mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,789
Kupekuliwa maji kupenda.
Wana laana na sio wakristo ni mashetani Mungu awalaani na kizazi chote Amina.
wewe unafuata maandiko au unafuata kile kisemwacho na watu?Kwani ukiristo ni nini, si kufuata mafundisho ya Yesu Kristo?
Wao ndio wametuletea ukiristo, tunapaswa kukubali maana kama walichomekea kuhusu mke mmoja sasa kwa nini wasije na wanaume kuoana. Kipindi wanaleta dini walijua sio rahisi kuwashawishi waafrika wakubaliane na ndoa zaa mashoga ila kwanza tuwachomekee mke mmoja, tumeingia kingi sasa wanakamilisha mkakati wao.
sema sio kwa wakatoliki usiseme wakristo hajasema wakristo kasema wakatolikiWana laana na sio wakristo ni mashetani Mungu awalaani na kizazi chote Amina.
Mchezo ganiWakatoliki huu mchezo wanaupenda sana Sijui Kwanini.
Dhiki kuu.Dalili za ule mwisho mkuu! Ila zitaangamizwa zile nchi zenye madhambi ya kutisha kama hizi
Tanzania itanusurika
Dini ya Ukristo inaelekea pabaya.View attachment 534345
Jamaa akiwa na mke wake huko Malta.
Kanisa katoliki nchini Malta labariki ndoa za jinsia moja au maarufu kama ushoga. Askofu Charles Scicluna aliliambia kanisa moja nchini humo kua kanisa halipingani na ushoga na halina nia ya kupingana na ushoga kama watu wengi walivyodhani.
Nchi hiyo pia imetunga sheria za kuruhusu ndoa za jinsia moja kama ilivyo kwa nchi nyingi za ulaya.
Unaweza kusoma hapa.
BBC News | Catholic Malta embraces gay marriage - Catholic Malta embraces gay marriage - BBC News
Endeleeni kujpa moyo tu maana mshakuwa vipofu mpk kwenye mioyo yenu hata mkiona kwa macho yenuNaungana na wewe mkuu moja kwa moja kanisa katoliki haliwezi kuruhusu ujinga na uovu huu hizo ni propaganda za mitandao
Wewe Ndio kipofu namba moja unayeshabikia ujinga . msimamo wa kanisa haufanywi na kanisa Mahalia unafanywa na makao makuu ya kanisa kula Vatcan tena lazima kuwe na Mtaguso then kuna kuwa na mjadala kuhusu jambo husika then Kama ikikubalika Congregation of Faith wanapewa jukumu la kuandaa utaratibu wa kutekeleza jambo husika. Kanisa katoliki linaongozwa kwa taratibu na protokali zinazoeleweka sio hivi vikanisa pesa vyenu vinavoibuka kusaka pesa kila mtu anajitaa nabii askofu nk wakati wengine Hata kusoma na kuandika hawajui. Kanisa katoliki halitakaa liruhusu ushoga milele na atakayejaribu atatengwa na kanisa Mara mojaEndeleeni kujpa moyo tu maana mshakuwa vipofu mpk kwenye mioyo yenu hata mkiona kwa macho yenu
Wewe ni ww imani yenyew umeletewaBadilisha kichwa cha habari ni askofu,sio Kanisa katoliki,Kanisa lina msemaji wake taratibu zake,na lina mapana yake wale wasio juu ndio huja kama ww.
Mkuu mpk uku upo ....inaonekana mtemi sana ww aisehAcha ushankunanku. Uliza vatican kama wana msimamo wa kipuuzi kama huo utapata jibu. Utakuwa unaliwa 0713 tu wewe, maana unashabikia sana
Kanisa Katoliki katu halijahalalisha uchafu huo. Aliyesema hayo ni punguwani mmoja to wala hakuwa na msemaji wa kanisa katoliki
sio utemi mkuu, tunachangamsha kijiwe mdogomdogoMkuu mpk uku upo ....inaonekana mtemi sana ww aiseh
hapo unaongelea maisha binafsi ya mapadri, hapa tunaongelea kanisa katolikiMkuu;
Sisemi kwa kebehi wala ubaya lakini kwa mambo ya kikatoliki yalivyo, naona haka kamchezo ndio zao. Je, umesikia kuwa muweka hazina mkuu pale Vatican Kardinali wa Australia amesimamishwa kazi kuupisha uchunguzi ufanyike kwa sababu alishitakiwa kule kwao kuwa alikuwa anawa-do vijana wadogo wadogo?? We vip??? Soon and very soon watahalalisha tu. Kwetu hapa, si kuna Padre aliyekamatwa hapa darisalama kule Mlimani akifanywa ndani ya gari lake?? Tumrudieni Mungu kwa maombi na toba. Kwetu wanasema; Ukiona mwenzi ananyolewa, weye tia maji
Hapo sasa Ndio uone seriousness ya kanisa!? Kama mtu ametuhumiwa na kanisa likamsimamisha ili kupisha uchunguzi what else did you expect? Kuna Wana JF makini na makinikia wewe ni the lateMkuu;
Sisemi kwa kebehi wala ubaya lakini kwa mambo ya kikatoliki yalivyo, naona haka kamchezo ndio zao. Je, umesikia kuwa muweka hazina mkuu pale Vatican Kardinali wa Australia amesimamishwa kazi kuupisha uchunguzi ufanyike kwa sababu alishitakiwa kule kwao kuwa alikuwa anawa-do vijana wadogo wadogo?? We vip??? Soon and very soon watahalalisha tu. Kwetu hapa, si kuna Padre aliyekamatwa hapa darisalama kule Mlimani akifanywa ndani ya gari lake?? Tumrudieni Mungu kwa maombi na toba. Kwetu wanasema; Ukiona mwenzi ananyolewa, weye tia maji
Wewe ni ww imani yenyew umeletewa