Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Jamani nimejaribu kuangalia movie nyingi za huyu bwana naona signs nyingi ni zile zinaazotumika kwenye free massons..ndugu zanguni akuna utajiri mzuri kama kutoka kwa mungu...najua atuwezi kufikia mafisadi lakini vijana embu badiliken achaneni na kujihusisha na freemassons kwa njia ya kutafuta hela
nimeshindwa kumtambua baadhi ya alama anakuwa anamaanisha nini lakini kama kanumba upo embu tusaidie kwa hili..nimejaribu kuangalia na picha za ramsey kwa kweli unaweza ogopa kabisa kabisa huyu bwana picha zake nyingi hata baadhi ya mapicha ameweka alama za freemassons.....upo utajiri lakini kwa hili
vijana embu tuwe makini;kanumba ndugu yangu tusaidie kama uko jamvini??
nimeshindwa kumtambua baadhi ya alama anakuwa anamaanisha nini lakini kama kanumba upo embu tusaidie kwa hili..nimejaribu kuangalia na picha za ramsey kwa kweli unaweza ogopa kabisa kabisa huyu bwana picha zake nyingi hata baadhi ya mapicha ameweka alama za freemassons.....upo utajiri lakini kwa hili
vijana embu tuwe makini;kanumba ndugu yangu tusaidie kama uko jamvini??