Kanisa kuzidiwa na Uchawi (Giza)

Kanisa kuzidiwa na Uchawi (Giza)

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
9,751
Reaction score
15,545
Sitaweka vifungu vya biblia lakini kwa atakayetaka apewe na vifungu wapi imeandikwa Tutampa.

Mada ni Taifa la Mungu Israel na Taifa la Mungu Tanzania.

Ushindani kati ya nguvu ya Uchawi (giza) na nguvu ya Nuru umeanza tangu Binadamu alipoumbwa hapa duniani.

Na sehemu nyingi kuonekana Nguvu ya uchawi Kutawala sana Ardhi na Mataifa mengi kuliko Nguvu ya Nuru (Mema).

Mifano ni Mingi,
1. Israel kumuacha Mungu na kufata ibada za sanamu kwenye milima.

2. Elia Kukimbia nchi yake kisa Manabii wa uwongo kutawala na Mfalme.

3. Yesu kusurubiwa na wayahudi

4. Unamkumbuka Nabii Elia na Manabii wa bahali kutoka kwa mfalme?

5. Kipindi Mungu anatoa adhabu kwa taifa la Israel kwenda Uamishoni, Mfalme wa babeli akaja akateka taifa zima Likapelekwa utumwani na mfalme wao akatekwa.
Kosa ni kumsahau Mungu wao.

Ndipo kina Daniel wanakuwa wasomi katika utawala wa kitumwa, mbele ya Mfalme Nebukadneza.

Mfalme Nebukadneza alikuwa Mpagani na Miungu wengi, Lakini Mungu alimpa kazi ya Kuchapa fimbo taifa lake la Israel.

Giza ni Kama siku zote uonesha dalili za kuitawala Nuru kwa miaka mingiiii

Ibada ya Sanamu.
Kwanini ibada ya Sanamu inawashawishi wengi, kwasababu inatoa Mwanya wa kuonea watu wengine (Wivu)
Kwanini Mungu akupe wewe mimi asinipe ? Wizi na kuwafanya wengine mateka kwa ushawishi wa Ujinga na shetani.

Kwahiyo naweza tumia uchawi kuiba ulichonacho wewe kama hutokua makini.

Ni vita yetu hii ya siku zote.

Sasa Utagundua Kanisa kama Viongozi wa kidini Wengi Huonekana Kutekwa na Nguvu ya Giza na kulipoza Kanisa.

Kujua msingi wa imani yako ni funguo ya kwanza, Lakini fungua ya geti la pili huna ? basi mpaka wa Maisha yako ni kwenda Mbinguni. Lakini hujui huishi vipi hapa duniani na utaishi Miaka mingapi.

Mungu humpa Mtu mitihani Migumu kumpima, ndipo ampe ukuu na Mamlaka.

Daudi alitafutwa kuuliwa na Mfalme wa kwanza wa Israel (Sauli), akaishi kama mkimbizi, baadae ndio Akawa Mfalme wa Pili.

Kwahiyo Kipindi au nyakati za Giza kuonekana na nguvu kuliko nuru uwa kipo sana.

Hali ya Makanisa Yetu Tanzania Taifa la Mungu.

Madhehebu yenye watu wengi.

1. Romani Katoliki:
Ingawa ndio kanisa linawaumini wengi, Wameshika imani ya jina lake Mungu, lakini makanisa yao yamejaa Sanamu, na mapokeo Mengi yasio na faida kiroho.

Viongozi wake wawe na maono au wasiwe na Maono lakini Mungu anakwenda Kuwatumia Viongozi wa Kanisa Katoliki, Kuwapa Tanzania Mfalme amtakae Mungu.

2. Kanisa la Kilutheri (KKKT).
Pamoja na kuwa kanisa hili limekua na misingi mizuri na mapokeo yasio kosolewa sana,
Kanisa hili limekuwa na viongozi wasiokuwa waadilifu kumtumikia Mungu, na matokeo yake kumezwa na Mungu Pesa,
Giza likazidi kutanda
Piga mchungaji kondoo watawanyike.

