Kangi Lugola: Watuhumiwa kufia mikononi mwa polisi ni Mitego ya kifo. Kwani wanaokufa wakifanya mapenzi mnachoma Kitanda?



Katika siku za hivi karibuni kumetokea tabia mbaya na chafu na ovu kabisa ya Mahabusu kufia kwenye vituo vya Polisi. Mahabusu wanapelekwa wanapata mateso yanayopelekea vifo vyao, kuna baadhi ya jamii zimekataa kuchukua maiti kwenda kuzizika

Kangi Lugola: Mwananchi kufa, anakufa wakati wowote na mahali popote . Sijui kwenye Quran lakini kwenye Biblia ukisoma Muhubiri 9:12 kifo ni mtego, kifo humnasa mtu wakati wowote na mahali popote

Mtu anaweza kufa akiwa polisi, akiwa anafanya mapenzi, anaweza akafa akiwa kwenye gari anasafiri na aweza kufia hata humu Bungeni kwahiyo isije ikachukuliwa kwamba nayefika kituo cha polisi ni kwamba ameteswa

Lakini nikiri kuwa kuna matukio ya Watu kufia mikononi mwa Polisi, na pale ambapo matukio hayo yanajitokeza huwa tunafanya uchunguzi na ikibainika Polisi wanahusika huwa tunachukua hatua

> Na ndio maana tunawazuia wananchi wasichukue sheria mkononi na kwenda kuchoma kituo cha polisi. Mbona huyu anayefia akifanya mapenzi mbona hawaendi kuchoma kitanda?


Pale unapoamua kutumia MASABURI kujibu swali la msingi
 
Ni kweli Binadamu anaweza Kufa Sehemu yoyote ile na Wakati wowote ule lakini kila Kifo kinazo Sababu zake ,hao wanao fia Vituo vya Polis pia sababu zipo na kubwa ni kipigo na Mateso makali.Wana wachukua Ndugu zetu wakiwa wazima kabisa na kuturudishia Maiti ,sio sawa kabisa.
Hivi jamani ile sakata la mwanamke aliyejifungulia kituo cha polisi huko morogoro liliishia wapi ?, nakumbuka Polisi ilisema wanafanya upelelezi,sasa naona kimya tu
 
Kasema uongo? Hakuna mbunge aliyefia mjengoni? Hujaona watu wanafia bafuni au chooni? Je wanaofia kwenye gari wakisafiri? Hujaona wanaofia bar wakipiga urabu? Wanaofia kwenye vifua vya wanawake hujawaona?
Ntamaholo, usitetee huyu waziri wenu bichwa kubwa lililosheheni tope za kijani ?, wewe madudu yote anayofanya hauoni kwamba huyo ni zwazwa ?.
 
sometimes ninajisikitikia why nilizaliwa Tanzania ?nchi haiishi vituko vya ajabu elewa my minister wewe ni mmoja wa security cluster wa nchi yangu ,ninategemea u can do better than this,sijakusikia hata siku moja (hata mawaziri waliokutangulia)wakitoa crime statistics za nchi nzima ikiwa ni pamoja ya waliofia kwenye mikono ya polisi,ndio maana nchi yetu imegeuzwa kuwa ni short cut ya human trafficking,drugs ,money laundering(tetesi fedha za ma terrorists zinapikwa nchini mwetu)ila waziri wangu yupo busy na misemo ya kijiweni,nchi hii mnaipeleka wapi?hakuna awamu ya utawala ambayo watu wengi wamekufa katika mazingira ya utatanishi kama awamu hii na hili tukiliongea tunanyamazishwa kuwa ni uchochezi;please my minister always apply your mind kabla ya kufungua mdomo wako otherwise heshima yako na wizara nyeti unayoiongoza inapotea;nikipewa urais wa siku moja kabla ya saa 4 asubuhi hii wizara ya home affairs nitakuwa nimeshaivunja na kuanzisha wizara mbili;home affairs(only raia na immigrations)na wizara ya polisi (hii itaongozwa na wasomi na utendaji kazi wake hautakuwa wa kupiga ramli,special units kadhaa zitaanzishwa kama ;drugs,human trafficking,hijacking,terror attacks etc etc na on top my crime inverstigations unit itajaa wataalamu wenye uwezo wa kutumia techonoloji katika kudadavua matukio.
Nkanini, umeongea points
 


Katika siku za hivi karibuni kumetokea tabia mbaya na chafu na ovu kabisa ya Mahabusu kufia kwenye vituo vya Polisi. Mahabusu wanapelekwa wanapata mateso yanayopelekea vifo vyao, kuna baadhi ya jamii zimekataa kuchukua maiti kwenda kuzizika

