Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 9,751
- 15,545
Sitaweka vifungu vya biblia lakini kwa atakayetaka apewe na vifungu wapi imeandikwa Tutampa.
Mada ni Taifa la Mungu Israel na Taifa la Mungu Tanzania.
Ushindani kati ya nguvu ya Uchawi (giza) na nguvu ya Nuru umeanza tangu Binadamu alipoumbwa hapa duniani.
Na sehemu nyingi kuonekana Nguvu ya uchawi Kutawala sana Ardhi na Mataifa mengi kuliko Nguvu ya Nuru (Mema).
Mifano ni Mingi,
1. Israel kumuacha Mungu na kufata ibada za sanamu kwenye milima.
2. Elia Kukimbia nchi yake kisa Manabii wa uwongo kutawala na Mfalme.
3. Yesu kusurubiwa na wayahudi
4. Unamkumbuka Nabii Elia na Manabii wa bahali kutoka kwa mfalme?
5. Kipindi Mungu anatoa adhabu kwa taifa la Israel kwenda Uamishoni, Mfalme wa babeli akaja akateka taifa zima Likapelekwa utumwani na mfalme wao akatekwa.
Kosa ni kumsahau Mungu wao.
Ndipo kina Daniel wanakuwa wasomi katika utawala wa kitumwa, mbele ya Mfalme Nebukadneza.
Mfalme Nebukadneza alikuwa Mpagani na Miungu wengi, Lakini Mungu alimpa kazi ya Kuchapa fimbo taifa lake la Israel.
Giza ni Kama siku zote uonesha dalili za kuitawala Nuru kwa miaka mingiiii
✓ Ibada ya Sanamu.
Kwanini ibada ya Sanamu inawashawishi wengi, kwasababu inatoa Mwanya wa kuonea watu wengine (Wivu)
Kwanini Mungu akupe wewe mimi asinipe ? Wizi na kuwafanya wengine mateka kwa ushawishi wa Ujinga na shetani.
Kwahiyo naweza tumia uchawi kuiba ulichonacho wewe kama hutokua makini.
Ni vita yetu hii ya siku zote.
Sasa Utagundua Kanisa kama Viongozi wa kidini Wengi Huonekana Kutekwa na Nguvu ya Giza na kulipoza Kanisa.
Kujua msingi wa imani yako ni funguo ya kwanza, Lakini fungua ya geti la pili huna ? basi mpaka wa Maisha yako ni kwenda Mbinguni. Lakini hujui huishi vipi hapa duniani na utaishi Miaka mingapi.
Mungu humpa Mtu mitihani Migumu kumpima, ndipo ampe ukuu na Mamlaka.
Daudi alitafutwa kuuliwa na Mfalme wa kwanza wa Israel (Sauli), akaishi kama mkimbizi, baadae ndio Akawa Mfalme wa Pili.
Kwahiyo Kipindi au nyakati za Giza kuonekana na nguvu kuliko nuru uwa kipo sana.
✓ Hali ya Makanisa Yetu Tanzania Taifa la Mungu.
Madhehebu yenye watu wengi.
1. Romani Katoliki:
Ingawa ndio kanisa linawaumini wengi, Wameshika imani ya jina lake Mungu, lakini makanisa yao yamejaa Sanamu, na mapokeo Mengi yasio na faida kiroho.
Viongozi wake wawe na maono au wasiwe na Maono lakini Mungu anakwenda Kuwatumia Viongozi wa Kanisa Katoliki, Kuwapa Tanzania Mfalme amtakae Mungu.
2. Kanisa la Kilutheri (KKKT).
Pamoja na kuwa kanisa hili limekua na misingi mizuri na mapokeo yasio kosolewa sana,
Kanisa hili limekuwa na viongozi wasiokuwa waadilifu kumtumikia Mungu, na matokeo yake kumezwa na Mungu Pesa,
Giza likazidi kutanda
Piga mchungaji kondoo watawanyike.
3. Makanisa ya Kipentekoste.
Baada ya Shetani na Giza lake Kutanda kwa Viongozi wa juu,
Kanisa likajaza Wachungaji wengi wahuni na Watumia nguvu za giza.
Pamoja na kwamba walianza vizuri rohoni, sasa wengi wao wameangukia mwilini na Gizani.
4. Wasabato ( SDA )
Mwanzilishi wa dhehubu hili alikua makini sana, Lakini Unafiki na Kiburi ukazidi kulifunika kanisa, na kufanya kanisa kukosa Nguvu, Mwisho ni wafungwa midomo na Jezebeli kama viongozi wa madhehebu mengine.
