KERO Kampuni Ya Mabasi ABC upper class Mnakera Sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Yes but now ni hovyo, mnasubiri basi lije lioshwe then ndio mpande, muanze safari,
Mnalipia naili au huwa ni mnapanda bure? Mbona mna ujinga sana, au hio cmpuni ni Monolopoly kama Tanesco? hata Tanesco unaweza funga solar au ununue generator
 
Mkuu pole,Iringa bus ziko nyingi sana mi nashauri hama kampuni kama haijielewi maana ABC nao siku hizi kampuni naona imeingia vishandu.
 
Hahhahah nimecheka sana mkuu, sasa kwanini hukusoma sms yote? kwahiyo mwajiri nae amekomaa nauli ni sh 100, halafu sikujua kabla ABC wana gari Tabora-Dsm?.
 
Kuna siku nimekata tiketi safari ya tunduma gari ya saa moja nafika manzese gari haijafika abiria tunaambiwa gari ipo garage matokeo yake tumepanda gari gari iliyotoka singida imewashusha abiria hapo hapo tumeambiwa wale wa tunduma mtapanda gari hii na safari ikaanza saa tatu kasoro. Hili tatizo kumbe bado wanalo
 
Nimesafiri nao sana huu uzembe sijui wameanza lini, kwanini wasiweke mafuta ya safari nzima? maana Dar-Moro ni distance fupi sana kuongeza mafuta au wana kituo chao cha mafuta hapo, Singida-Dar nimetoka nao mara nyingi usiku na mchana pia.
 
Napenda basi linalosimama kuanzia 30minutes wakati wa kula au mapumziko. Sio mnakula juu juu dakima kumi tu. Kilimanjaro pia Wana utaratibu huo.
Mkuu sasa umetoka Dar saa 4 usiku, bado unahitaji kula tena wakati Iringa utafika saa 12 asubuhi?πŸ˜„πŸ˜„ Unakula saa 7 usiku si kujiongezea tu mavitambi yasiyo na msingi
 
Nimesafiri nao sana huu uzembe sijui wameanza lini, kwanini wasiweke mafuta ya safari nzima? maana Dar-Moro ni distance fupi sana kuongeza mafuta au wana kituo chao cha mafuta hapo, Singida-Dar nimetoka nao mara nyingi usiku na mchana pia.

Wanakituo chao cha mafuta pale cate hotel
 
Mkuu sasa umetoka Dar saa 4 usiku, bado unahitaji kula tena wakati Iringa utafika saa 12 asubuhi?πŸ˜„πŸ˜„ Unakula saa 7 usiku si kujiongezea tu mavitambi yasiyo na msingi
Mkuu,kuna people zinakula mpaka saa 9 za usiku,unajiuliza huyu mtu saa 9 za usiku anafakamia supu humu njiani ana tatizo gani?
 
Mkuu sasa umetoka Dar saa 4 usiku, bado unahitaji kula tena wakati Iringa utafika saa 12 asubuhi?πŸ˜„πŸ˜„ Unakula saa 7 usiku si kujiongezea tu mavitambi yasiyo na msingi

Gari linapaswa kuondoka saa 4, but linaondoka saa sita kasoro, tunafika moro saa tisa, pale hotelin hakuna ishu yoyote ya kufanya kwa muda huo, watu wangechimba dawa na kuondoka, sasa wanashusha watu then wanaenda kuweka mafuta 45mn abiria wanapigwa na baridi tu nje
 
Mimi pale huwa wananiboa kulazimisha abiria wote tushuke kwenye basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…