Kangi Lugola: Mwananchi kufa, anakufa wakati wowote na mahali popote . Sijui kwenye Quran lakini kwenye Biblia ukisoma Muhubiri 9:12 kifo ni mtego, kifo humnasa mtu wakati wowote na mahali popote

Mtu anaweza kufa akiwa polisi, akiwa anafanya mapenzi, anaweza akafa akiwa kwenye gari anasafiri na aweza kufia hata humu Bungeni kwahiyo isije ikachukuliwa kwamba nayefika kituo cha polisi ni kwamba ameteswa

Lakini nikiri kuwa kuna matukio ya Watu kufia mikononi mwa Polisi, na pale ambapo matukio hayo yanajitokeza huwa tunafanya uchunguzi na ikibainika Polisi wanahusika huwa tunachukua hatua

> Na ndio maana tunawazuia wananchi wasichukue sheria mkononi na kwenda kuchoma kituo cha polisi. Mbona huyu anayefia akifanya mapenzi mbona hawaendi kuchoma kitanda?

Mi nadhani sio wakati wa kujificha,kwa aliyekufa akifanya mapenzi,kama kiongozi anatakiwa kujua kwamba ana dhamana ya maisha ya watu wake,,kitendo cha mtu kuteswa mpaka kufa ni ukatili na uvunjifu wa haki za raia,kama kiongozi alitakiwa kuhakikisha swala hilo linakoma na sio kutafuta kichaka cha kufichia huo uovu
 
Mi nadhani sio wakati wa kujificha,kwa aliyekufa akifanya mapenzi,kama kiongozi anatakiwa kujua kwamba ana dhamana ya maisha ya watu wake,,kitendo cha mtu kuteswa mpaka kufa ni ukatili na uvunjifu wa haki za raia,kama kiongozi alitakiwa kuhakikisha swala hilo linakoma na sio kutafuta kichaka cha kufichia huo uovu
Huyu Waziri ni shida, kuna siku moja alisema kwamba watz wasipende kuilaumu serikali kwa kila tukio la kupotea kwa raia hapa nchini, Eti, wengine maisha yanapowashinda huwa kuondoka majumbani mwao na kuenda kusikojulikana (kujipoteza), Sisi tunaowalilia ni akina Azori.
 
"A person may die at a Police station while having sex" hapo sijaelewa ufafanuz kdg kwa aliyeelewa iyo statement
 
HIVI HAO MAPOLISI SIO WATANZANIA ?KAMA NI WATANZANIA WENZETU BASI KOSA SIO SERIKALI NI SISI WATANZANIA.
 


Katika siku za hivi karibuni kumetokea tabia mbaya na chafu na ovu kabisa ya Mahabusu kufia kwenye vituo vya Polisi. Mahabusu wanapelekwa wanapata mateso yanayopelekea vifo vyao, kuna baadhi ya jamii zimekataa kuchukua maiti kwenda kuzizika

Kangi Lugola: Mwananchi kufa, anakufa wakati wowote na mahali popote . Sijui kwenye Quran lakini kwenye Biblia ukisoma Muhubiri 9:12 kifo ni mtego, kifo humnasa mtu wakati wowote na mahali popote

Mtu anaweza kufa akiwa polisi, akiwa anafanya mapenzi, anaweza akafa akiwa kwenye gari anasafiri na aweza kufia hata humu Bungeni kwahiyo isije ikachukuliwa kwamba nayefika kituo cha polisi ni kwamba ameteswa

Lakini nikiri kuwa kuna matukio ya Watu kufia mikononi mwa Polisi, na pale ambapo matukio hayo yanajitokeza huwa tunafanya uchunguzi na ikibainika Polisi wanahusika huwa tunachukua hatua

> Na ndio maana tunawazuia wananchi wasichukue sheria mkononi na kwenda kuchoma kituo cha polisi. Mbona huyu anayefia akifanya mapenzi mbona hawaendi kuchoma kitanda?

Mimi binafsi naunga mkono wananchi kuchoma moto kituo cha polisi kwani ndio njia pekee ya kuonyesha hasira dhidi ya jeshi hilo la maccm, mtakumbuka siku chache zilizopita kule mkoani mara askari polisi alimuua kwa kumchoma kisu kijana mmoja raia ambaye hakuwa hata na silaha, kisha tukasikia polisi wanafanya upelelezi, sijui walikuwa wanapeleleza nini !!, na mpaka sasa kimya, hakuna hatua yeyote iliochukuliwa.
 
Natamani Mwalimu NYERERE Afufuke aje asikie kauli za viongozi wetu sidhani kama hata nafasi ya kugombea tena wanaweza ktpata
 
Back
Top Bottom