3. Makanisa ya Kipentekoste.
Baada ya Shetani na Giza lake Kutanda kwa Viongozi wa juu,
Kanisa likajaza Wachungaji wengi wahuni na Watumia nguvu za giza.

Pamoja na kwamba walianza vizuri rohoni, sasa wengi wao wameangukia mwilini na Gizani.

4. Wasabato ( SDA )
Mwanzilishi wa dhehubu hili alikua makini sana, Lakini Unafiki na Kiburi ukazidi kulifunika kanisa, na kufanya kanisa kukosa Nguvu, Mwisho ni wafungwa midomo na Jezebeli kama viongozi wa madhehebu mengine.


Ni hayo tu kwa kanisa la Tanzania Taifa teule

Nuru inakuja, Mfalme Daudi atakapokalia kiti cha Ufalme.
 
Bro Surya with all due respect.
Mm sijaelewa.
Labda ufaham wang mdogo kuhusu Dini.

Nachojua Ukristo ulivyoenda Ulaya na America chini utawala wa Warumi /Roma . Basi pia mataifa hayo waliupokea . Na kwa namna wakaubadilisha na kwendana na Mandhara yao.

Ndio ikatokea
Lutheran/Evangelical Church - German au mapokeo ya Martin Luther.
Anglican Church - Uingereza.
Pentekonte na aina zake - America
SDA - North America

Sasa Africa . Hasa Tanzania tuna mathehebu yetu ambayo ni 45,001 according na Covax

Sasa Kanisa la Taifa Teule Tanzania .

Au una kanisa lako ?
Au unasema tufuate kanisa lipi?
La Mwaposa?. Kakobe? Gwajima? Nk

Au mm sijaelewa.
 
Bro Surya with all due respect.
Mm sijaelewa.
Labda ufaham wang mdogo kuhusu Dini.

Nachojua Ukristo ulivyoenda Ulaya na America chini utawala wa Warumi /Roma . Basi pia mataifa hayo waliupokea . Na kwa namna wakaubadilisha na kwendana na Mandhara yao.

Ndio ikatokea
Lutheran/Evangelical Church - German au mapokeo ya Martin Luther.
Anglican Church - Uingereza.
Pentekonte na aina zake - America
SDA - North America

Sasa Africa . Hasa Tanzania tuna mathehebu yetu ambayo ni 45,001 according na Covax
Sasa Kanisa la Taifa Teule Tanzania .

Au una kanisa lako ?
Au unasema tufuate kanisa lipi?
La Mwaposa?. Kakobe? Gwajima? Nk

Au mm sijaelewa.
Dhehebu alikupeleki popote, Na pia Unaweza kuwa Kanisa fulani, vipi wakibadili Mchungaji.. akaja asie na maono ya Mungu wa kweli ???

Mwisho vita itabaki chumbani kwako na familia yako. pia Maamuzi ya Mfalme yatakuathiri na wewe

Mimi naweza kukushauri Usiingie kanisa lolote, lakini usiache Kujifunza kuwa Rafiki wa Mungu kwa kukimbia uovu wa sanamu.
 
Dhehebu alikupeleki popote, Na pia Unaweza kuwa Kanisa fulani, vipi wakibadili Mchungaji.. akaja asie na maono ya Mungu wa kweli ???

Mwisho vita itabaki chumbani kwako na familia yako. pia Maamuzi ya Mfalme yatakuathiri na wewe

Mimi naweza kukushauri Usiingie kanisa lolote, lakini usiache Kujifunza kuwa Rafiki wa Mungu kwa kukimbia uovu wa sanamu.

Mshangao hapa.
Nisiingie kanisa lolote?.

Kwanini?
 
Sitaweka vifungu vya biblia lakini kwa atakayetaka apewe na vifungu wapi imeandikwa Tutampa.

Mada ni Taifa la Mungu Israel na Taifa la Mungu Tanzania.

