[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu sina la ziada zaidi ya kusema shukrani sana
nyuzi zakiboya, kanyaga
comment za kiboya, kanyaga
Mods kanyaga, kanyaga bila woga.
Eti nimewahi siti, kanyaga
Eti ngoja waje, kanyaga
Eti uzi mrefu, kanyaga
Woiyo, woiyooo, woiyooo, kanyaga.
Mimi na wewe tuna mtazamo mmoja mkuuAu Wewe unaonaje ndugu?
Mkuu ebu shusha hiyo mistari kwa maneno hapa, wengine pia tuweze kula kwa macho.
Mkuu sina la ziada zaidi ya kusema shukrani sana
nyuzi zakiboya, kanyaga
comment za kiboya, kanyaga
Mods kanyaga, kanyaga bila woga.
Eti nimewahi siti, kanyaga
Eti ngoja waje, kanyaga
Eti uzi mrefu, kanyaga
Woiyo, woiyooo, woiyooo, kanyaga.
Zari Kanyaga
Trump kanyaga
Tunaotumia Huawei kanyaga
Wairani kudondosha drone ya marekani kanyaga
Chadema kanyaga
Mange kanyaga
Clouds kanyaga
Makonda kanyaga
Taifa stars kanyaga
TBC kanyaga
Watuache tuwakanyageeeeee!!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Teh hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Hahaha [emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wenye ID 2, kanyaga
Wanaokomenti pumba, kanyaga
Wanaotania, kanyaga
Wenye watoto wakorofi,kanyaga
Woiyooo woiyooo woiyoooo kanyagaa bila woga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha [emoji28]
Physics , kanyaga
Team kiba kama nawaona watakavyoikandia
Siku moja Kiba alihojiwa na kudai kutoa wimbo kila wakati ni kutojiamini! Nikajiuliza, huyu jamaa mbona anaongea kinyume chake! Inabidi uwe unajiamini kweli kweli mtu ndipo uweze kutoa ngoma mfululizo! Inama bado inafanya vizuri; mwingine angekuwa na hofu kutoa ngoma nyingine isingefanya vizuri kama Inama, lakini jamaa anatoa tu! It takes a gut aisee!napenda jamaa anajiamini. yaani anatoa tu nyimbo mfululizo bila wasiwasi wowote.
Siku moja Kiba alihojiwa na kudai kutoa wimbo kila wakati ni kutojiamini! Nikajiuliza, huyu jamaa mbona anaongea kinyume chake! Inabidi uwe unajiamini kweli kweli mtu ndipo uweze kutoa ngoma mfululizo! Inama bado inafanya vizuri; mwingine angekuwa na hofu kutoa ngoma nyingine isingefanya vizuri kama Inama, lakini jamaa anatoa tu! It takes a gut aisee!
Diamond ana tabia ya kuachia ngoma kwa kuangalia tastes tofauti tofauti! Hata mimi nakubali Inama ni bonge la ngoma, lakini Kanyaga ndio taste yangu! Mi mangoma kama Kanyaga, alivyotembea na Nyegezi, Katika, ile ya crew na Waafrica kibao, Love you Die (from Patroranking), hizi ndo taste zangu hasa! Kwahiyo ameamua kututendea haki! Na ni suala la muda, atashusha pure Bongo Flavorhili goma ni hatari japo haijafikia INAMA. Ila i gues atakua anatumia huu wimbo kuamsha mizuka ya watu kwenye shows zake