Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Hiyo taarifa imeandikwa vizuri tu, ila aliyeileta humu ndio kabeba na ujinga wa BBC hao. Soma tena vizuri alivyosema huyo bishop.
 
Hiyo ni roho ya ukengeufu lkn Mungu ni mwaminifu, the remnants will always remain.

Vv
 
TZ ikafunuliwa yote kila kitendekacho kikaonekana na watu wote; huko zilikohalalisha zitaonekana mtoto.
Kweli kabisa. And time will tell! Hata kama ni miaka 100 ijayo, ushoga, ukahaba na bangi vitahalalishwa na watu wataona kawaida.
 
View attachment 534345
Jamaa akiwa na mke wake huko Malta.

Kanisa katoliki nchini Malta labariki ndoa za jinsia moja au maarufu kama ushoga. Askofu Charles Scicluna aliliambia kanisa moja nchini humo kua kanisa halipingani na ushoga na halina nia ya kupingana na ushoga kama watu wengi walivyodhani.

Nchi hiyo pia imetunga sheria za kuruhusu ndoa za jinsia moja kama ilivyo kwa nchi nyingi za ulaya.

Unaweza kusoma hapa.
BBC News | Catholic Malta embraces gay marriage - Catholic Malta embraces gay marriage - BBC News
Kanisa katoliki halijawahi kuongozwa tokea Malta
 
Kushabikia ujinga na kujitoa ufahamu.
Ni msiba mkubwa kwani wanapinga ujinga unaoendelea kesi zinakuja kila siku na waliolawitiwa makanisani miaka ya sabini wanajitokeza Leo halafu waanapinga na proof zipo
wewe ingekuwa sio mjinga ungekuwa mkamuliwa ngama mtarajiwa subiri siku kiguzo, mshika kata, na mkamuaji watakavyo kushughulikia mpaka maiti inalia kama mbewa kanasa mtegoni mvi, mvi, mvi,...
 
Usijitoe ufahamu kesi zinaendelea na wamejitokeza wazee waliopandwa miaka tena ndani ya kanisa
Siwezi bishana na mjinga na shoga kama wewe maana unafurahia ujinga huo badala ya kukemea shame on you puff
I won't argue with you dick lover
Ujinga na ushoga ni miratul rasul.. hata hilo hujui dogo wewe mzima kweli?¿
 
Kanisa Katoliki katu halijahalalisha uchafu huo. Aliyesema hayo ni punguwani mmoja to wala hakuwa na msemaji wa kanisa katoliki

angefukuzwa sasa mbona vatican kupo kimya.
 
View attachment 534345
Jamaa akiwa na mke wake huko Malta.

Kanisa katoliki nchini Malta labariki ndoa za jinsia moja au maarufu kama ushoga. Askofu Charles Scicluna aliliambia kanisa moja nchini humo kua kanisa halipingani na ushoga na halina nia ya kupingana na ushoga kama watu wengi walivyodhani.

Nchi hiyo pia imetunga sheria za kuruhusu ndoa za jinsia moja kama ilivyo kwa nchi nyingi za ulaya.

Unaweza kusoma hapa.
BBC News | Catholic Malta embraces gay marriage - Catholic Malta embraces gay marriage - BBC News
Mtoa mada inaelekea lugha imekupita kushoto. Kichwa cha habari kimesema Cathilic Malta na si Catholic Church of Malta. Heading hiyo inamaanisha Malta ambayo inaonekana ni ya Kikatolic zaidi imeukubali ushoga na si Kweli kwamba kanisa ndilo limeukubali ushoga na hata ukisoma ndani hakuna penye kuobesha kwamba kanisa limeukubali ushoga.

Hapa ona jinsi Askofu Mkuu anavyosema--

Malta Archbishop Charles Scicluna told a church community recently: "We are not against gays... But we do not need to change the way in which God created marriage to enable us to say that two men or two women can get married."

The amended law undermines the true procreative purpose of sexual intercourse between a husband and a wife, Mgr Scicluna told the BBC.

"The suppression of the cherished terms 'husband and wife', 'mother and father' in Maltese law is lamentable."
 
Waziri hawezi kusema jambo nje ya serikali, acha unafiki. Wafia dini haya mambo ya hovyo hovyo yanayofanywa na dini zenu hamtaki kukubaliana nayo. Huo ndio ukweli.
Wewe hujaelewa hiyo habari. Catholic Malta haimaanishi kanisa katoliki la Malta bali ni nchi ambayo ukatoliki ndiyo dini kuu. Waliopitisha ni Serikali na si Kanisa
 
Sijakuuliza una jinsi ngapi. Kumbe wewe una jinsi mbili ndiyo hao wanaosemwa wamebarikiwa ukatolikini.

Swali langu ni hili. Katoliki ni kanisa na imani gani? Wewe jibu swali. Hujui jibu, sepa!
Ni imani ya Kristo Yesu.
 
Mi mnisaidie hapo jamaa ni yupi na mke ni yupi katika hiyo picha?
 
Mi mnisaidie hapo jamaa ni yupi na mke ni yupi katika hiyo picha?
 
Back
Top Bottom