kizazi kipya
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 327
- 62
Duh..kakuacha kwa kuogopa kuumizwa?demu ana akili sana huyo na for sure amkuwin...thats a psychological treatment kaka ili usifeel sana ile pain bt kapata mtu huyo..
<br />Dah! Hii ni kati ya sababu ya hovyo ambazo nimewahi kusikia... Yaani anakupenda sana kwa hiyo anakuacha... Kwa hiyo anataka kuwa na mtu asiyempenda sana?! Shukuru amefanya ustaarabu kukuambia mapema...
Hahaha!! Viper why huko??ahh mkuu nakupa wiki mbili au tatu.. utamuona kitaani na jamaa mwengine...
kwa ufupi amekutosa mazimamazima... demu wa UDOM nini..?
wadau mawazo yenu yameniingia vizuri,ni kweli huenda kanitosa kiutu uzima ila angenitendea haki kwa kuniambia ukweli
Baadae rafiki yangu akaniambia huyu binti alimfuata na kumwambia kuwa ananipenda sana kiasi kwamba siku nikimkataa anaweza kuchangikiwa
na kuumia sana,kwa hiyo ameamua anikatae mapema ili kuepusha maumivu ya baadae.Baada ya maelezo hayo nimechanganyikiwa hata sijui
nimwambie nini ili aniamini si mtu wa aina anayoifikiria.Nimebaki kuwa kimya nikiendelea kutafakari ipo sababu nyingine au ni hii hii.
Wadau nimeyaleta kwenu kama mnaweza kunishauri juu ya jambo hili.