Date::8/4/2008
Waziri apiga marufuku wimbo wa taifa katika simu
Na Clara Alphonce
Mwananchi
WAZIRI wa Habari, Utamaduni na Michezo, George Mkuchika amepiga marufuku wananchi kuweka wimbo wa taifa katika simu zao za mkononi.
Yaani hili ndio ovyo kabisa, halafu linatoa amri linafikiri tupo jeshini hapa, kero kubwa sana haya majamaa!
Tatizo Watanzania hatuna utamaduni wa kuonyesha uzalendo wetu....sasa mijitu kama hili li Mkuchika inakuwa inapata culture shock ya aina fulani hivi inapoona vijana au watu tu kwa ujumla wanapoanza kuwa patriotic na ku display patriotism kwa njia mbalimbali kwa kutumia teknolojia. Sasa sijui jitu kama hili likiona bikini za bendera ya Tanzania zinauzwa madukani si linaweza likazimia kabisa.....Lol
Tanzania inatakiwa iongozwe kwa sheria na si amri ya Waziri, Mkuu wa Mkoa au nani.
wazee wengineo nao, mie nilifikiri unapoongeza na busara zinaongezeka.
Naamini aliposema kuwa Tanzania inahitaji journalists waliosomea journalism alisahau kusema Tanzania inahitaji Mawaziri waliosomea leadership pamoja na sheria.
Sijui huyu jamaa anajua hata kutumia intaneti....kama anajua I hope huwa anapitia na kusoma hii foramu maana akisoma mada hii atajisikia "funny feeling"....