Kampuni ya sasatel yafilisika rasmi.

Sidhani kama TTCL ni y akufa leo wala kesho............TTCL inaservice nyingi za corporate na hazitangazwi kama izo za ONGEA BURE SA 4 HADI12 ASUBUHI....wateja wa corporate wanajua wapi pa kupata huduma izo........na even hao Voda sjui airtel wanaitegemea sana TTCL kuwa hapo walipo...........sipo kwenye industry hiyo but nafahamu...TTCL naiheshimu sana.

TTCL kweli ina mtandao mrefu siku hizi wanajihusisha na data zaidi. Bado wanarun kwa faida kwani hili dili la mkongo wa taifa litawapa mkwanja wa maana. Na vile vile internet ya ttcl ina kasi na nireliable kuliko others. Tatizo la bundle zao hazihitaji pesa za madafu. MFANO BANDLE YA BANJUKA NI 1000 KWA SAA MCHANA. Lakini kuna bundle nyingine kama ile ya 8gb kwa msimbazi for a week.
 
Sidhani kama TTCL ni y akufa leo wala kesho............TTCL inaservice nyingi za corporate na hazitangazwi kama izo za ONGEA BURE SA 4 HADI12 ASUBUHI....wateja wa corporate wanajua wapi pa kupata huduma izo........na even hao Voda sjui airtel wanaitegemea sana TTCL kuwa hapo walipo...........sipo kwenye industry hiyo but nafahamu...TTCL naiheshimu sana.

Mkuu MkonowaPaka, Endelea Kudhani.
Nimestaafu kazi TTCL Miaka Sita iliyopita na ninajua ninachoandika.
TTCL haipaswi kuwa hapo ilipo kama iko hivyo unavyodhani.
Kuendelea kwa TTCL ni Kifo kwa makampuni mengine ya simu za Mkononi ambayo baadhi yake wenye Hisa na wenye bodi ni Viongozi wa Nchi hii.
Unadhani watakubali kweli TTCL Istawi kwa anguko la Makampuni ya Simu ambayo wao wana Hisa?
Una fahamu kwamba TTCL ina Huduma ya simu za Mkononi ya TTCL Mobile ambayo imepigwa Vita na makampuni ya simu na Viongozi wetu wenye hisa kwayo kiasi kwamba nayo sasa imeishakufa kama ilivyokufa SasaTel?
Ni Watu wangapi unaowafahamu ambao wanatumia mtandao wa TTCL Mobile wa 073?
Unafahamu kwa nini mtandao wa TTCL Mobile umeshindwa kukua kwa miaka SITA au SABA sasa Tokea Uanzishwe??

Mkuu, Mara ya mwisho ni lini ulipoona tangazo la ukurasa mzima la kunadi huduma za TTCL kwenye Vyombo vya habari kama wafanyavyo Tigo, Zantel, Airtel na Vodacom? Ama kwa sababu ipo jinsi unavyoifikiria basi hawana haja ya kujitangaza??

Unaufahamu mzozo wa TTCL na CELTEL/ZAIN/AIRTEL ulioifinya TTCL kiasi cha kuwa hapo ilipo ambapo sio inapopaswa kuwa??

Unasema kwamba TTCL ina service nyingi za Corporate ambazo hazitangazwi kwa sababu wateja wanajua pa kuzipata!! Really, Mkuu??
UKo karne ya 21 kweli??
Yaani Kampuni isitangaze huduma zake kwa sababu tu Wateja wake wanajua pa kuzipata??
Unafahamu kuwa Wateja wa TTCL wa huduma ya Landline, ambayo ndio chimbuko kuu la TTCL, sasa ni karibuni Robo tu ya iliyokuwa nao miaka Saba hadi Kumi tu iliyopita?
Kwa nini Wasiongezeke?
Unaweza ukasema ni kwa sababu ya kuanzishwa kwa makampuni mengine ya simu za mkononi?
Mbona hata Uingereza kuna huduma za simu za Mkononi lakini kampuni ya BT- British Telecomms ya simu za Waya na Mobile bado inachanja mbuga tofauti na hapa kwetu ambapo huduma ya landline kwa wateja wa kawaida ni kama imekufa??

Mkuu MkonowaPaka, kwa mwendo huu ambao TTCL inakwenda nao sasa haitakuwa ajabu kwamba miaka mitano tu ijayo itakuwa Historia na kama bado itakuwepo basi ni kwa kujikongoja tu kama ambavyo inafanya sasa!


 
I was wondering kwanini walikuja na technology ambayo ilikuwa obsolete. Ile technology ndio waliyoanza nayo Mobitel na Tritel. Wao walikuwa wame target soko gani?

Mkuu Ndahani, check your records.
Teknolojia hiyo haikuwa na/au sio obsolete. Tanzania hapa inatumiwa na TTCL,Zantel(hawa wana mtandao wa GSM pia) na hawa Sasatel.
Teknolojia inaitwa CDMA 2000 as a collection of standards. Ipo CDMA2000 1x, EV-DO na Revisions/Releases zake A,B... It is indeed a very good technology. Inatumika nchi nyingi duniani: China(hawa ndio wametuuzia sisi kupita Huawei na ZTE), Japan, Marekani, Norway, Denmark etc...

Ninamashaka kama Mobitel na Tritel walitumia teknolojia hii.
 
