The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,843
- 3,259
mtu mweusi anchangia nn kwenye hii dunia mkuu?hWanataka kuwalaghai ngozi nyeusi ili wafanye genetic modification zao....
adi taandamwe ivo
mtu mweusi anchangia nn kwenye hii dunia mkuu?hWanataka kuwalaghai ngozi nyeusi ili wafanye genetic modification zao....
Hapan’ shaka itakuwa ya bure na hapo mabeberu watageuka kuwa washirika wa maendeleo.Chanjo ya Ukimwi Bila shaka haitakuwa ya bure
Hiyo jeuri hakuna. Wadau wa kirusi huwadanganyi na porojo za chapa ya 666. Wanajua kirusi kipo na mapigo yake ni ya kuzimu. Ushuhuda uko dhahiri shahiri. Watakaopuuza ni wale wanaoishi maisha ya utawa na kujinyima raha za ulimwengu huu.Corona ni janga la dunia nzima ila watu wanapinga chanjo za corona, unadhani itashindikana kupinga na chanjo za ukimwi?
Kwanza huo ukimwi unafikiri watu wanauchukuliaje sasa hivi? hivi jambo lenye kushughulisha dunia nzima ila watu wanapinga chanjo ndio itakuwa chanjo ya ukimwi ugonjwa unaotusumbua sana sisi tu huku? tena mimi nakwambia ishu ya ukimwi ndio itakuwa rahisi zaidi kuliko corona kwa sababu kuna mauzauza kibao.Hiyo jeuri hakuna. Wadau wa kirusi huwadanganyi na porojo za chapa ya 666. Wanajua kirusi kipo na mapigo yake ni ya kuzimu. Ushuhuda uko dhahiri shahiri. Watakaopuuza ni wale wanaoishi maisha ya utawa na kujinyima raha za ulimwengu huu.
Sasa kiherehere cha kulazimisha watu kuchanja cha nini........wao wakijichanja wakaishi haitoshi?unavo wafokea utadhan ulitoa fedha ya kufund hizo uchunguzi?
Kama hachangii kitu ya nini kumfuata fuata....mtu mweusi anchangia nn kwenye hii dunia mkuu?h
adi taandamwe ivo
Nyie hamueleweki mnadhani tumesahau mlituita wakatoliki papa wetu ndo 666 leo mmehamishia kwenye chanjo.kuweni wakweli hamna elimu wala ufunuo hamuukuelewatunaubiri tupingeeeee 666!!
wewe ya kwako iko wapi....Ungetengeneza ya kwako uliyokuwa unaitaka mapema
watafaidika wale wauza dawa za magonjwa ya zinaa but HIV, Na wauza dawa za kutolea mimbaHizi fursa hizi, kwa hiyo maslahi ya viwanda vya kondom vipo mashakani?
Watu wengi hua hawaogopi mimba wala magonjwa mengine ya zinaa, wanaogopa ukimwi wanapotumia kondom. Chanjo ikipatikana si ndio zitapotea kabisa mtaani?
Hii ndio vita ya kiuchumi sasa!!!!