Ana Mwanaume mwingine na huyo Mwaume ameshamchoka huyo mwanamke, wewe unakula makombo tu, mwezako ameshaichokaKuna manzi simuelewi sijui ana agenda gani yani nimemsomesha hadi kanipa mzigo nikamuomba namba ya simu kakataa katakata, tukionana ananipa mzigo bila tatizo ila namba yake amegoma kabisa kunipa.
Huyu atakua ana shida gani? Kuna mda huwa natamani nimpigie napata shida sana yani hadi nikutane naye ndio anipe mzigo.