johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,797
Katika kuonyesha Upendo na mshikamano Kanisa la SDA la Kirumba jijini Mwanza limewafuturisha waislamu.
Sheikh wa Kirumba amemshukuru mchungaji wa Kanisa hilo kwa Upendo waliouonyesha.
Source: Star tv
Sheikh wa Kirumba amemshukuru mchungaji wa Kanisa hilo kwa Upendo waliouonyesha.
Source: Star tv