Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,217
- 3,112
sikufichi madam nilivokuwa naenda nikajua kutakuwa na mabadiliko chanya kidogo kumbe ndo kwanza tunafosiana kutongoza na kulazimishana ndoa na mahubiri ya ovyo uku kwenye sifa watu wanacheza kama wapo club!!!umbeya,unafiki,uchoyo na ulafi wa sadaka ndo niliouona............nina miezi 10 sijakanyaga tena zaidi ya kusoma bible na kumuomba Mungu basiNenda church bwana
labda kwenu uko hali ni shwari "....nilifurahi waliponiambia twende nyumbani kwa bwana....!!!!"