Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,380
- 39,337
Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Mhe. George Mkuchika amesema kuwa ni lazima kwa waandishi wa habari wa Tanzania kuwa ni wale waliosomea fani hiyo, kwani fani hiyo ni kama fani nyingine muhimu. Amesisitiza kuwa hata sheria mpya ya uhuru wa habari itazingatia jambo hilo. Ameyasema hayo leo katika hotuba yake ya makadirio ya bajeti yake ya mwaka huu. Bunge limepitisha bajeti ya wizara hiyo.
Last edited by a moderator: