'KANGA MOKO' yatikisa BUNGENI!

Mkereketwa_Huyu,

Najua serikali ina mkono mrefu sana ukinyooshwa toka Magogoni unafika Mabwepande kirahisi tu.

Hivi nikiogopa na kuwa na hofu kwa nguvu zangu zote na akili zangu zote,naweza kurefusha maisha yangu dakika ngapi??
 
haya hiyo hapo video. hayo ndio mambo ya kanga moko ambay serikali inataka kuyapiga marufuku

[video=youtube_share;WY7NqyYiKZk]http://youtu.be/WY7NqyYiKZk[/video]
duh sitaki kuamini hiyo ndo kanga moko?..........
 
Kila mtu na starehe zake.. Watuachie starehe zetu!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Wanaopenda kanga moko ni wale wapenda mapenzi kinyume na maumbile.:
sent from my samsung galaxy s||| using jamii forums
 
nina uhakikika yule naibu waziri aliyeibiwa vitu vyake na changudoa pale nashera hotel morogoro hawezi kukubali kupitisha muswada huu kwani yeye ndo mikato yake na starehe yake hii
 
Lakini jamani hivi hii kanga moko moko mambo ndembe ndembe laki si pesa million chenji unawakosesha wabunge amani???? kwanini wasikoseshwe amani ya hela ya NSSF wanayoikopa kwetu kiulazima? kwanini wasikoseshwe amani na mazingira mabaya watu tunayofanyia kazi?

hivi hii wizara ina mambo mangapi ya kudiscuss? hebu angalia mavipindi yaliyopo kwenye tv na redio yanayopata coverage kubwa may be tz yote yanaachwa tena yasiyokuwa na maadili istoshe gesti za uchochoroni ndo usiseme huku uswazi halafu wanaongelea haya yanayoonekana hapa dar tu tena kwa watu wachache sana ambao hawazidi hata 100 kwa mara moja?
gfsonwin ni kweli hawa watu naona hawana maana kabisa ...watu walishachoka na maisha ndo maana wameamua kujilipua
 
Last edited by a moderator:
Umesema vema Msalagambwe,kanga moko hawachezi shuleni wala sokonni au stand ubungo. Inachezwa kwenye kumbi za starehe, na huko kuna mengi zaidi ya hiyo kanga moko na ndio mahali pake. ndio maana watoto chini ya miaka 18 hawaruhusiwi.kama wabunge wanakereka wanaenda kufanya nini huko?
 
Members of Parliament are divert their attention from things that matter to minor and non important things that happens in night clubs.

Shame on you Dr Getrude Lwakatare
 
mimi naona wasipige marufuku......... ni kitu inatoa burudani sana.....
mbona kwenye makasino hivi vitu vipo?? na haviongelew?? au kwa kuwa wanaingia wakubwa?? kwani wao sheria haziwafungi??
 
gfsonwin ni kweli hawa watu naona hawana maana kabisa ...watu walishachoka na maisha ndo maana wameamua kujilipua

mamii FirstLady ajira zenyewe ziko wapi? tuliahidiwa ajira milion moja watu wameona changa la macho tu, wakaenda kwenye mikopo wakapewa hela kuanza mama ntilie kesho yake askari wa jiji wanapita na kuwabomolea mtaji bado anadaiwa na aliyemkopesha na bado maisha yanamsubiri hivi kwanini asijilipue kama anakwenda kufanya onyesho anapata laki yake? lazima hata kama ni mimi naenda manake napata hela ya rejesho na maisha ya nyumbani yanasonga mbele jamani wawape ajira mbadala uone kama watakwenda kuonyesha haya. ebu waache upuuzi wao wao hizo 10 mil hakuna hata mmoja amewah kusema jamani hawa wanajidhalilisha so nawapeni hzi kama mtaji mrudi makafanye biashara muache kazi hii. yaani nawachukia wabunge kuliko adui yangu duh!
 
Last edited by a moderator:
niambieni wanafanya wapi show zao.? ili nihakikishe kama kweli wanavunja maadili. Ili nilinganishe na kauli za Lusinde,Ndugai na Werema.
 
mamii FirstLady ajira zenyewe ziko wapi? tuliahidiwa ajira milion moja watu wameona changa la macho tu, wakaenda kwenye mikopo wakapewa hela kuanza mama ntilie kesho yake askari wa jiji wanapita na kuwabomolea mtaji bado anadaiwa na aliyemkopesha na bado maisha yanamsubiri hivi kwanini asijilipue kama anakwenda kufanya onyesho anapata laki yake? lazima hata kama ni mimi naenda manake napata hela ya rejesho na maisha ya nyumbani yanasonga mbele jamani wawape ajira mbadala uone kama watakwenda kuonyesha haya. ebu waache upuuzi wao wao hizo 10 mil hakuna hata mmoja amewah kusema jamani hawa wanajidhalilisha so nawapeni hzi kama mtaji mrudi makafanye biashara muache kazi hii. yaani nawachukia wabunge kuliko adui yangu duh!
gfsonwin acha tu lakini sasa wamewasha moto sijui watazima vip..yaani huyu mkwelea kwelea anakosa dira sasa ..
 