Ni hayo tu kwa kanisa la Tanzania Taifa teule
Nuru inakuja, Mfalme Daudi atakapokalia kiti cha Ufalme.
Mada ni Taifa la Mungu Israel na Taifa la Mungu Tanzania.
Ushindani kati ya nguvu ya Uchawi (giza) na nguvu ya Nuru umeanza tangu Binadamu alipoumbwa hapa duniani.
Na sehemu nyingi kuonekana Nguvu ya uchawi Kutawala sana Ardhi na Mataifa mengi kuliko Nguvu ya Nuru (Mema).
Mifano ni Mingi,
1. Israel kumuacha Mungu na kufata ibada za sanamu kwenye milima.
2. Elia Kukimbia nchi yake kisa Manabii wa uwongo kutawala na Mfalme.
3. Yesu kusurubiwa na wayahudi
4. Unamkumbuka Nabii Elia na Manabii wa bahali kutoka kwa mfalme?
5. Kipindi Mungu anatoa adhabu kwa taifa la Israel kwenda Uamishoni, Mfalme wa babeli akaja akateka taifa zima Likapelekwa utumwani na mfalme wao akatekwa.
Kosa ni kumsahau Mungu wao.
Ndipo kina Daniel wanakuwa wasomi katika utawala wa kitumwa, mbele ya Mfalme Nebukadneza.
Mfalme Nebukadneza alikuwa Mpagani na Miungu wengi, Lakini Mungu alimpa kazi ya Kuchapa fimbo taifa lake la Israel.
Giza ni Kama siku zote uonesha dalili za kuitawala Nuru kwa miaka mingiiii
✓ Ibada ya Sanamu.
Kwanini ibada ya Sanamu inawashawishi wengi, kwasababu inatoa Mwanya wa kuonea watu wengine (Wivu)
Kwanini Mungu akupe wewe mimi asinipe ? Wizi na kuwafanya wengine mateka kwa ushawishi wa Ujinga na shetani.
Kwahiyo naweza tumia uchawi kuiba ulichonacho wewe kama hutokua makini.
Ni vita yetu hii ya siku zote.
Sasa Utagundua Kanisa kama Viongozi wa kidini Wengi Huonekana Kutekwa na Nguvu ya Giza na kulipoza Kanisa.
Kujua msingi wa imani yako ni funguo ya kwanza, Lakini fungua ya geti la pili huna ? basi mpaka wa Maisha yako ni kwenda Mbinguni. Lakini hujui huishi vipi hapa duniani na utaishi Miaka mingapi.
Mungu humpa Mtu mitihani Migumu kumpima, ndipo ampe ukuu na Mamlaka.
Daudi alitafutwa kuuliwa na Mfalme wa kwanza wa Israel (Sauli), akaishi kama mkimbizi, baadae ndio Akawa Mfalme wa Pili.
Kwahiyo Kipindi au nyakati za Giza kuonekana na nguvu kuliko nuru uwa kipo sana.
✓ Hali ya Makanisa Yetu Tanzania Taifa la Mungu.
Madhehebu yenye watu wengi.
1. Romani Katoliki:
Ingawa ndio kanisa linawaumini wengi, Wameshika imani ya jina lake Mungu, lakini makanisa yao yamejaa Sanamu, na mapokeo Mengi yasio na faida kiroho.
Viongozi wake wawe na maono au wasiwe na Maono lakini Mungu anakwenda Kuwatumia Viongozi wa Kanisa Katoliki, Kuwapa Tanzania Mfalme amtakae Mungu.
2. Kanisa la Kilutheri (KKKT).
Pamoja na kuwa kanisa hili limekua na misingi mizuri na mapokeo yasio kosolewa sana,
Kanisa hili limekuwa na viongozi wasiokuwa waadilifu kumtumikia Mungu, na matokeo yake kumezwa na Mungu Pesa,
Giza likazidi kutanda
Piga mchungaji kondoo watawanyike.
3. Makanisa ya Kipentekoste.
Baada ya Shetani na Giza lake Kutanda kwa Viongozi wa juu,
Kanisa likajaza Wachungaji wengi wahuni na Watumia nguvu za giza.
Pamoja na kwamba walianza vizuri rohoni, sasa wengi wao wameangukia mwilini na Gizani.
4. Wasabato ( SDA )
Mwanzilishi wa dhehubu hili alikua makini sana, Lakini Unafiki na Kiburi ukazidi kulifunika kanisa, na kufanya kanisa kukosa Nguvu, Mwisho ni wafungwa midomo na Jezebeli kama viongozi wa madhehebu mengine.
Ni hayo tu kwa kanisa la Tanzania Taifa teule
Nuru inakuja, Mfalme Daudi atakapokalia kiti cha Ufalme.