Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,493
- 5,528
Mkuu wewe unaona 200k ni ndogo unaweza kumzaliushia huyo mchina zaidi ya 200k ili akulipe unavotaka au unataka ulipwe kwa kazi hujafanya.Kama we ni mfanya kazi utaangalia hio 1% the utasema nikiuza milioni 100 comission yangu ni milioni 1 then utajua kwamba hujui.Kwema job seekers wenzangu?
Kuna mchina kani-check somewhere, kaniambia nimtumie CV yangu kuna kazi za sales zinahitaji watu, nimemtumia cv yangu fresh,In return akanitumia job description ya kazi husika ndio nikaona huo mshahara anaotaka kunilipa.
Ofcoz nina uhitaji wa kazi ila nimemjibu thank you endelea na zoezi la kutafuta mtu mwingine, me siko tayari kwa huo mshahara.
Kuna maswali nimejiuliza, haya makampuni ya wachina huwa hayana HR department wakawashauri vizuri namna ya kurecruit watu na issue nzima ya compensation mpaka General Manager mwenyewe anaingia front kuokoteza wafanyakazi, na hiyo mishahara yao wanayotoa kama sio kutafuta kuibiwa ni nini?
Eti mshahara laki 2, serious?
View attachment 2020723
Hio ndio fare wage.