Ipi sababu ya kuendelea kwa mgao wa umeme?

Pejokiss

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
219
97
Habari,

Binafsi nimekua nikichukizwa sana na hili suala la mgao wa umeme wadau, wakati fulani kisingizio kilikuwa ni upungufu wa maji sababu ya ukame, ila hata baada ya kushuhudia wiki kadhaa za kiwango cha juu cha mvua mfululizo bado suala la magao wa umeme limeendelea, najaribu kujiuliza shida ni nini?

Kama taifa tunaelekea kuanza uendeshaji wa treni ya umeme ila kiuhalisia shida ya umeme bado ipo sasa sielewi malengo yote haya yataweza vipi kukamilika.

Naomba kuwasilisha!
 
Habari,

Binafsi nimekua nikichukizwa sana na hili suala la mgao wa umeme wadau, wakati fulani kisingizio kilikuwa ni upungufu wa maji sababu ya ukame, ila hata baada ya kushuhudia wiki kadhaa za kiwango cha juu cha mvua mfululizo bado suala la magao wa umeme limeendelea, najaribu kujiuliza shida ni nini?

Kama taifa tunaelekea kuanza uendeshaji wa treni ya umeme ila kiuhalisia shida ya umeme bado ipo sasa sielewi malengo yote haya yataweza vipi kukamilika.

Naomba kuwasilisha!
CCM imejaa, majambazi,
Fikiria kila mkoa una minara ya simu kuanzia 100+, na, kila mnara una jenereta, linalokula mafuta Lita 2 kwa saa,sasa kata umeme kila siku kwa saa Sita tuu, piga hesabu ni mafuta kiasi gani yatatumika, na jiulize ni kina nani wanabiashara ya mafuta! Hapo mijizi ya CCM tayari inapata Kodi.
 
CCM imejaa, majambazi,
Fikiria kila mkoa una minara ya simu kuanzia 100+, na, kila mnara una jenereta, linalokula mafuta Lita 2 kwa saa,sasa kata umeme kila siku kwa saa Sita tuu, piga hesabu ni mafuta kiasi gani yatatumika, na jiulize ni kina nani wanabiashara ya mafuta! Hapo mijizi ya CCM tayari inapata Kodi.

Hapo umenena mkuu,yani kama taifa bado tupo kweny usingizi mzito sana
 
Habari,

Binafsi nimekua nikichukizwa sana na hili suala la mgao wa umeme wadau, wakati fulani kisingizio kilikuwa ni upungufu wa maji sababu ya ukame, ila hata baada ya kushuhudia wiki kadhaa za kiwango cha juu cha mvua mfululizo bado suala la magao wa umeme limeendelea, najaribu kujiuliza shida ni nini?

Kama taifa tunaelekea kuanza uendeshaji wa treni ya umeme ila kiuhalisia shida ya umeme bado ipo sasa sielewi malengo yote haya yataweza vipi kukamilika.

Naomba kuwasilisha!
Tatizo sio maji😂😂😂 walidhani Mvua hadi mwakani, wameumbuka, sasa wasingizie Mafuriko
 
Back
Top Bottom