Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Kitu usichokubaliana nacho unakiungaje mkono. Kama haukko kinyume na ushoga maana yake uko pamoja na ushoga na unaukubali na unaunva mkono ushoga.

Mimi sina dini ila hapo kabla nimewahi kua mkiristo.
1 Wakorintho 5:13 inasema mungu atawahukumu walio nje(ya kanisa, wasio waumini) lakini nyie fukuzeni watenda dhambi walio ndani ya kanisa. Sasa kama hayo ndio mafundisho ya kanisa na mnaamini hivyo bado mnakaribisha ushoga maana yake nini?

Au 1 Wakorintho6: 9-11 huijui inayosema wafilaji(mapadri, askofu na wachungaji) na wafilwaji(kama wewe) hawataurithi ufalme wa mbinguni.

Ndio maana sisi watu wengine tuliamua kuachana na mambo ya dini maana ni uongo mtupu.
Mkuu ni Rahisi sana kuelewa,kwamfano ndugu yako au mwanao wa Kuzaliwa akiwa shoga utamfukuza,utamuua au Utamtenga??

Jibu kama jibu ni Hapana,ila utamsaidie aweze kipona tena kwa upendo mpaka apone,alafu nikwambie kitu hakuna kanisa kubwa ambalo halina mashoga kama hawajitambulisha basi wapo kwa siri

Cha msingi kwa sis waafrica ni kuungana vema kwenye malezi ya watoto wetu baasi
 
Hv kimuundo maamuzi ya kukubali ushoga yanatokea wap? Inawezekana mkoa flan au nchi flan kufanya maamuzi hayo ili kutumika kwa eneo kao?
 
Na hili ndilo jaribu letu la mwisho.tukiuingia mkenge huu tumekwisha
Mku, watu tunapinga tu lakini wakristo wengi tumeanza kukengeuka sana. Kama huko ulaya wameanza kujiingiza kwenye laana hiyo kubwa, sisi tutaponea wapi ili hali sote tu wakristo, je tutawakana wakristo wenzetu?
 
Mku, watu tunapinga tu lakini wakristo wengi tumeanza kukengeuka sana. Kama huko ulaya wameanza kujiingiza kwenye laana hiyo kubwa, sisi tutaponea wapi ili hali sote tu wakristo, je tutawakana wakristo wenzetu?
Wakanwe tu,hamna namna
 
Du hiv wanaofungisha hiz ndoa wao wanasoma biblia gani,au hawakuona kwamba kulikuwa na miji kama sodoma na gomora ambayo mung aliiteketeza kwa moto kwa uchafu wao waliofanya?
 
Hawa tena issue ya kuzaa watoto ni ndoto

Sent from my SM-J510F using JamiiForums mobile app
 
"Malta Archbishop Charles Scicluna told a church community recently: "We are not against gays... But we do not need to change the way in which God created marriage to enable us to say that two men or two women can get married."
Mtoa mada umesoma BBC link??

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
"Malta Archbishop Charles Scicluna told a church community recently: "We are not against gays... But we do not need to change the way in which God created marriage to enable us to say that two men or two women can get married."
Mtoa mada umesoma BBC link??

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Atakua hajui Kingereza huyo kakurupuka tu na kuleta uzi
 
Du hiv wanaofungisha hiz ndoa wao wanasoma biblia gani,au hawakuona kwamba kulikuwa na miji kama sodoma na gomora ambayo mung aliiteketeza kwa moto kwa uchafu wao waliofanya?
walahi Biblia haijafundisha mchezo huo mchafu, ilaha furqan imefundisha kinadharia na vitendo...ref na wamepewa wepesi ukisha maliza shughulika/shughulikiwa waoge kata.3...hata kwetu huku uswazi unaitwa mchezo wa kisilamu...

Sent from my TECNO-M3 using JamiiForums mobile app
 
Ukristo uwezi kutenganisha na ushoga hata kidogo,,,hii dini ingefutwa duniani tu,,,maana inaleta mambo ya ovyo ambayo kaumu Luty Mungu aliwaangamiza na nchi yao kugeuzwa juu chini, sababu ya uho uchafu
 
View attachment 534345
Jamaa akiwa na mke wake huko Malta.

Kanisa katoliki nchini Malta labariki ndoa za jinsia moja au maarufu kama ushoga. Askofu Charles Scicluna aliliambia kanisa moja nchini humo kua kanisa halipingani na ushoga na halina nia ya kupingana na ushoga kama watu wengi walivyodhani.

Nchi hiyo pia imetunga sheria za kuruhusu ndoa za jinsia moja kama ilivyo kwa nchi nyingi za ulaya.

Unaweza kusoma hapa.
BBC News | Catholic Malta embraces gay marriage - Catholic Malta embraces gay marriage - BBC News
Adolf Hitler angewashinda ma-jews kwenye vita ya pili ya dunia
huu ushenzi usingekuwepo
 
Wanabariki usenge, kweli dunia kushnei

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Tuwekee Yesu Alipo fundisha uchafu huo kama alivyo fundisha muham mad ibn abd allah ref; hadi kawapa wepesi mkisha shughulikiana kifisifisi muoge kata tatu ili tujue kwamba hao ni wauminj was Yesu...

Sent from my TECNO-M3 using JamiiForums mobile app

Ukristo na ushoga ni km chupi na..............ko
 
Ukristo na ushoga ni km chupi na..............ko
Umeelewa nilicho Andika au ndio ile ashki majununi...eti unapiga tiktak huku umevaa msuli bila chupi

Sent from my TECNO-M3 using JamiiForums mobile app
 
Verbal engineering at its worst. Mwanzishi wa uzi anataka tu kulihusisha Kanisa Katoliki kwa lengo lake. "Catholic Malta" is not the same as "the Catholic Church in Malta".

Malta, ambako kuna Wakatoliki wengi, wameruhusu ndoa za jinsia moja. Haina maana kwamba Kanisa Katoliki limehalalisha ndoa za jinsia moja. Kwa mfano, wangeruhusu ndoa hizo Zanzibar ungesema dini ya Kiislamu imeziruhusu?
 
Wana laana na sio wakristo ni mashetani Mungu awalaani na kizazi chote Amina.
Hahahah mkuu naona umeamua kuhitimisha moja kwa moja na Amina

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Ukristo uwezi kutenganisha na ushoga hata kidogo,,,hii dini ingefutwa duniani tu,,,maana inaleta mambo ya ovyo ambayo kaumu Luty Mungu aliwaangamiza na nchi yao kugeuzwa juu chini, sababu ya uho uchafu
Dini zote. Mtume alikua anafur.a watu hadi mke wake alimfi.ra na hadi kuna maandiko yake mke wake akilaum jamaa kumtafuna nyuma.
 
Back
Top Bottom