Ushindani kati ya nguvu ya Uchawi (giza) na nguvu ya Nuru umeanza tangu Binadamu alipoumbwa hapa duniani.

Na sehemu nyingi kuonekana Nguvu ya uchawi Kutawala sana Ardhi na Mataifa mengi kuliko Nguvu ya Nuru (Mema).

Mifano ni Mingi,
1. Israel kumuacha Mungu na kufata ibada za sanamu kwenye milima.

2. Elia Kukimbia nchi yake kisa Manabii wa uwongo kutawala na Mfalme.

3. Yesu kusurubiwa na wayahudi

4. Unamkumbuka Nabii Elia na Manabii wa bahali kutoka kwa mfalme?

5. Kipindi Mungu anatoa adhabu kwa taifa la Israel kwenda Uamishoni, Mfalme wa baberi akaja akateka taifa zima Likapelekwa utumwani na mfalme wao akatekwa.
Kosa ni kumsahau Mungu wao.

Ndipo kina Daniel wanakuwa wasomi katika utawala wa kitumwa, mbele ya Mfalme Nebukadneza.

Mfalme Nebukadneza alikuwa Mpagani na Miungu wengi, Lakini Mungu alimpa kazi ya Kuchapa fimbo taifa lake la Israel.

Giza ni Kama siku zote uonesha dalili za kuitawala Nuru kwa miaka mingiiii

Ibada ya Sanamu.
Kwanini ibada ya Sanamu inawashawishi wengi, kwasababu inatoa Mwanya wa kuonea watu wengine (Wivu)
Kwanini Mungu akupe wewe mimi asinipe ? Wizi na kuwafanya wengine mateka kwa ushawishi wa Ujinga na shetani.

Kwahiyo naweza tumia uchawi kuiba ulichonacho wewe kama hutokua makini.

Ni vita yetu hii ya siku zote.

Sasa Utagundua Kanisa kama Viongozi wa kidini Wengi Huonekana Kutekwa na Nguvu ya Giza na kulipoza Kanisa.

Kujua msingi wa imani yako ni funguo ya kwanza, Lakini fungua ya geti la pili huna ? basi mpaka wa Maisha yako ni kwenda Mbinguni. Lakini hujui huishi vipi hapa duniani na utaishi Miaka mingapi.

Mungu humpa Mtu mitihani Migumu kumpima, ndipo ampe ukuu na Mamlaka.

Daudi alitafutwa kuuliwa na Mfalme wa kwanza wa Israel (Sauli), akaishi kama mkimbizi, baadae ndio Akawa Mfalme wa Pili.

Kwahiyo Kipindi au nyakati za Giza kuonekana na nguvu kuliko nuru uwa kipo sana.

Hali ya Makanisa Yetu Tanzania Taifa la Mungu.

Madhehebu yenye watu wengi.

1. Romani Katoliki:
Ingawa ndio kanisa linawaumini wengi, Wameshika imani ya jina lake Mungu, lakini makanisa yao yamejaa Sanamu, na mapokeo Mengi yasio na faida kiroho.

Viongozi wake wawe na maono au wasiwe na Maono lakini Mungu anakwenda Kuwatumia Viongozi wa Kanisa Katoliki, Kuwapa Tanzania Mfalme amtakae Mungu.

2. Kanisa la Kilutheri (KKKT).
Pamoja na kuwa kanisa hili limekua na misingi mizuri na mapokeo yasio kosolewa sana,
Kanisa hili limekuwa na viongozi wasiokuwa waadilifu kumtumikia Mungu, na matokeo yake kumezwa na Mungu Pesa,
Giza likazidi kutanda
Piga mchungaji kondoo watawanyike.

3. Makanisa ya Kipentekoste.
Baada ya Shetani na Giza lake Kutanda kwa Viongozi wa juu,
Kanisa likajaza Wachungaji wengi wahuni na Watumia nguvu za giza.

Pamoja na kwamba walianza vizuri rohoni, sasa wengi wao wameangukia mwilini na Gizani.

