Kapten John Komba: Lowassa anafaa kuwa Rais 2015

Kapten John Komba: Lowassa anafaa kuwa Rais 2015

Ni ukweli mtupu komba njaa inamsumbua,fadhila anazofanyiwa na lowasa zimempelekea kumkubali lowasa. Huko mbele
hana mwelekeo.
 
Nimeamini wakati mwingine majina tunayojipa yanaleta tashwira halisi ya mtu mbun'go ?? Kweli wewe ni huyo mdudu. Hili jukwaa sio saizi yako kama uliyoandika hapa yanatoka kichwani.

sawa mi nakubali mi mbun'go kwahyo nawew umesha chakazwa mpaka hata hauwez kukaa?manake naww jina lako ni chakazwa?emb tupe siri ya urembo,au ni mbowe ndo anakuchakazaga?
 
Last edited by a moderator:
Anafaa ili atengeneze richmond B, zitakazowekeza kwenye ges na mafuta. Komba fanya kampen pengine utamegewa.
 
Raisi wa madereva bodaboda wa mwanza.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Akihojiwa na Salama Jabri kwenye kipindi cha "Mikasi" Mwimbaji Maarufu wa CCM na Kiongozi wa TOT amesema kwa maoni yake binafsi Mwaka 2015 anayefaa kuwa Rais wa Tanzania ni Edward Lowassa.

CC Pasco

kipindi cha "Mikasi" Mwimbaji Maarufu wa CCM na Kiongozi wa TOT:A S-confused1:
 
Kwa CCM ni Lowassa pekee anafaa kwa Urais 2015.
Ametufanyia mengi ya maendeleo ukiachana na propaganda za adui zake
 
sawa mi nakubali mi mbun'go kwahyo nawew umesha chakazwa mpaka hata hauwez kukaa?manake naww jina lako ni chakazwa?emb tupe siri ya urembo,au ni mbowe ndo anakuchakazaga?
Ha ha ha mie sio Chakazwa bali chakaza. Kamanda Chakaza, uliza hata wakati wa vita ya Kagera kamanda Chakaza alikuwa nani? Wewe mbun'go jitathimini kile uandikacho dogo sio kwa vile uko nyuma ya pc yako na watu hawakuoni basi unajiandikia hovyo. Basi jiangalie mwenyewe hata kwenye kioo halafu jiulize hivi mie ndio nimeandika haya?
 
kwa kuanzia mimi si mwanasiasa kabisa na wala sipendi siasa hasa siasa za kiafrika hususan Tanzania,lakini imenilazimu nitoe mawazo yangu kutokana na viongozi wetu kadhaa kuonekana wamepania kuitaka hiyo nafasi ilhali hakuna kitu ambacho wamekifanya kitakacho tupa imani ya dhati kwamba ndugu yetu huyu atatupeleka kule tunapotaka.
Mhe Lowassa kwa dhati bila unafiki ameyafanya mengi ambayo sote ni mashahidi kuanzia jimboni kwake akiwa kama mbunge,amefanya mengi akiwa kama waziri katika wizara alizoziongoza,amefanya mengi akiwa kama waziri mkuu na ameweza kufanya maamuzi magumu na hachekei viongozi wanaozembea katika majukumu yao ya kazi huwa hahitaji vikao kumjadili mtu anayeharibu mfano mdogo ni pale alipowasimamisha kazi viongozi wa manispaa ya Temeke pale ghorofa iliyojengwa maeneo ya keko ilikuwa ni hotel alimsimamisha kazi engineer wa manispaa kwa kutoa kibali kilichopelekea ghorofa hilo kujengwa bila viwango hatimaye kuporomoka,aliwasimamisha kazi barabarani alikuja kuangalia maafa yaliyotokea baada ya ghorofa kuanguka na baadae aliwaita wahusika na kuwahoji na kuwatimua palepale hivyo kama alikuja na gari la serikali,gari litarudi na dereva na kama ataomba abebwe atapakiwa akiwa kama mtu wa kawaida uthubutu wa namna hii ndio anatakiwa Rais ajae awenao ili kuondoa viongozi vimeo ambao ni wengi hatakiwi kiongozi mwenye aibu na urafiki,anatakiwa kiongozi ambae anakuwa rafiki pale unapotimiza majukumu yako lakini ukiharibu awe na uthubutu wa kukukana na akutimue ili nchi yetu iliyojaa neema iweze kwenda.
 
Back
Top Bottom