Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfyuu😁😁😁😁
Jaman mbona mnamshambulia mchina?200000 serious huu ni udhalilishaji ndugu zangu tena ukifanya hiyo inakupa psychological torture kwasababu nafsi inaumia
23k per day n hela kubwa sana katika nchi yetu kada ha ualim kwa level ya bachelor wana range humo per dayKuna siku mchina kanicheki kasema tunatafuta HR ila tutakulipa 23K per day
Nikamuuliza iyo ni meal au salary?
Akanijibu kuwa ni salary nikamuuliza ivi umeangalia wapi nafanya kazi na experience yangu
kalala mbele
hawa jamaa wajinga sana aiseee
Mambo siyo marahisi kama unavyodhani mkuu,Negotiations skills zako ziko Chini saana,
Anapokuambia willing salary ni 200,000 wewe ungepmba 300,000 na very possible angekupa
Then hapo kwenye 1% ungepmba 2% yeye angekupa 1.25% plus
Lastly ungeomba transport na meal allowance, si ajabu angekupa 2000-4000 per day.
Kwa kifupi hii kazi ulitakiwa uanze na salary ya laki 6, sema wewe umezembea kunegotiate.
I understand, but try something especially when you have nothing to loose.Mambo siyo marahisi kama unavyodhani mkuu,
kiufupi namwelewa mleta mada,ku-deal na wachina it's not a joke.
Ndiyo Ukweli WenyeweInategemea unauza bidhaa ya aina gani maana kwa fast moving goods 1% inaweza ikawa hela ndefu😅
NakaziaMungu atusaidie. Ndio maana wanaume tunakufa haraka. Kazi ngumu, hela kidogo. Hapo ni mawazo ya madeni 24hrs.
Nahisi hawajaelwana vizuri .. kasema transport na other allowance atapewa it means basic hapo lazima itakua ni laki Tatu bila kukosea then laki2 ni take home ...mi nimefanya kazi ya namna hiyo ..unapewa 20k kila week na kila mwanzo MWa mwez unapewa 20k ya bundle ..kwahy ,unaweza kufk mwisho MWa mwez bado una elfu balance ya elfu 10 then unapewa laki2 ..I think sio haba kwa mtaftajJaman mbona mnamshambulia mchina?
Mbona katika kada ya UALIM mfano shule za msingi hizo ndo salary wanalipa
Kwahiyo sioni cha ajabu
Wachina hawanaga diplomacy,ni wabaguzi mno.Sera yao ni take it or leave it,na ukitaka negotiation wanakufukuza hapo hapo at the middle of the interview.Ni aina ya waajiri wanaochapa staff wao viboko wakikosea mpaka leo 🤣 🤣I understand, but try something especially when you have nothing to loose.
Kwa mchina ndo imeisha hyo,Basic utaikuta mbinguni.Nahisi hawajaelwana vizuri .. kasema transport na other allowance atapewa it means basic hapo lazima itakua ni laki Tatu bila kukosea then laki2 ni take home ...mi nimefanya kazi ya namna hiyo ..unapewa 20k kila week na kila mwanzo MWa mwez unapewa 20k ya bundle ..kwahy ,unaweza kufk mwisho MWa mwez bado una elfu balance ya elfu 10 then unapewa laki2 ..I think sio haba kwa mtaftaj
Wachina hawanaga diplomacy,ni wabaguzi mno.Sera yao ni take it or leave it,na ukitaka negotiation wanakufukuza hapo hapo at the middle of the interview.Ni aina ya waajiri wanaochapa staff wao viboko wakikosea mpaka leo 🤣 🤣
Just understand, you have nothing to lose by asking.Wachina hawanaga diplomacy,ni wabaguzi mno.Sera yao ni take it or leave it,na ukitaka negotiation wanakufukuza hapo hapo at the middle of the interview.Ni aina ya waajiri wanaochapa staff wao viboko wakikosea mpaka leo 🤣 🤣
Sio wafupi, wapo warefu tena kuzidi hata wewe.Dadeq utaenda home na 50k ya karanga hao mbegu fupi na wahindi washenzi sana nimekumbuka movie ya juzi inaitwa 7 prisoners ni ya mwaka 2021 mpya watu wanapigishwa kazi hmna malipo wala nn ni kula na kulala