4. Wasabato ( SDA )
Mwanzirishi wa dhehubu hili alikua makini sana, Lakini Unafiki na Kiburi ukazidi kulifunika kanisa, na kufanya kanisa kukosa Nguvu, Mwisho ni wafungwa midomo na Jezebeli kama viongozi wa madhehebu mengine.


Ni hayo tu kwa kanisa la Tanzania Taifa teule

Nuru inakuja, Mfalme Daudi atakapokalia kiti cha Ufalme.



unaweza kutupa ushahidi wa kusulubiwa Yesu ndani ya biblia ??
 
Dhehebu alikupeleki popote, Na pia Unaweza kuwa Kanisa fulani, vipi wakibadili Mchungaji.. akaja asie na maono ya Mungu wa kweli ???

Mwisho vita itabaki chumbani kwako na familia yako. pia Maamuzi ya Mfalme yatakuathiri na wewe

Mimi naweza kukushauri Usiingie kanisa lolote, lakini usiache Kujifunza kuwa Rafiki wa Mungu kwa kukimbia uovu wa sanamu.
Ume eleza vizuri, ila mwishoni matope kabisa.. swala lakutoingia kanisa lolote?
Nadhani bado ujafahamu kuhusu spiritual life.
 
Ume eleza vizuri, ila mwishoni matope kabisa.. swala lakutoingia kanisa lolote?
Nadhani bado ujafahamu kuhusu spiritual life.
Maana yake Jenga Kanisa lako.

Misingi ya kumjua Mungu unafikiri ni hadi uende kanisani ?

Ukisali wewe mke wako na watoto kama Ibrahimu na Yakobo unafikiri ni makosa ???
 
Mshangao hapa.
Nisiingie kanisa lolote?.

Kwanini?
Kitu ambacho unatakiwa kupewa Direction na Mungu, unataka nikupe mimi majibu, Nani kakwambia mimi ni Nabii 😅😅

Ushirika na watu Fulani atakupa Mungu, ila kanisa ambalo ni jengo, mimi ninasali popote ninapopanga nifanyie ibada.
 
Kitu ambacho unatakiwa kupewa Direction na Mungu, unataka nikupe mimi majibu, Nani kakwambia mimi ni Nabii 😅😅

Ushirika na watu Fulani atakupa Mungu, ila kanisa ambalo ni jengo, mimi ninasali popote nipopanga nifanyie ibada.
Kwahiyo Mungu amekupa Direction ww ya wap kwa kusali?

Na kwa maneno yako. Ni Kuwa Mungu atamuelekeza kila mtu wap akasali?.

Kanisa Kuzidiwa na Uchawi sijaona pia maelezo yake kama Kichwa cha mada kinavyosema.

(Umetaja Sanamu za Cathoric) na mm nikatoa mapokea ya madhehebu mengne ambayo hayana Sanamu na mapokeo yao.)

Mm sijaelewa Tangu mwanzo. Ndio maana nika declare tangu mwanzo. Sijakuelewa na hata kusoma mara ya 3. Bado sijapata nini hasa unataka kusema.

Nakuheshimu Na ndio maana naona mm ndio sijakuelewa.
 
Kwahiyo Mungu amekupa Direction ww ya wap kwa kusali?

Na kwa maneno yako. Ni Kuwa Mungu atampa kila mtu wap akasali?.

Nakuheshimu Na ndio maana naona mm ndio sijakuelewa.
Yah ni muhimu kumsikia Mungu anakutaka uwe wapi wewe binafsi.

Tafakari Mwanajeshi, akienda kambi fulani..
je kama wewe ni mkatoliki usipopata hilo kanisa ? au kukawa hakuna ruhusa ya kutoka J.pili na kwenda kanisani ??

Mwisho Kuwa rafiki wa Mungu hakupimwi kwa idadi ya Jumapili ulizoudhulia ibada.
 
unataka ushahidi wa namna gani ?

