Maarufu wa CCM na Kiongozi wa TOT amesema kwa maoni yake binafsi Mwaka 2015 anayefaa kuwa Rais wa Tanzania ni Edward Lowassa.

CC Pasco

Hivi Komba anaweza kuwa mdini?
 
Back
Top Bottom