Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Walikuja Africa kwa jina la wamisional kumbe wapelelezi wakafuta mila zetu wakatuletea zao na kuziita zetu za kishenzi wakatuachia dini na kuifanya ndiyo mila sahihi sasa wanakuja na ushenzi zaidi.
 
If you are gay, you should be treated equally. But you are different.

Why pretend being gay is the same as being straight? It isn’t.
 
Wameiona inafaa, na haina madhara yoyote ndo maana imepitishwa wenda, wanataka CHAMA CHA PUNYETO TANZANIA(CHAPUTA) kife....
 
Kanisa Katoliki katu halijahalalisha uchafu huo. Aliyesema hayo ni punguwani mmoja to wala hakuwa na msemaji wa kanisa katoliki

vipi kuhusu yule cardinaly wa austr aliyehusishwa na urawiti...??
 
Wewe kwa ufahamu wako unaona huko ukatolikini mko salama na ibada zenu hizo za sanamu? ??

Huoni mnavyopotezwa kwa kukosa maarifa?

Stuka!

Wewe kwa ufahamu wako unaona huko ukatolikini mko salama na ibada zenu hizo za sanamu? ??

uoni mnavyopotezwa kwa kukosa maarifa?

Stuka!

Unaoneka kutokujielewa kabisa kwa kuwa hata unachokijibu umeshindwa kuelewa kuwa siko Mada ilipojikita. Unaendeshwa zaidi na mihemko na chuki dhidi ya Ukatoliki. Unajiona kuwa huko uliko wewe ndio salama?
Heri wewe uliye salama mkuu! Ila kama huna hoja si lazima kujibu kila kitu unaweza kusoma then uendelee tu si lazima ku comment
 
Wanawake amkeni mnapata upinzani mkubwa sana mwisho mtakosa wanaume mweeeeeeee
 
Aliyesema ni Kadinali wa kanisa katoliki huko, sio mtu mdogo, ni mteule wa papa.
Una ushahidi kuwa huyo Kardinali aliagizwa na Papa kusema hivyo?
Msemajia wa Kanisa Katoriki ni Papa pekee.
Karninali anaweza kusema anachofikiri yeye binafsi na sio Kanisa.
Kardinali hana kanisa na hawezi kufungisha ndoa za jinsia moja kanisani Katoriki kwani hana mamlaka hayo.
Binafsi inawezekana kwa kiongozi wa kanisa kupenda ushoga na inawezekana yeye ni shoga wa kisirisiri, hivyo akaupigia kampeni
 
Kwani ukiristo ni nini, si kufuata mafundisho ya Yesu Kristo?

Wao ndio wametuletea ukiristo, tunapaswa kukubali maana kama walichomekea kuhusu mke mmoja sasa kwa nini wasije na wanaume kuoana. Kipindi wanaleta dini walijua sio rahisi kuwashawishi waafrika wakubaliane na ndoa zaa mashoga ila kwanza tuwachomekee mke mmoja, tumeingia kingi sasa wanakamilisha mkakati wao.
Hoja nzito lakini potofu
 
Kanisa Katoliki katu halijahalalisha uchafu huo. Aliyesema hayo ni punguwani mmoja to wala hakuwa na msemaji wa kanisa katoliki
kwa povu hili unaweza fua mashuka ya members wote hapa jamiiforum (nawaza kwa sauti tu)
 
Back
Top Bottom