OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,344
Mungu akusamehe na hasira ya Bwana isiwake juu yako Bwana aghairi kukupatiliza maana yeye hupatiliza wana hata kizazi cha tatu na cha nne"ukatolikini ni ushetanini". FULL STOP!
Mungu akusamehe na hasira ya Bwana isiwake juu yako Bwana aghairi kukupatiliza maana yeye hupatiliza wana hata kizazi cha tatu na cha nne"ukatolikini ni ushetanini". FULL STOP!
Ulishawahi kufikiria kuhusu yale makosa zaidi ya 95 yaliyoko katoliki ambayo ni kinyume na Biblia aliyoyabaini mwanamatengenezo Martin Luther?Mungu akusamehe na hasira ya Bwana isiwake juu yako Bwana aghairi kukupatiliza maana yeye hupatiliza wana hata kizazi cha tatu na cha nne
Hujui kwa nini Luther aliondoka kanisa katoliki kuna thread ilichambua vizuri sana tukio hilo itafute uisomeUlishawahi kufikiria kuhusu yale makosa zaidi ya 95 yaliyoko katoliki ambayo ni kinyume na Biblia aliyoyabaini mwanamatengenezo Martin Luther?
Ibada za sanamu zinazoendelea kanisani hauzioni?
Wewe ni mkatoliki kwa sababu tu umewakuta wazazi wako ni wakatoliki-sii zaidi ya hapo! Cha ajabu umeridhika kupelekwa shimoni kimyakimya.
Stuka!
Stuka ndugu yangu na uchukue hatua. Bwana Yesu alileta WOKOVU duniani, sio dini.Hujui kwa nini Luther aliondoka kanisa katoliki kuna thread ilichambua vizuri sana tukio hilo itafute uisome
Wewe ni petro manake mwamba na juu ya mwamba huu nitajenga kanisa langu ambalo kamwe milango ya kuzimu haitalishinda unasemaje Yesu hakuleta kanisa? Petro amejenga ile St Peter's Basilica ya RomaStuka ndugu yangu na uchukue hatua. Bwana Yesu alileta WOKOVU duniani, sio dini.
Utakuwa unakosea sana ukidhani u-Kristo ni dini.
Wewe bila Shaka ni wale wale wa jinsi moja
Hamna jipya chini ya jua!Enzi za Sodoma soon zinarudi
Mungu akusamehe bure maanaUlishawahi kufikiria kuhusu yale makosa zaidi ya 95 yaliyoko katoliki ambayo ni kinyume na Biblia aliyoyabaini mwanamatengenezo Martin Luther?
Ibada za sanamu zinazoendelea kanisani hauzioni?
Wewe ni mkatoliki kwa sababu tu umewakuta wazazi wako ni wakatoliki-sii zaidi ya hapo! Cha ajabu umeridhika kupelekwa shimoni kimyakimya.
Stuka!
Ndugu yangu, fanya ufuatiliaji wako wewe kama wewe! Ukitaka kulijua Kanisa la Kristo lilivyoanza, chukua hatua ya kuki study Kitabu cha MATENDO YA MITUME mlango wa kwanza na kuendelea. Kanisa la Kristo lilianza siku ya Pentekoste pale ambapo Roho Mtakatifu alivyoshuka kwa nguvu zote (Mdo 2:1---)Wewe ni petro manake mwamba na juu ya mwamba huu nitajenga kanisa langu ambalo kamwe milango ya kuzimu haitalishinda unasemaje Yesu hakuleta kanisa? Petro amejenga ile St Peter's Basilica ya Roma
Sana tu unakuwa bize kuwa service wake zako huna time ya kudukuliwa ndukum yako!Kuoa mke zaidi ya mmoja kunaondoa tabia za ushoga?
Mi naona wamechelewa sana halalisha kwani Makasisi wao wamekuwa wakiendekeza hivyo vitendo kwa kuwaingilia watoto
Na wao ndio hawataki oa ili walane vizuri
Mbona nackia kwenye nchi wanazooa wake wengi ndo wanapenda sana mchezo wa kudukua wanaume wenzao?Sana tu unakuwa bize kuwa service wake zako huna time ya kudukuliwa ndukum yako!
Aisee umetafsiri vzr kweli?View attachment 534345
Jamaa akiwa na mke wake huko Malta.
Kanisa katoliki nchini Malta labariki ndoa za jinsia moja au maarufu kama ushoga. Askofu Charles Scicluna aliliambia kanisa moja nchini humo kua kanisa halipingani na ushoga na halina nia ya kupingana na ushoga kama watu wengi walivyodhani.
Nchi hiyo pia imetunga sheria za kuruhusu ndoa za jinsia moja kama ilivyo kwa nchi nyingi za ulaya.
Unaweza kusoma hapa.
BBC News | Catholic Malta embraces gay marriage - Catholic Malta embraces gay marriage - BBC News