Kumbuka kuna ushahidi wa aina nyingi.

ushahidi wa aina nyingi, mbona hujaweka hata robo ya ushahidi ??? kama huna uishahidi , mimi nakuwekea ushahidi wa kutokusulubiwa wala hakufa msalabani , kutoka ndani ya biblia


NJIA ZA MUNGU SI NJIA ZETU

Je, dua ya Yesu (amani iwe juu yake) ilijibiwa? Alilia kwa Baba mpendwa aliye mbinguni akiomba msaada, kwa kilio kikuu na machozi:


“Naye akiwa katika maumivu makuu, akaomba kwa bidii zaidi; na jasho lake likawa kama matone makubwa ya damu yakidondoka chini.”
(BIBLIA TAKATIFU Luka 22:44)

Nini kinaweza kutarajiwa kutoka kwenye dua kama hii ya dhati na ya kuomba kwa nguvu? Mmoja wa ndugu wanne wa Yesu anatukumbusha:


“Maombi ya mwenye haki yakitumika sana yana nguvu.”
(BIBLIA TAKATIFU Yakobo 5:16)

Maombi ya moyoni kama haya! Vilio vya kutisha kama hivi! Huzuni na maombolezo kama haya! Mtu mwenye dhihaka alisema kwamba yangeweza hata kumshusha Mungu kutoka Kiti Chake cha Enzi.


MUNGU ALIKUBALI MAOMBI YA YESU

Paulo anathibitisha kwamba dua zake hazikupotea bure:


“Naye, siku za mwili wake, alimtolea Yeye aliyeweza kumwokoa na mauti maombi na dua pamoja na kilio kikuu na machozi; naye alisikika kwa sababu ya kumcha kwake.”
(BIBLIA TAKATIFU Waebrania 5:7)

“Inamaanisha nini kusema Mungu alimsikia?”

Inamaanisha Mungu alikubali dua zake.

Mungu Mwenyezi si kiziwi hata kidogo. Yeye ni Mwenye Kusikia kila kitu.

Alimsikia (alikubali) dua ya Yesu kama vile alivyomsikia (alikubali) dua ya baba yake Ibrahimu.

Ibrahimu, katika uzee wake, aliomba mwana, na Ishmaeli akazaliwa. Maneno ya Ibrahimu yakawa mwili. Ishmaeli kimaana ya Kiebrania ni “MUNGU AMESIKIA.” Zakariya pia, katika uzee wake, aliomba mwana, na Mungu akasikia (alikubali) maombi yake, na Yohana Mbatizaji akazaliwa.

Sasa Yesu naye alilia msaada, na Mungu akasikia (alikubali) maombi yake:


“Malaika akaonekana kwake kutoka mbinguni, akamtia nguvu.”
(BIBLIA TAKATIFU Luka 22:43)

Akamtia nguvu katika imani na tumaini kwamba Mungu atamwokoa.

Hii ndiyo hasa aliyokuwa akiomba kwa Mungu amfanyie. Lini na vipi yapo mikononi mwa Mungu pekee. Njia zake si njia zetu. Hesabu baraka hizi mpaka sasa:

(a) Hakikisho kutoka Mbinguni.

(b) Pilato anamkuta hana hatia!

(c) Mke wa Pilato anaonyeshwa ndoto ambayo anaambiwa Yesu asidhuriwe.



 
ushahidi wa aina nyingi, mbona hujaweka hata robo ya ushahidi ??? kama huna uishahidi , mimi nakuwekea ushahidi wa kutokusulubiwa wala hakufa msalabani , kutoka ndani ya biblia


NJIA ZA MUNGU SI NJIA ZETU

Je, dua ya Yesu (amani iwe juu yake) ilijibiwa? Alilia kwa Baba mpendwa aliye mbinguni akiomba msaada, kwa kilio kikuu na machozi:




Nini kinaweza kutarajiwa kutoka kwenye dua kama hii ya dhati na ya kuomba kwa nguvu? Mmoja wa ndugu wanne wa Yesu anatukumbusha:




Maombi ya moyoni kama haya! Vilio vya kutisha kama hivi! Huzuni na maombolezo kama haya! Mtu mwenye dhihaka alisema kwamba yangeweza hata kumshusha Mungu kutoka Kiti Chake cha Enzi.


