Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Wanatiana wote

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Wafia dini hua hamtaki kukubali ujinga wa dini zenu. Aliesema ni kiongozi mkubwa tu wa kanisa katoliki, mteule wa papa.
Dhibitisha acha ushabiki usiokuwa na tija mkuu, kanisa haliwezi kukubaliana na huo ujinga never,,
 
Dhibitisha acha ushabiki usiokuwa na tija mkuu, kanisa haliwezi kukubaliana na huo ujinga never,,
Shida kubwa tuliyo nayo watanzania ni kuamini vi post uchwara.

Kilichoandikwa kwenye link ni tofauti na alichoandika mleta thread.

Ukiona link ifuatilie ndo utajua upunguani wetu ulivyo
 
View attachment 534345
Jamaa akiwa na mke wake huko Malta.

Kanisa katoliki nchini Malta labariki ndoa za jinsia moja au maarufu kama ushoga. Askofu Charles Scicluna aliliambia kanisa moja nchini humo kua kanisa halipingani na ushoga na halina nia ya kupingana na ushoga kama watu wengi walivyodhani.

Nchi hiyo pia imetunga sheria za kuruhusu ndoa za jinsia moja kama ilivyo kwa nchi nyingi za ulaya.

Unaweza kusoma hapa.
BBC News | Catholic Malta embraces gay marriage - Catholic Malta embraces gay marriage - BBC News
The suppression of the cherished terms 'husband and wife', 'mother and father' in Maltese law is lamentable

Malta Archbishop Charles Scicluna

Malta Archbishop Charles Scicluna told a church community recently: "We are not against gays... But we do not need to change the way in which God created marriage to enable us to say that two men or two women can get married."

The amended law undermines the true procreative purpose of sexual intercourse between a husband and a wife, Mgr Scicluna told the BBC.

"The suppression of the cherished terms 'husband and wife', 'mother and father' in Maltese law is lamentable."

"Hebu linganisha na upuuzi wako uliouandika".
 
Wafia dini hua hamtaki kukubali ujinga wa dini zenu. Aliesema ni kiongozi mkubwa tu wa kanisa katoliki, mteule wa papa.
wee kama unataka kuolewa kaolewe.. hilo Kanisa Katoliki lisikiege hivyo hivyo Mfumo wa Kanisa huujui unakimbilia kuleta ujinga humu
 
Pamoja na kwamba sikubaliani na Catholic kwa mambo mengi, lakini habari hiyo uliyoweka hapo haionyeshi kuwa wamebariki ushoga. Mara nyingine ni vizuri mtu ukauliza kuliko kujiaibisha kwa sababu ya kuziendea kwa pupa lugha usizozijua.
 
Tatizo lugha msilaumu mleta thread na kingereza chake cha this basi ww.
 
Sio jambo la ajabu kwa catholic maana wao wanaishi kwa 'mapokeo' na 'matamko' ambayo hayapatikani kwenye biblia kwahiyo siku si nyingi na miaka sio mingi mtasikia kuna 'sala' kabisa ya kukubali huu ujinga maana hawakawii
 
Sio jambo la ajabu kwa catholic maana wao wanaishi kwa 'mapokeo' na 'matamko' ambayo hayapatikani kwenye biblia kwahiyo siku si nyingi na miaka sio mingi mtasikia kuna 'sala' kabisa ya kukubali huu ujinga maana hawakawii

Kwani Hata Biblia Takatifu sio Neno pekee la Mwenyezi
IMG_20180810_171758_323.jpg
Yote aliyo Fundisha yangeandikwa wewe usingeweza Kubeba hicho Kitabu! Na ndio sababu Kakaimisha Mamlaka yake kwa Kanisa! Kama huamini niwekee toka Biblia Takatifu Yesu alipo AGIZA kwamba haya ninayo wafundisha Yaandikeni!
 
Mwanzo wa Mwisho wa Dunia umeanza. Bado Masih Dajjal na Nabii Isa tufikie hatma ya Ulimwengu huu na kuanza maisha mapya akhera. Eeh Mwenyeezi Mungu tunusuru sisi na watoto wetu kutokana na upotofu huu.
 
wee kama unataka kuolewa kaolewe.. hilo Kanisa Katoliki lisikiege hivyo hivyo Mfumo wa Kanisa huujui unakimbilia kuleta ujinga humu
Inauma eeeehhh. Nyambafff.
 
