Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

wewe tatizo lako ni kukariri hata kama kardinali kasema hayo, yeye Nani? Kitu usicho kijua ni View attachment 834817 huwezi ukajiita Mfuasi Wa Yesu wakati Yesu haja Fundisha uchafu huo huyo ni murtadi utamnusuru tu kama Utatuweka Ushahidi Yesu alipo Fundisha uchafu huo kama Muhammad alivyo Fundisha View attachment 834834 anasema wasamehewe! Pia kafundisha wakimaliza kushughulika kawapa wepesi Wa kata.3 View attachment 834838 huyo ungesema Mfuasi wa muhammad nisinge tis Neno! hata huku uswazi unaitwa mchezo wa kisilamu
Povu jingi mchafu anafanya nn kwenye altare zenu,mbona hatujaona hatua zilizochukuliwa dhidi take.pole sana mkuu kamchezo ka malinda mnakapenda sana how comes tunasikia hayo mambo kutoka rc na anglican?
 
Povu jingi mchafu anafanya nn kwenye altare zenu,mbona hatujaona hatua zilizochukuliwa dhidi take.pole sana mkuu kamchezo ka malinda mnakapenda sana how comes tunasikia hayo mambo kutoka rc na anglican?

Ulitaka Tumfanye nini?? Yesu Alijua na na kwa watu kama hao ametufundisha hivi
IMG_20180625_194938_292.jpg
Yesu angetuagiza makafir tuwakate kichwa usinge bakia mguu hata Mmoja wa kafir kwenye Ardhi ya Mwenyezi na baba kassim ingekuwa stori
 

Attachments

  • IMG_20180625_192537_779.jpg
    IMG_20180625_192537_779.jpg
    39.7 KB · Views: 31
View attachment 534345
Jamaa akiwa na mke wake huko Malta.

Kanisa katoliki nchini Malta labariki ndoa za jinsia moja au maarufu kama ushoga. Askofu Charles Scicluna aliliambia kanisa moja nchini humo kua kanisa halipingani na ushoga na halina nia ya kupingana na ushoga kama watu wengi walivyodhani.

Nchi hiyo pia imetunga sheria za kuruhusu ndoa za jinsia moja kama ilivyo kwa nchi nyingi za ulaya.

Unaweza kusoma hapa.
BBC News | Catholic Malta embraces gay marriage - Catholic Malta embraces gay marriage - BBC News
Huko Malta nadhani ndio kaburi la ushoga duniani. How come kanisa linaenda kinyume na maandiko matakatifu? Kwa msingi huu, Anglikana na Katoliki wote wamebariki ushoga katika dunia hii! Inauma na inatia hasira sana.
 
Kanisa Katoriki halijawahi kubariki ushoga.
Kama Askofu alisema hivyo ni mawazo yake binafsi.
Na sio mawazo ya Kanisa.
Msemaji wa Kanisa Katoriki ni Papa na sio mtu mwingine.
Maana ya kubariki Ushoga ni kukubali kuwafungisha ndoa.
Kanisa Katoriki halijawahi na halitawahi kufungisha ndoa ya Mashoga.
Sio vema kunukuu maneno ya mtumishi fulani wa kanisa na kuyafanya ya Kanisa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom