mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,910
- 18,558
Ninachofahamu ni kuwa kikwazo kikubwa kwa matapeli wanaojinadi kuwa ni ministry za kipentekoste ni kanisa LA TAG! Mafundisho ya uongo ya mitume na manabii hasa yalengayo utajirisho bila kusisitiza utakatifu na toba huumbuliwa na mafundisho safi ya neno LA Mungu huko TAG.TAG ilikuwa na nguvu tangu 19970's mpaka miaka ya kati ya 1980. Waliposhindwa kusolve tatizo mpaka ikapelekea kanisa kupasuka na ikazaliwa EAGT mwaka 1989....likawa anguko la TAG. Limebaki kanisa la wachungaji kushinda kusoma falsafa za dini yao ya assemblies tu na kupelekana marekani kusoma. Kuhubiri injili si issue tena kwao.....Hiyo miaka ya 2000 unayoisema sijui ni TAG gani unayoizungumzia.