MUNGU ALIKUBALI MAOMBI YA YESU

Paulo anathibitisha kwamba dua zake hazikupotea bure:




“Inamaanisha nini kusema Mungu alimsikia?”

Inamaanisha Mungu alikubali dua zake.

Mungu Mwenyezi si kiziwi hata kidogo. Yeye ni Mwenye Kusikia kila kitu.

Alimsikia (alikubali) dua ya Yesu kama vile alivyomsikia (alikubali) dua ya baba yake Ibrahimu.

Ibrahimu, katika uzee wake, aliomba mwana, na Ishmaeli akazaliwa. Maneno ya Ibrahimu yakawa mwili. Ishmaeli kimaana ya Kiebrania ni “MUNGU AMESIKIA.” Zakariya pia, katika uzee wake, aliomba mwana, na Mungu akasikia (alikubali) maombi yake, na Yohana Mbatizaji akazaliwa.

Sasa Yesu naye alilia msaada, na Mungu akasikia (alikubali) maombi yake:




Akamtia nguvu katika imani na tumaini kwamba Mungu atamwokoa.

Hii ndiyo hasa aliyokuwa akiomba kwa Mungu amfanyie. Lini na vipi yapo mikononi mwa Mungu pekee. Njia zake si njia zetu. Hesabu baraka hizi mpaka sasa:

(a) Hakikisho kutoka Mbinguni.

(b) Pilato anamkuta hana hatia!

(c) Mke wa Pilato anaonyeshwa ndoto ambayo anaambiwa Yesu asidhuriwe.



Mathayo 27:35-37
35 Walipokwisha kumsulibisha, waligawa mavazi yake, wakipiga kura; [ili litimie neno lililonenwa na nabii, Waligawa nguo zangu kati yao, na juu ya vazi langu walipiga kura.]

36 Wakaketi, wakamlinda huko.

37 Wakaweka juu ya kichwa chake mashitaka yake, yaliyoandikwa HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI.

Akiwa msalabani.

Mathayo 27:49-50
49 Wale wengine wakasema, Acha; na tuone kama Eliya anakuja kumwokoa.

50 Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.
 
Sitaweka vifungu vya biblia lakini kwa atakayetaka apewe na vifungu wapi imeandikwa Tutampa.

Mada ni Taifa la Mungu Israel na Taifa la Mungu Tanzania.

Ushindani kati ya nguvu ya Uchawi (giza) na nguvu ya Nuru umeanza tangu Binadamu alipoumbwa hapa duniani.

Na sehemu nyingi kuonekana Nguvu ya uchawi Kutawala sana Ardhi na Mataifa mengi kuliko Nguvu ya Nuru (Mema).

Mifano ni Mingi,
1. Israel kumuacha Mungu na kufata ibada za sanamu kwenye milima.

2. Elia Kukimbia nchi yake kisa Manabii wa uwongo kutawala na Mfalme.

3. Yesu kusurubiwa na wayahudi

4. Unamkumbuka Nabii Elia na Manabii wa bahali kutoka kwa mfalme?

5. Kipindi Mungu anatoa adhabu kwa taifa la Israel kwenda Uamishoni, Mfalme wa babeli akaja akateka taifa zima Likapelekwa utumwani na mfalme wao akatekwa.
Kosa ni kumsahau Mungu wao.

Ndipo kina Daniel wanakuwa wasomi katika utawala wa kitumwa, mbele ya Mfalme Nebukadneza.

Mfalme Nebukadneza alikuwa Mpagani na Miungu wengi, Lakini Mungu alimpa kazi ya Kuchapa fimbo taifa lake la Israel.

