YNNAH
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,702
- 969
1. Ukibadilisha mstari unapopanga foleni ule uliouacha unakwenda mbio zaidi.
2. Namba unayopiga kwa makosa daima haipo bize (busy)
3. Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza kuwasha ili uikune
4. Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli
5. Ukishajitia maji tu simu itaanza kuita
6. Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka unapokuwa na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae
7. Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako imeharibika ukiwasha itafanya kazi
8. Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale ambapo huwezi kujikuna
9. Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa yako bosi atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa yako ipoe.
2. Namba unayopiga kwa makosa daima haipo bize (busy)
3. Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza kuwasha ili uikune
4. Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli
5. Ukishajitia maji tu simu itaanza kuita
6. Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka unapokuwa na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae
7. Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako imeharibika ukiwasha itafanya kazi
8. Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale ambapo huwezi kujikuna
9. Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa yako bosi atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa yako ipoe.