Inauma eeeehhh. Nyambafff.

wee kweli ni kafir innsui lililo kubuhu umejipandisha darja la ukafiri hadi unamuona allah aliesema kwa kinywa cha baba kassim
IMG_20180622_081659_387.jpg
ni zwazwa... kachukue udhu dogo kofia kama umevalisha juu ya &%$#
 
Malta Archbishop Charles Scicluna told a church community recently: "We are not against gays... But we do not need to change the way in which God created marriage to enable us to say that two men or two women can get married.
Nimegundua watanzania kitakachotuua hatukijui mtu kama unachuki bnafsi na kanisa katoriki bora ukaseme au shida ni nini yaani siwaelewi watanzania au ni vile kingereza hakieleweki kwa watu wengi mpaka mtoa uzi anakurupuka. Kinachonisikitisha ni namna watu wengi wanavyochangia wakikashifu na kutoa maneno makali namna hii bila hata kusoma na kujiridhisha juu ya hicho kinachosomwa.
Kwa kifupi wakatoriki hasa viongozi wa Kanisa ni wasomi wakubwa na ukitaka kuelewa speech zao lazima usome between lines kwa kjzazi cha Leo cha watanzania ni ngumu sana kuelewa ndio maana mtaendelea kutoa mapovu na mwisho wa siku kanisa liko imara kama chuma cha mjapani na linaendelea kujipambanua ktk maendelea yake ya kimwili na kiroho. Kwa mtu makini ambaye ameingia na kusoma kilichoandikwa kwenye hiyo line awezi kuja hapa na kukurupuka kuchangia namna hii ninavyoona labda wale wanaopambana na ukatoriki bila kujua historia ya kanisa. Nimepata wasiwasi mkubwa na watanzania.
Poleni sana
Acha kujilamba lamba,huyo kadinali wenu anaposema hawako kinyume au kupinga ushoga tuelewaje.Statement hiyo inauma na kupuliza.Upande mmja unaunga mkono mashoga upande wa pili unasema hauwezi kuhalalisha ziwe ndoa eti mungu aliweka ndoa kwa mke na mume.Nini msimamo hapo
 
Kilicho Muongelea Askofu huyo ni hii part,Jilinganishe kama umetoa ujumbe wa kweli,

Malta Archbishop Charles Scicluna told a church community recently: "We are not against gays... But we do not need to change the way in which God created marriage to enable us to say that two men or two women can get married."

Kwa kuswahili Ungetafsiri hivi,
"Hatuwapingi Gays,...Lakini hatutaki kubadili namna Mungu aliunda mfumo wa Ndoa (Mke na Mme) ili tuseme waume au wake wawili waoane"

Hapo inawaana kuwa hawawatengi mashoga ila hawaruhusu ndoa ya namna hio,na hii ni kwa sababu Kanisa sio Mungu kutoa hukumu na kuwafuza kanisani,

Siku zote huwa nawambia ukikataa kichwa kuingiza ufaham zaidi utaishia kudanganywa na walimu wenu
Acheni kujikosha nyie na Anglican mnadhalilosha sana ukristo..kama ishu ni hukumu mbona huwa mnatenga watu kwa kudai ni wazinzi mfano kama mumeoana bila ndoa ya kanisani.Kipi bora ushoga mnaochekelea au hao mke na mume? No matter mnalawiti watoto sijui mnajifikiliaje nyie
 
Acha kujilamba lamba,huyo kadinali wenu anaposema hawako kinyume au kupinga ushoga tuelewaje.Statement hiyo inauma na kupuliza.Upande mmja unaunga mkono mashoga upande wa pili unasema hauwezi kuhalalisha ziwe ndoa eti mungu aliweka ndoa kwa mke na mume.Nini msimamo hapo

wewe tatizo lako ni kukariri hata kama kardinali kasema hayo, yeye Nani? Kitu usicho kijua ni
IMG_20180813_191537_119.jpg
huwezi ukajiita Mfuasi Wa Yesu wakati Yesu haja Fundisha uchafu huo huyo ni murtadi utamnusuru tu kama Utatuweka Ushahidi Yesu alipo Fundisha uchafu huo kama Muhammad alivyo Fundisha
IMG_20180627_222533_061.jpg
anasema wasamehewe! Pia kafundisha wakimaliza kushughulika kawapa wepesi Wa kata.3
IMG_20180530_224415_217.jpg
huyo ungesema Mfuasi wa muhammad nisinge tis Neno! hata huku uswazi unaitwa mchezo wa kisilamu
 
View attachment 534345
Jamaa akiwa na mke wake huko Malta.

Kanisa katoliki nchini Malta labariki ndoa za jinsia moja au maarufu kama ushoga. Askofu Charles Scicluna aliliambia kanisa moja nchini humo kua kanisa halipingani na ushoga na halina nia ya kupingana na ushoga kama watu wengi walivyodhani.

Nchi hiyo pia imetunga sheria za kuruhusu ndoa za jinsia moja kama ilivyo kwa nchi nyingi za ulaya.

Unaweza kusoma hapa.
BBC News | Catholic Malta embraces gay marriage - Catholic Malta embraces gay marriage - BBC News
Kwani biblia itumikayo si ndio ile ile au?
Wacha wabokoane tu siwamepewa bure. Ngoja wakina Pengo nao waige.
 
Back
Top Bottom