Mkuu MkonowaPaka, Endelea Kudhani.
Nimestaafu kazi TTCL Miaka Sita iliyopita na ninajua ninachoandika.

umri wa kustaafu kwa hiari ni miaka 55 na ule wa lazima ni miaka 60, assuming jamaa kastaafu kwa hiari at 55, now 6+55=61, kwamba muandishi yuko na 61 minimum? na anajua hata kuweka blue font kwenye JF?
 
umri wa kustaafu kwa hiari ni miaka 55 na ule wa lazima ni miaka 60, assuming jamaa kastaafu kwa hiari at 55, now 6+55=61, kwamba muandishi yuko na 61 minimum? na anajua hata kuweka blue font kwenye JF?

...And What is So Strange about that, pray tell?? Are You that Backwards My Dear Twenty Something Fellow Great Thinker?? Kwako Wewe Kaka/Baba Yako wa KiTanzania wa Umri wa Miaka 61 kuweza kuweka Blue/or any color, Font hapa JF, ni Kitu cha Ajabu Kiasi Hicho??? Really??? :confused2::mmph:
 
...And What is So Strange about that, pray tell?? Are You that Backwards My Dear Twenty Something Fellow Great Thinker?? Kwako Wewe Kaka/Baba Yako wa KiTanzania wa Umri wa Miaka 61 kuweza kuweka Blue/or any color, Font hapa JF, ni Kitu cha Ajabu Kiasi Hicho??? Really??? :confused2::mmph:

All facts are easy to understand once they are discovered; the point is to discover them.

 
Walikuja na mbwembwe wakakutana na akina tigo wakashindwa wakaamua kuwekeza kwenye internet zaidi ambayo nayo ni bogus sasatel huwezi tumia mikoani kama airtel hiyo kampuni isipouzwa itafungwa mda wowote

Achilia mbali mikoani, modem ya Sasatel huwezi kutumia nje ya mji, net haipo. Siku nilipoenda nayo maskani nikakuta hakuna network, nimei dump mpaka leo sijui ilipo. Kuna siku wakanipigia simu kuwa mbona situmii modem yao tangu niinunue? Nikawaambia niliinunua ili itumike nje ya mji ambapo naishi, sio katikati ya jiji ambako nina network nyingine. Hawajarudia tena kuuliza. Wameingilia mguu mbaya kwenye business
 
Sidhani kama TTCL ni y akufa leo wala kesh...TTCL inaservice nyingi za corporate na hazitangazwi kama izo za ONGEA BURE SA 4 HADI12 ASUBUHI....wateja wa corporate wanajua wapi pa kupata huduma izo...
This is good comedy.

Corporate clients do not use communication services between the hours of "SAA 4 HADI 12 ASUBUHI"!

Kampuni gani zinawasiliana saa nane usiku kupunguza gharama? This is just out of whack, excuse my objection there.
 
...And What is So Strange about that, pray tell?? Are You that Backwards My Dear Twenty Something Fellow Great Thinker?? Kwako Wewe Kaka/Baba Yako wa KiTanzania wa Umri wa Miaka 61 kuweza kuweka Blue/or any color, Font hapa JF, ni Kitu cha Ajabu Kiasi Hicho??? Really??? :confused2::mmph:

Namshangaa hata mie! Labda anadhani mtu akistaafu anageuka kuwa illiterate!
 
TTCL kweli ina mtandao mrefu siku hizi wanajihusisha na data zaidi. Bado wanarun kwa faida kwani hili dili la mkongo wa taifa litawapa mkwanja wa maana. Na vile vile internet ya ttcl ina kasi na nireliable kuliko others. Tatizo la bundle zao hazihitaji pesa za madafu. MFANO BANDLE YA BANJUKA NI 1000 KWA SAA MCHANA. Lakini kuna bundle nyingine kama ile ya 8gb kwa msimbazi for a week.
Ttcl sio inakufa ila inauliwa leo kwenye mkutano wa ccm alisimama waziri wa sayansi na teknolojia bila aibu akasema kuna sehemu nyingine makampuni ya simu hayawezi kutoa huduma kutokana na miundo mbinu na wateja wachache ila wametenga pesa maalumu kuyashawishi makampuni hayo yaweze kwenda kuwekeza.Kwanini hizo pesa wasipewe TTCL kwani kazi ya kampuni ya umma ni kutoa huduma unapoipa kampuni binafsi unaipa kwa manufaa ya nani?
Pia hayo makampuni pamoja na kutoa huduma lakini bado hayalipi kodi inayostahili akasema sasa tunajenga mtambo tuweze kujua faida zao halisi walikuwa wapi siku zote wakati jambo hili lilishalalamikiwa miaka miwili iliyopita
 
Nafikiri wachangiaji wanahitaji kupekua kurasa za Jamii forums ... .. ... hii issue iliongelewa huko nyuma na Dhaifu alitetea sana kuwauzia Canadians ambako amewekeza kwa kufuru ... ... kuna viongozi wakiachia ngazi wanahitaji kunyongwa hadi wafe kama Sadam Hussein .. ... ... ...

BTW mnaweza kuwaomba mods ooops ... ... wengi ni Mungiki brothers khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee sidhani watakuwa na nia ya kuifukua huko alikojichimbia ... ... ..
 
Back
Top Bottom