Giza ni Kama siku zote uonesha dalili za kuitawala Nuru kwa miaka mingiiii

Ibada ya Sanamu.
Kwanini ibada ya Sanamu inawashawishi wengi, kwasababu inatoa Mwanya wa kuonea watu wengine (Wivu)
Kwanini Mungu akupe wewe mimi asinipe ? Wizi na kuwafanya wengine mateka kwa ushawishi wa Ujinga na shetani.

Kwahiyo naweza tumia uchawi kuiba ulichonacho wewe kama hutokua makini.

Ni vita yetu hii ya siku zote.

Sasa Utagundua Kanisa kama Viongozi wa kidini Wengi Huonekana Kutekwa na Nguvu ya Giza na kulipoza Kanisa.

Kujua msingi wa imani yako ni funguo ya kwanza, Lakini fungua ya geti la pili huna ? basi mpaka wa Maisha yako ni kwenda Mbinguni. Lakini hujui huishi vipi hapa duniani na utaishi Miaka mingapi.

Mungu humpa Mtu mitihani Migumu kumpima, ndipo ampe ukuu na Mamlaka.

Daudi alitafutwa kuuliwa na Mfalme wa kwanza wa Israel (Sauli), akaishi kama mkimbizi, baadae ndio Akawa Mfalme wa Pili.

Kwahiyo Kipindi au nyakati za Giza kuonekana na nguvu kuliko nuru uwa kipo sana.

Hali ya Makanisa Yetu Tanzania Taifa la Mungu.

Madhehebu yenye watu wengi.

1. Romani Katoliki:
Ingawa ndio kanisa linawaumini wengi, Wameshika imani ya jina lake Mungu, lakini makanisa yao yamejaa Sanamu, na mapokeo Mengi yasio na faida kiroho.

Viongozi wake wawe na maono au wasiwe na Maono lakini Mungu anakwenda Kuwatumia Viongozi wa Kanisa Katoliki, Kuwapa Tanzania Mfalme amtakae Mungu.

2. Kanisa la Kilutheri (KKKT).
Pamoja na kuwa kanisa hili limekua na misingi mizuri na mapokeo yasio kosolewa sana,
Kanisa hili limekuwa na viongozi wasiokuwa waadilifu kumtumikia Mungu, na matokeo yake kumezwa na Mungu Pesa,
Giza likazidi kutanda
Piga mchungaji kondoo watawanyike.

3. Makanisa ya Kipentekoste.
Baada ya Shetani na Giza lake Kutanda kwa Viongozi wa juu,
Kanisa likajaza Wachungaji wengi wahuni na Watumia nguvu za giza.

Pamoja na kwamba walianza vizuri rohoni, sasa wengi wao wameangukia mwilini na Gizani.

4. Wasabato ( SDA )
Mwanzilishi wa dhehubu hili alikua makini sana, Lakini Unafiki na Kiburi ukazidi kulifunika kanisa, na kufanya kanisa kukosa Nguvu, Mwisho ni wafungwa midomo na Jezebeli kama viongozi wa madhehebu mengine.


Ni hayo tu kwa kanisa la Tanzania Taifa teule

Nuru inakuja, Mfalme Daudi atakapokalia kiti cha Ufalme.
Biblia ni kitabu cha fantasy, siamini kabisa kama Mungu aliyekataza watu kuuana akageuka na kusaidia jamii fulani kuua, it makes no sense at all. Yaani Mungu anasaidia watu kuua watu fulani au kusema kuwa Israel ndilo taifa lake teule, kwa hiyo sie Waafrika na chi nyingine duniani ni chi za shetani? Ni sawa tu na hadithi za Qur'an, unaona kabisa ni ujinga uliotukuka unapambwa kumtukuza Muddy wakati kila msomi anajuwa kuwa Muddy huyo huyo ni firahuni mkubwa tu, mbakaji, muuwaji, muongo, na mwizi, iweje Mungu amchague kuwa nabii? Nafikiri sie Waafrika tuna matatizo ya kiakili iliyojaa ujinga wa kujitakia......Tuamke jamani kwani tunachezewa sana akili huku tukichekwa.
 
Mada za vilaza...

1753493023837.png
 
Back
Top Bottom