Dada hawa Kanga moko(sio moja) wanapatikana Continental hotel-mjini kila jumatano na jumanne wanakuwepo Masai club-karibu na Mango garden. Show yao inaanza saa 7 usiku.Usitishwe na mtu hayo mambo ya Tigo ni tabia ya mtu nenda uone wenzako wanavyokatika ili uboreshe kwako. Usiwe na wasiwasi nenda na mumeo hata wengine huja nao,si uko pembeni abiria ukichunga mzigo wako ?
mmh! We ndo unaaribu maana kabsaaa!ukitaka kuanza tabia ya kumpa mme wako tigo,,nenda kajifunze huo uhuni.
Jamani wana JF labda mimi ni mshamba sana. Nimekuwa nasona, nasikia na kuona matangazo ya Khanga moja! Ni kitu cha namna gani? Natamani sana kumwomba mume wangu anipoeleke maana nasikia wako based pale continental lakini nahisi balaa! mwanamke mwenye khanga moja iliyoloa ndembe ndembe, mume wangu nitarudi naye kweli?
Kingine, watanzania tumekuwa na tabia ya kulinda maadili.... swala la khanga moja linanitisha... naomba mnijuze.
Jamani wana JF labda mimi ni mshamba sana. Nimekuwa nasona, nasikia na kuona matangazo ya Khanga moja! Ni kitu cha namna gani? Natamani sana kumwomba mume wangu anipoeleke maana nasikia wako based pale continental lakini nahisi balaa! mwanamke mwenye khanga moja iliyoloa ndembe ndembe, mume wangu nitarudi naye kweli?
Kingine, watanzania tumekuwa na tabia ya kulinda maadili.... swala la khanga moja linanitisha... naomba mnijuze.
Napita wakuu...nimepotea njia!ha ha ha haaaaa...laki ni pesa!
Ndio hivyo.....hajaharibu maana yoyote.mmh! We ndo unaaribu maana kabsaaa!
Hawaruhusu kupiga picha inabidi uende uone.Mh...mh....Chupa zinanyenyuliwa tiGo!? Tupen pics wazee
Sio wito. Ni mambo ya ufalme wa shetani. Ndio maana yanafanyika usiku sana. Inabidi kusali sana kwa ajili ya tanzania,ndio maana mvua hazinyeshi,ajali haziishi etc yote hii ni laana kutoka kwa mungu kwa ajili ya ushetani kama huu.