Kanyaga ya diamond

Kanyaga ya diamond

leo kijana hajaimba matusi na mambo ya tigo. video nzuri inaubunifu. ila nasikitika utachuja muda mfupi sana.
mkuu jamaa hategemei kutoa nyimbo ikae mwaka ni mwendo wa kuweka kitu na kutoa kitu, so kama unadhani jamaa anasubiri mchujo sahau
 
Domo hatupumzishi.. ni bandika bandua! Alafu zote hit..
Kama nawaona mtaa wa pili wakina king wanavyotamani kuama nchi!

Alafu Kwa nini clouds bado hawapigi nyimbo za huyu jamaa na Rg kashachomoka na familia iliomba samahani kwa niaba yake...
 
Wanaolilia kusafiri, kanyaga
Wakati hawana pesa, kanyaga
Mondi atulipia usihofu, kanyaga
Wanaotudangaya kuna treni ya umeme _ Kanyaga

Waliotudanganya kuna Tz ya viwanda _ kanyaga

Waliosema tutapewa Noah_kanyaga


Aliyetudanganya atatupa kilo mbili mbili za korosho_kanyaga

Aliyehusika kumshambulia Tindu Lissu _ kanyaga.
 
Yaani Daimond hapa hata sijajua kucheza kibaiskeli sasa Kanyaga..nikifika huko sijui itakuwa Mchakamchaka Jirushe, Pangua au Bingirika. 😂😂
Songi zurii sana.
 
Yule jamaa Muongo sana utasikia anasema Dini yake haimruhusu wakati anaimba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom