Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,289
- 6,339
Nazilizo changwa kujengea msikiti kule dom ni za wasabato?.WASABATO nawafahamu vizuri, hawatumii nguruwe, wala hawatumii pombe
Nazilizo changwa kujengea msikiti kule dom ni za wasabato?.WASABATO nawafahamu vizuri, hawatumii nguruwe, wala hawatumii pombe
Wasabato hawafugi, kuuza wala kutumia nguruweHivi watu wanajua lakini chakula cha kufutuli kinakuwaje?kisiwe kimepatikana kwa chumo la haramu,mfano hizo hela za kanisa ni sadaka za waumini wanaopata kwa biashara za Bar ufugaji wa nguruwe n.k
Wasabato hawafugi, kuuza wala kutumia nguruwe
Futari hiyo ni ya siku moja tu???
Swali lako ni la kichoko sana
Si ajabu utakua choko?
Mkuu wewe ndiye unayeamua dhehebu gani ni Wakristo na lipi si Wakristo! Pole sana kwa chuki hiyo. Usamehewe bure.SDA hawana kanisa,kwa hakika si waKristo wa si waIslam ila nawapongeza wamefanya jambo jema.
Wala cocacola hawanywi,.majani ya chai hawatumii,na mwisho kabisa hawa jamaa so wazinifu.WASABATO nawafahamu vizuri, hawatumii nguruwe, wala hawatumii pombe
Nakuuoona kwa mbaali unataka kusema kuna zikizotokana na mauzo ya nguruwe tukazichanga huko masjid.Nazilizo changwa kujengea msikiti kule dom ni za wasabato?.
Ushawahi kusikia SDA akifuga nguruwe au kuwa na bar?Hivi watu wanajua lakini chakula cha kufutuli kinakuwaje?kisiwe kimepatikana kwa chumo la haramu,mfano hizo hela za kanisa ni sadaka za waumini wanaopata kwa biashara za Bar ufugaji wa nguruwe n.k
Kwenye Cocacola + kutokuzini ni kweli..Wala cocacola hawanywi,.majani ya chai hawatumii,na mwisho kabisa hawa jamaa so wazinifu.
Kafiri means a Non-believer. Na sote tunajua kwamba dini ya haki ni Uislamu pekee. Hivo kama wewe ni Non-Muslim basi ni Kafiri.Wewe kama mimi. Hasira zangu nikisikia hilo neno hazipimiki.
Hata mimi nilikuwa kwenye Ukafiri. Nikaachana nao nikaingia kwenye Uislamu dini ya haki.Si wanasemaga kuwa ni makafiri imekuaje wakala chakula cha makafiri,
Neno hili huwa linanikera sana sema tu basi, kumuona kiumbe wa Mungu kuwa ni kafiri
Kamoja kalinipendaga b4 sijaoa nikaoe,nikashindwa masharti ya kubadili dini nikachomoa.Kwenye Cocacola + kutokuzini ni kweli..
Haswa ukute mtoto wa kike wa kisabato...vibishi balaa.
Miaka ya nyuma kuna mmoja alikuwa ananikomalia nimuoe,kwao ndoa ni jambo muhimu sana.
Ila changamoto inakuja,jee? Akiolewa atakubali kuwa straight na dhehebu la mume wake?
Hawa viumbe kwa upande wa pili wamefundwa sana..tabia nzuri sana.Kamoja kalinipendaga b4 sijaoa nikaoe,nikashindwa masharti ya kubadili dini nikachomoa.
Dah kakaolwwa na msabato mwenzake,kameshakuwa kamama kana mawe kako BOT.
Siku 28 ingependeza zaidiWewe ulitaka ya siku ngapi?