'KANGA MOKO' yatikisa BUNGENI!

'KANGA MOKO' yatikisa BUNGENI!

unajua wabunge wetu unafiki ni part ya maisha yao, wakati wao wenyewe ndio wateja
halafu hawa wabunge ndio waendaji wakubwa kwenye hizi shughuli kwanai hatukutanagi nao huko? tena wengine unafikiri ni wazee lakn ukweli ni kwamba na uzee wao ndo wanawapenda na hata majumba wamewajengea basi tu ningekuwa nshapata viroba vyangu nngewataja wa3 kwa majina yao kamamfano kisha mtu ujiulize na umri huo huko alifwata nn
 
halafu hawa wabunge ndio waendaji wakubwa kwenye hizi shughuli kwanai hatukutanagi nao huko? tena wengine unafikiri ni wazee lakn ukweli ni kwamba na uzee wao ndo wanawapenda na hata majumba wamewajengea basi tu ningekuwa nshapata viroba vyangu nngewataja wa3 kwa majina yao kamamfano kisha mtu ujiulize na umri huo huko alifwata nn

Na kwambia wanacho taka ni kuanikwa ili wakane!
 
uwiiiiiiiii nimewahi ona hiyo kitu kanga moko! ni balaa, mama lwakatare atakuwa na wasiwasi kuhusu kiserengeti boy alichokipata kitakamatwa na mimama! lol! shame on u wabunge!

shostito mzima? kumbe umekumbuka siku ilee eeh! yaani watu wawanyime wenzao utamu alahh! sijui lini tena twendae mamiito! nakumisije sasa?
 
siasa ni nzuri, unalipwa mshahara mkubwa, gari na posho nzuri bila kutumia effort nyingi. natamani kazi zingine zingekuwa hivi.

/sarcasm
 
shostito mzima? kumbe umekumbuka siku ilee eeh! yaani watu wawanyime wenzao utamu alahh! sijui lini tena twendae mamiito! nakumisije sasa?
mzima nipo! kuna limtu limeniboa, limbeyaaaaaaaaa! natamani kulitupia mabwepande, au kulipeleka nungwi liliwe na papa! mschewwwwww! mambo yako lakini?
 
Nadhan hata dhana ya MAADILI ni nini hawa watu hawajui ndo maana wanashindwa kuelewa mmomonyoko wa maadili ni nini. Hivi vyote wanavyoita mmomonyoko ni viashiria tu kuwa jamii either haina maadili au yamemomonyoka mpaka kuwa korongo kubwa linalopitisha kila aina ya uchafu, matusi bungen,taifa kua na idadi kubwa ya wasiojua kusoma na kuandika,udini,ukabila,kiongoz wa nchi mdhaifu,epa,richmond,msitu wa pande na mengine mengi tu. INFACT hata wachungaji kuwa wanasiasa ni mmomonyoko wa maadili......wavivu wa kufikiri na wachovu wa akili!
 
mzima nipo! kuna limtu limeniboa, limbeyaaaaaaaaa! natamani kulitupia mabwepande, au kulipeleka nungwi liliwe na papa! mschewwwwww! mambo yako lakini?

watu kama hao ni wa kuwanywea nyagi halo halo kisha unalala tu manake kuna watu miye huwaita chakubimbi yakwao mmh! yawenzao midomo juu. pole mwaya leo wapi ama kesho ma shostito? bana kuna kijiwe kizuri nimekigundua mahali wallah pale hata unyweje hulewi aisee palivyokuwa pazuri twende ijumaa ukapaone. miye mzima sauti imetoka leo.
 
watu kama hao ni wa kuwanywea nyagi halo halo kisha unalala tu manake kuna watu miye huwaita chakubimbi yakwao mmh! yawenzao midomo juu. pole mwaya leo wapi ama kesho ma shostito? bana kuna kijiwe kizuri nimekigundua mahali wallah pale hata unyweje hulewi aisee palivyokuwa pazuri twende ijumaa ukapaone. miye mzima sauti imetoka leo.
wallah twende, kwanza leo cjui kama nitamaliza muda wa mwajiri hapa, ninaburst anytym kwa hasira, nways twenzetu pm!
 
wallah twende, kwanza leo cjui kama nitamaliza muda wa mwajiri hapa, ninaburst anytym kwa hasira, nways twenzetu pm!

duh! angalie usije ukadonga kwa hasira manake nikujuavyo weye sina hata amani na maamuzi yako. ila bsi ntakuchek saa 10 jion japo tukapunguze stress za haya maisha ama siyo msiri wangu wa kumoyo???
 
duh! angalie usije ukadonga kwa hasira manake nikujuavyo weye sina hata amani na maamuzi yako. ila bsi ntakuchek saa 10 jion japo tukapunguze stress za haya maisha ama siyo msiri wangu wa kumoyo???
worrrrrrdddddddd!
 
Kuna mambo mengi sana ambayo yatakiwa kufutwa zaidi ya hiyo kanga moko,wamesahau night club zoote wadada wanavaa nusu uchi hapo je?madanguro je,?wacheza show wa bendi zetu je?hakuna cha kinyume na utamadiuni,waje na sera mbadala kupambana na utandawazi wa dunia kijiji ,kuanzia mashindano urembo hadi vipindi vya TV....majumba kulala wageni na uthibiti wake,Bar na Grosary zilizojaa kila mtaa na muda wa kuuuza na kunywa pombe....yako mengi sana!!waje na hoja mbadala wa mfumo mzima

Hapo umenena mkuu na ninakubaliana nawe kwaaslimia 100.
 
inaonekana waheshimiwa nao memba wa kuangalia kanga moko ndembendembe laki si pesa million..... huh huh huh huh

inawezekana...kwani wao wamejuaje kama nao sio wafuatiliaji wazuri?
 
Kanga moko na bongo fleva zote zipigwe marufuku Tanzania, ila kuhusu maadili ya Tanzania hilo sijuwi. lnachekesha kuona ni wabunge wanawake tu wanaopiga kelele kina baba kimyaaaa wanawaza watapata wapi starehe kama hii. Wabunge wetu hawa, basi tu!

Taratibu mkuu...utapigwa na wananchi wenye hasira kali humu...ohooo!!! shauri yako.
 
Back
Top Bottom