Last edited by a moderator:
kwa kweli nnaunga mkono hoja, hili jambo liangaliwe kwa makini. wanakoelekea sipo.

maadili yanazidi kupote
 
mamii FirstLady ajira zenyewe ziko wapi? tuliahidiwa ajira milion moja watu wameona changa la macho tu, wakaenda kwenye mikopo wakapewa hela kuanza mama ntilie kesho yake askari wa jiji wanapita na kuwabomolea mtaji bado anadaiwa na aliyemkopesha na bado maisha yanamsubiri hivi kwanini asijilipue kama anakwenda kufanya onyesho anapata laki yake? lazima hata kama ni mimi naenda manake napata hela ya rejesho na maisha ya nyumbani yanasonga mbele jamani wawape ajira mbadala uone kama watakwenda kuonyesha haya. ebu waache upuuzi wao wao hizo 10 mil hakuna hata mmoja amewah kusema jamani hawa wanajidhalilisha so nawapeni hzi kama mtaji mrudi makafanye biashara muache kazi hii. yaani nawachukia wabunge kuliko adui yangu duh!

Kila unaloongea ni ukweli, yale ni mapanya yanajifanya kubwabwaja na hata visu kushikiana, yakiingia ghalani yanakula yakikonyezana
Tafuta lile shairi la Mwanakijiji ujionee upanya wao zaidi
 
Last edited by a moderator:
Mi naona Bunge ndio lifutwe linajidhalilisha na kuwadhalilisha Watanzania; linakiuka maadili mengi tu ya taifa letu!!! Wakipiga marufuku Kanga moko wapige marufuku na Bunge moko! Yes I said it; I sure did!
 
gfsonwin acha tu lakini sasa wamewasha moto sijui watazima vip..yaani huyu mkwelea kwelea anakosa dira sasa ..

Kila unaloongea ni ukweli, yale ni mapanya yanajifanya kubwabwaja na hata visu kushikiana, yakiingia ghalani yanakula yakikonyezana
Tafuta lile shairi la Mwanakijiji ujionee upanya wao zaidi

sijui kwanini ubunge kwa hapa Tz unaonekana kama jambo zuri sana lenye kuheshimiwa. hivi mbunge unakaa kujadili haya mambo wakati wizara unayoiongelea ina mambo kibao. kweli angalia tu upatkanaji wa habari sehem za vijijini ni wa shida hilo siyo tatizo lakin wana kaa kujadili upumbavu ambao kwanza hakuna zaid ya watu 100 wanaojua ni nini.
eti mtu anasimama kabisa kama ni kuhubiri akahubiri anisani na msikitini ila buneni ajenge hoja za msingi zenye mashiko. poor tanzania. jamani kwenye katiba tuanishe kabisa mbunge akiboa wananchi wawe na uwezo wa kumpiga chini this time katiba iwabane sana siyo kueka watu kama mazuzu tu humo.
 
Aaah!watuache hawa wa mama!
Mwisho wata tuambia hata baikoko ifungwe!yaani mibunge yetu hamna kitu kabisa!hivi NSSF na kanaga moko ipi ina wagusa wananchi???
 
Lakini jamani hivi hii kanga moko moko mambo ndembe ndembe laki si pesa million chenji unawakosesha wabunge amani???? kwanini wasikoseshwe amani ya hela ya NSSF wanayoikopa kwetu kiulazima? kwanini wasikoseshwe amani na mazingira mabaya watu tunayofanyia kazi?

hivi hii wizara ina mambo mangapi ya kudiscuss? hebu angalia mavipindi yaliyopo kwenye tv na redio yanayopata coverage kubwa may be tz yote yanaachwa tena yasiyokuwa na maadili istoshe gesti za uchochoroni ndo usiseme huku uswazi halafu wanaongelea haya yanayoonekana hapa dar tu tena kwa watu wachache sana ambao hawazidi hata 100 kwa mara moja?


unajua wabunge wetu unafiki ni part ya maisha yao, wakati wao wenyewe ndio wateja,

kwanza na washangaa wabunge kuingilia starehe za watu, wao wana burudika na posho hatuja waingilia, wananchi tuna burudika na khanga mmoja laki si pesa wana tuingilia na washangaa sana.
 
Back
Top Bottom