OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,344
Naungana na wewe mkuu moja kwa moja kanisa katoliki haliwezi kuruhusu ujinga na uovu huu hizo ni propaganda za mitandaoKanisa Katoliki katu halijahalalisha uchafu huo. Aliyesema hayo ni punguwani mmoja to wala hakuwa na msemaji wa kanisa katoliki