Copy&PEST

kapesly

Senior Member
Jan 1, 2017
163
108
Jiulize haya yanatutokea kila siku.....



LAW OF QUEUE:

Ukibadilisha mstari unapopanga foleni ule uliouacha unakwenda mbio zaidi.



LAW OF TELEPHONE:

Namba unayopiga kwa makosa daima haipo bize (busy)



LAW OF MECHANICAL REPAIR:

Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza kuwasha ili uikune



LAW OF THE ALIBI:

Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli



BATH THEOREM:

Ukishajitia maji tu simu itaanza kuita



LAW OF ENCOUNTERS:

Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka unapokuwa na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae



LAW OF THE RESULT:

Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako imeharibika ukiwasha itafanya kazi



LAW OF BIOMECHANICS:

Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale ambapo huwezi kujikuna



THEATRE RULE:

Watu wanaokalia viti vizuri ndio wanaochelewa kufika



LAW OF COFFEE:

Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa yako bosi atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa yako ipoe.



Inatoka @2008
 
LAW OF
Siku ukivaa nguo chafu au mbaya ndio unakutana marafiki wako wengi uliosoma nao au uliopotezananao siku nyingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom