... nipo tu nimebaki njia panda.
Mkubalie tu, wewe na yeye si mtakuwa mwili mmoja! Narrative ya kikiristo ambayo mi binafsi naona ni uongo.nipo apa dilemma nipo kazini mwenzangu ajira bado, kanambia ili tufunge ndoa inabidi mshahara wangu tugawane pasu kwa pasu., ndo anioe... nipo tu nimebaki njia panda.
Sio marioo kaongea ukweli uyo jamaa tatizo wanawake wengi mnajiona mko positive thinking muda woteToka hapo njia panda kimbia hiyo Marioo
N A K A Z I A [emoji419]Feminists walisema 50/50 na nyie mkakubali kwasababu ya maslahi.
Ndio muonage jinsi ilivyo ngumu kwenye mali za mwanaume mgawane pasu kwa pasu kisa ndoa kuvunjika
Run for what?RUUUUUN my dear RUUUUUUUN
Yaani kukunyandua akunyandue yeye ila wewe ndio umlipe 🏃♂️🏃♂️nipo apa dilemma nipo kazini mwenzangu ajira bado, kanambia ili tufunge ndoa inabidi mshahara wangu tugawane pasu kwa pasu., ndo anioe... nipo tu nimebaki njia panda.
🤣🤣Huyo ni mikopo nyonya damu,kama Hana mbio aje nimwazime vile viatu vya kuslide,vimejaa huku Arusha🙏🤣Mpaka unaomba ushauri inaonekana karibia unakubaliana nae.
Nini hicho anakupa kitamu hivi hadi umelibeba hili wazo?... Kimbia utajuta!
Huyo hata umpe mshahara wako wote baadae atakusumbua tu
Uyo mwanaume ni mdangaji bwana kama wadangaji wengine tuRun for what?
Kwenye mahusiano yaliyokolea upendo tumesikia makubwa hadi watu kuahidiana kumpa mwenza wake dunia.
Sasa kama ana upendo wa dhati basi kwenye case ya mdau mshahara ni kitu kidogo sana ukilinganisha na couples zilizokuwa tayari kutuuza ili kuwaridhisha wenzi wao.
Hahahaha, pasu kwa pasu wanawake hawaitaki upande wao.Feminists walisema 50/50 na nyie mkakubali kwasababu ya maslahi.
Ndio muonage jinsi ilivyo ngumu kwenye mali za mwanaume mgawane pasu kwa pasu kisa ndoa kuvunjika